KUELEKEA MAANDALIZI YA KILELE CHA MEI MOSI RAIS KIKWETE KUTUA MWANZA KESHO.
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akizungumza na wafanyakazi wa sekta mbalimbali hii leo ikiwa ni sehemu ya ufunguzi wa maonesho ya Mei Mosi 2015 ambapo kitaifa kwa mwaka huu yanafanyika jijini...
View ArticleRC PWANI AWACHARUKIA WAZAZI NA WALEZI WENYE FIKRA POTOFU JUU YA CHANJO
Na Victor Masangu, Pwani MKUUwa Mkoa wa Pwani Injinia Evarist Ndikilo amewataka wazazi na jamii kwa ujumla kuachana na imani potofu kwamba ukipatiwa chanjo madhara na badala yake wahakikishe...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AREJEA NCHINI BAADA YA KUHUDHURIA MKUTANO WA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wenzake walioshiriki katika Mkutano wa dharura wa SADC, mara baada ya kumalizika...
View ArticleSERIKALI YADHAMIRIA KUKAMILISHA MIRADI YA KITAIFA YA KIMIKAKATI
Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu akiwasilisha Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2015/16 Katika Kamati ya Mpango ya Bunge Zima kwenye Ukumbi wa Mikutano wa...
View ArticleRAIS KIKWETE ATEUA MAJAJI WAWILI WA MAHAKAMA YA RUFAA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone:255-22-2114512, 2116898E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tzFax: 255-22-2113425PRESIDENT’S...
View ArticleMRATIBU WA ASASI YA BETTER LIVING AID ATOA WIT KWA WAFANYABIASHARA WA VIFAA...
Watangazaji Hamisa Mussa Lubilo na Deogratius Yagomba wa VOT fm 89.0 wakimuuliza maswali mratibu wa asasi ya Better Living Aid walipomualika leo asubuhi katika kipindi cha Meza huru!Mratibu wa asasi ya...
View ArticleWFANYAKAZI WAHIMIZWA KUJITOKEA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi inaendelea kuwahamasisha wananchi wote kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la wapiga Kura ili kuweza kupiga kura ya maoni na kuchagua viongozi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba...
View ArticleEXCLUSIVE: IDRIS NA WEMA MWANZA
Yakiwa yamebakia masaa machache tu ile party iliokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar. Pati ambayo imeandaliwa na Zari aka Mrs Chibu Dangote pamoja na mpenzi wa zamani wa...
View ArticleRAIS Dkt. KIKWETE "NISINGEKUWA RAIS NINGEKUWA MSANII MKALI WA BONGO FLEVA"
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.Kauli...
View ArticleGUMZO MTAANI - WAJANJA WA MWANZA TUTAKUWA JEMBE BEACH
Japo tayari ni tajiri ,Mayweather ambae jina lake la utani ni Money, inatarajiwa atapokea zaidi ya dolla millioni $150m na Pacquiao kama millioni $100m.Pacquiao yeye ametoka jamii ya kimaskini huko...
View ArticleUTT-PID ya Wizara ya Fedha yashiriki maonesho ya Dar Property 2015
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick (katikati), akipata maelezo toka kwa banda la UTT-PID juu ya Miradi wanayofanya katika mikoa mbalimbali nchini, kulia ni Uli Mtebe Afisa Mwandamizi...
View ArticleMZIIKI KWA KUSHIRIKIANA NA VODACOM TANZANIA YANOGESHA ZARI ALL-WHITE PARTY
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platinumz ambaye ni balozi wa Mziiki ambayo ni program ya simu za mkononi (mobile app) ya Vodacom Tanzania akiimba jukwaani Zari White Party iliyofanyika...
View ArticleTUSKER YAJA NA FANYAKWELI KIWANJANI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI 06th /May /2015, Dar Es Salaam.Tusker Lager kupitia kampeni yake ya “Fanya kweli” wiki hii inawaletea wateja wake shindano la wiki lilopewa jina la “Fanya kweli...
View ArticleJUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI KUSHUGHULIKIA MGOGORO WA BURUNDI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete Mwenyekiti wa jumuiya ya Afrika Mashariki.CHANZO: BBC SWAHILI.Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania ambaye kwa sasa ni mwenyekiti wa Jumuia ya Afrika Mashariki amewataka mawaziri...
View ArticleINTRODUCING YOU -BUKOBA CROSS CULTURE TRAVEL AND TOURS
Good day , I am William Oswald Rutta from B.K ( Blessed Kingdom) introducing to you our new adventure into Self Employment with new Tour Company known as BUKOBA CROSS CULTURE TRAVEL AND TOUR...
View ArticleAIRTEL YAKABIDHI VITABU VYA SAYANSI KWA SHULE YA SEKONDARI YA King'ongo DAR...
Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi akionyesha sehemu ya vitabu kabla ya kukabidhi msaada wa vitabu vya masomo ya sayansi vyenye thamani ya milioni 4/-, kupitia Mradi wa...
View Article