Quantcast
Channel: g sengo
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12422

ILIVYOKUWA SHOW YA NGWASUMA NDANI YA VILLA PARK JIJINI MWANZA.

$
0
0
Waimbaji wa Bendi ya FM Akademia chini ya Rais wake Nyoshi el Saadat (wa pili kutoka kulia) wakitoa burudani kwa wapenzi wao ndani ya Villa Park Mwanza, ambapo kundi hili lilifanya makamuzi ya hatari na kuzikonga nyonyo za mashabiki wa burudani kama ada. 
Style ya Vundez ikihusishwa.
Mpiga tumba wa FM Akademia.
Drummer.....!!
Mulemule (C), Pacho Mwamba (L) na Pablo Masai (R)
Burudani toka stejini hadi kwa mashabiki.
Hapo vipi.
Makamuzi ya Vundez...!!
Samaki style.....!!!
Rapa Totoo Kalala JR (kushoto) akileta mambo.
Hapa ilikuwa ni 'saprizi' ya vocal la Afande Josee akiimba moja kati ya vipande vya FM Akademia na kuwashangaza wengi. 
Picha ya pamoja na Mule Mule FBI (R) & Pablo Masai (L).
Muziki.
The Dance of  Ngwasuma.
Waukweli Team.
Wawili-wawili.
G. Sengo na rapa Totoo Kalala.
Burudani wacha iendelee.....


Viewing all articles
Browse latest Browse all 12422

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>