Quantcast
Channel: g sengo

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI UMMY AZINDUA MIRADI YA KIUCHUMI YA WENYE ULEMAVU

 Na Mwandishi wetu- Dar es salaam Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga amezindua miradi ya kiuchumi ambayo iko chini ya  Shirika lisilo la Kiserikali la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC MTANDA AZINDUA JARIDA LA KUKABILIANA NA MAGUGU MAJI BONDE LA ZIWA VICTORIA

 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameipongeza na kutoa maagizo kwa  Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria kuhakikisha Jarida waliloliandaa kuhusu kukabiliana na uvamizi wa Gugumaji jipya katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAWAZIRI WA SADC WAKUTANA KUJADILI USIMAMIZI WA MAAFA

 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Mhe. Ummy Nderiananga, ameshiriki mkutano wa dharura wa Kamati ya Mawaziri wanaohusika na Usimamizi wa Maafa kwa Nchi Wanachama wa SADC,...

View Article

TIDO MHANDO,ASIMULIA ALIVYOMVUTA CHARLES HILARY BBC NA BAADAE KUMLETA AZAM TV

 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UWEKEZAJI WA NSSF MKULAZI WAONGEZA AJIRA KWA WANANCHI NA UZALISHAJI WA SUKARI

 Bodi ya Wadhamini ya NSSF yaridhishwa na uwekezaji huo wa ubia na Jeshi la MagerezaNa MWANDISHI WETU,Morogoro. Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kudhihirisha mafanikio ya uwekezaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZAIDI YA BILIONI 17 KUSAMBAZA UMEME VITONGOJINI SINGIDA

MKURUGENZI wa Umeme Vijijini kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Jones Olotu, akitoa maelezo Mei 14, 2025 kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego (kushoto) na Katibu Tawala Mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHIFADHI TFS SAO HILL WAKAGUA UKARABATI WA MIONDOMBINU YA BARABARATARAFA YA...

 Wahifadhi tfs sao hill wakagua ukarabati wa miondombinu ya barabaratarafa ya nne ya shamba mgololo akiwa katika eneo la ukaguzi wa barabaraWahifadhi tfs sao hill wakagua ukarabati wa miondombinu ya...

View Article

GUGU MAJI JIPYA LACHOCHEA TAHADHARI MPYA ZIWA VICTORIA

NA ALBERT G.SENGO/MWANZAHatimaye Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria imezindua rasmi jarida maalum linaloangazia jitihada endelevu za kudhibiti uoto vamizi wa gugumaji katika Ziwa Victoria. Uzinduzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya CRDB yawakaribisha Wanahisa kwenye Mkutano Mkuu wa 30

 Arusha 14 Mei 2025 - Benki ya CRDB imewataka wanahisa wake kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Mkutano Mkuu wa 30 wa Wanahisa, unaotarajiwa kufanyika Jumamosi, tarehe 17 Mei 2025, katika Kituo cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZI WA BIMA WAFUMULIWA, SERIKALI YAPANGA MASHAMBULIZI.

 Serikali imepiga kengele ya tahadhari kufuatia ongezeko la madai feki ya bima yanayodaiwa kuisababishia nchi hasara ya mabilioni, huku ikiweka wazi kuwa asilimia 10 hadi 15 ya madai hayo duniani yana...

View Article

SIRI YA WATOTO NJITI KANDA YA ZIWA JEH 'NI UGONJWA, MAZINGIRA AU LISHE?'

 NA ALBERT GSENGO/MWANZA"Katika Jiji la Mwanza, sauti ya furaha ya kuzaliwa kwa mtoto imeanza kuchanganyika na hofu—hofu ya changamoto zinazowakumba wakinamama wanaojifungua watoto njiti. Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA LA MADIWANI KASULU LIMEMCHANGIA MILIONI 1 RAIS DKT SAMIA KWA AJILI YA...

 Baraza la Madiwani na Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu limemshukuru na kumpongeza Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa ambapo wamechangia kiasi cha  shilingi 1,000,000...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt. MPANGO AZINDUA SHULE YA SEKONDARI YA MFANO YA BENKI YA CRDB, BENKI HIYO...

 Arusha 16 Mei 2025 - Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango, amezindua rasmi Shule ya Sekondari ya Mfano ya Benki ya CRDB, itayojengwa katika Manispaa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS SAMIA AWATAKA WATANZANIA KUWA WAZALENDO KUCHANGAMKIA HAKI YAO YA MSINGI...

Na Janeth Raphael MichuziTv - Chamwino DodomaRAIS wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ameboresha taarifa zake za mpiga kura katika Kijiji Chamwino Ikulu, huku akiwataka watanzania kuwa wazalendo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATAKA TAMISA ISIMAMIE KWA UADILIFU SHUGHULI ZA SEKTA YA MADINI ILI...

Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano na Masoko ya Chama cha Wasambazaji wa Huduma katika Sekta ya Madini Tanzania (TAMISA), Dkt. Sebastian Ndege akifafanua jambo wakati wa kongamano la TAMISA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADAKTARI BINGWA 47 WATIA NANGA MKOANI LINDI KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA

 Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary akizunguza wakati  kuwapokea rasmi madaktari bingwa 47 chini ya mpango wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, awamu ya tatu, kwa ajili ya kutoa huduma za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB KUIWEZESHA ZANZIBAR KUJENGA SHULE 23 ZA GHOROFA

 Zanzibar. Tarehe 21 Mei 2025: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Benki ya CRDB kwa jitihada zake za kusaidia utekelezaji wa miradi ya maendeleo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUPITIA MRADI WA FEMA AILEADERS WABUNGE WABUNIFU NA MAKUNDI MENGINE WAPIGWA...

 Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaamKupitia Mradi wa FemAILeaders, Shirika la Women Political Leaders (WPL), GIZ Makao Makuu, GIZ Tanzania na Omuka imeandaa Mafunzo ya Akili Mnemba “Artificial Intelligence...

View Article

WANANCHI KITONGOJI CHA KWAKIBOSHA KATA YA MAPINGA BAGAMOYO WAIOMBA SERIKALI...

 HABARI NA VICTOR MASANGU, BAGAMOYO, PWANI SAUTI NA ALBERT G.SENGO Wananchi zaidi ya 120 wa kitongoji cha Kwakibosha Kata ya Mapinga Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani wameiomba Serikali kuingilia kati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AISHI MANULA ASAFIRI NA SIMBA SC ZANZIBAR MECHI NA BERKANE

 KIPA Aishi Salum Manula amesafiri na kikosi cha Simba kwenda Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa marudiano wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RSB Berkane ya Morocco...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOKA KUCHELE AFUNGUKA MAZITO ALIVYOPAMBANA KUSAIDIA KUBORESHA NS KUINUA SEKTA...

 NA VICTOR MASANGU, KIBAHAMbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka katika kuunga mkono juhudi za Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kukuza  sekta ya elimu ameamu kutumia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBOGGO ACHUKUA FOMU YA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA TANGA KUPITIA ACT- WAZALENDO...

  Katibu wa Chama cha ACT -Wazalendo  Wa Jimbo la Tanga Mohamed Salim Ponda (kushoto)  akimkabidhi fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea Ubunge Jimbo la Tanga mwanachama wao John Charles Mboggo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZIZ KI KAZINI LEO OFISI MPYA WYDAD IKIMENYANA NA SEVILLA YA HISPANIA

 NYOTA mpya wa Wydad Athletic, Stephane Aziz Ki aliyesajiliwa kutoka Yanga ya Tanzania mwishoni mwa wiki leo anawea kuwa sehemu kikosi cha timu yake mpya kitakachomenyana na Sevilla FC ya Hispania...

View Article

'UDHAMINI WENYE TIJA! PAMBA JIJI FC YAVUNA FAIDA KUTOKA NIC'

 NA ALBERT G. SENGO/MWANZA"Ushirikiano kati ya NIC Insurance na Pamba Jiji FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara, haukuwa tu juu ya udhamini wa jina au kuonekana kwa chapa yetu. Licha ya kupata...

View Article

NIC YATIKISA MIRADI MIKUBWA NCHINI TANZANIA SASA YABISHA HODI MV MWANZA

 NA ALBERT G.SENGO/MWANZAKutoka kwenye SGR inayopita kwa kasi, kuelekea kukamilika hadi kwenye daraja la JPM linalounganisha Kigongo na Busisi... na kutoka kwenye nguvu ya maji ya Bwawa la Nyerere hadi...

View Article



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>