MABONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' NA COSMAS CHEKA KUGOMBANIA MKANDA...
Mratibu wa mpambano wa ubingwa wa UBO Africa Antony Rutta katikati akiwainua mikono juu mabondia Cosmas Cheka kushoto na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa utambulisho wao watakaozipiga 28 feb...
View ArticleSHEIKH SHARIF AZUA MAPYA YA URAIS 2015
Sheikh Shariff Matongo akizungumza leo na waandishi wa habari ofisini kwake  jijini Dar es Salaam(hawapo pichani)kuhusu ndoto yake ambayo ameoteshwa kuelekea mwaka 2015.NA CHALILA KIBUDA,GLOBU YA...
View ArticleWAVUVI, WAFANYABIASHARA WA SAMAKI NA DAGAA WATAKIWA KUTUMIA VIPIMO SAHIHI...
 NA PETER FABIAN, MWANZA.WAVUVIna Wafanyabiashara wa samaki na dagaa wa Visiwa vya Wilaya za Ukerewe na Sengerema mkoani Mwanza, wamepewa Elimu na kushauriwa kufanya biashara zao ya kuuza na kununua...
View ArticleUTEJA WA DAWA ZA KULEVYA UNACHANGIWA NA UNYANYAPAA TOKA KWA JAMII
UTEJA WA DAWA ZA KULEVYA UNACHANGIWA NA UNYANYAPAA TOKA KWA JAMIINa: Edwin sokoMwanza Tabia ya jamii kuwanyanyapaa watumiaji wa dawa za kulevya imekuwa ikichangia kwa kiasi kikubwa wateja...
View ArticleWAKAZI WA TEMEKE NA VITONGOJI VYAKE WALIPOKEA VYEMA TAMASHA LA TUO8JANUARY,...
 Hii ilikuwa ni picha ya pamoja ya wasanii na mashabiki waliojitokeza kuunga mkono tamasha hilo la bure ambalo lina lengo la kuhamasisha vijana kushiriki katika maamuzi yenye mustakabali wa...
View ArticleWATU 20 WAFARIKI HARUSINI AFGHANISTANI.
Mmoja ya watoto waliojeruhiwa wakati bomu liliporushwa katika nyumba moja iliyokuwa ikifanyikia sherehe ya harusi mkoani Helmand nchini Afghanstan. Takriban watu 20 waliaga dunia.CHANZO: BBC...
View ArticleMWANZA YAUKARIBISHA MWAKA 2015 KWA STYLE HII....!!
Ni bendi mpya ya vijana tupu iliyo na maskani yake hivi sasa jijini Mwanza The Mambaz aka Jembe ni Jembe Band aka JJ-Band walikamua ile kisawasawa na kuzikonga nyoyo za mashabiki walioibuka kuuaga...
View ArticleMKESHA WA KUKARIBISHA MWAKA MPYA UWANJA WA CCM KIRUMBA WATAKIWA KUENDELEA...
NA PETER FABIAN, MWANZA. MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ameonya baadhi ya watu wakiwemo wanasiasa wanaohamasisha vurugu na uchochezi unaopelekea uvunjifu wa amani. Akizungumza kwenye mkesha wa...
View ArticleHALMASHAURI YA SITISHA MKATABA WA KAMPUNI YA SENSON YA UKUSANYAJI USHURU WA...
NA PETER FABIAN, MWANZA. HALMASHAURI ya Jiji la Mwanza imesitisha mkataba na Wakala wa ukusanyaji ushuru wa Mabango Kampuni ya Senson Ltd katika maeneo yote ilikokuwa ikikusanya fedha jijini hapa....
View ArticleMWANZA YAANZA KWA KISHINDO TAIFA CUP 2015 WANAWAKE
Rais wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) Jamal Malinzi akipiga mpira kuashiria ufunguzi wa Michuano ya Kitaifa ya Soka kwa wanawake ijulikanayo kama Proin Promotions Women Taifa Cup 2015...
View ArticleBOB HAISA ASITISHA RASMI UTARATIBU WA KUACHIA WIMBO MPYA KILA MWEZI
"Wapendwa mashabiki na wadau wa Muziki ninapenda kuwataarifu kwamba ule utaratibu tuliokua tukiendeleanao wa kuachia wimbo mpya kila mwezi tumeusitisha rasmi ukiwa na nafanikio lukuki, Sina zaidi ya...
View ArticleMASHALI NA DULLAH MBABE NGOMA DROO
Na Michael Machellah.MPAMBANOÂ wa ngumi za kirafiki kati ya Thomasi Mashali kutoka Manzese jijini Dar es Salaam na Abdalah Pazi kutoka Mwananyamala limetoka sare (Technical draw-dt) baada ya Thomas...
View ArticleRAIS JK AMTEUA DK.MIGHANDA KUWA MWENYEKITI BODI YA WAKURUGENZI TANESCO
Tanesco.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dk. Mighanda Manyahi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).Kwa taarifa...
View ArticleMWANA WA RAILA ODINGA AFARIKI
Fidel Odinga mwana wa aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga amepatikana akiwa amefariki nyumbani kwake huko Karen.Maafisa wa polisi tayari wameanzisha uchunguzi kuhusiana na kifo cha...
View ArticleYA LEO LEO WELCOME AT JEMBE BEACH MWANZA
GSengo, Cedrick na Cuthbert.'PAMOJA SANA' Dr. Chacha na familia.Utafiti....!!Mambo ya 'choma chomaz' Kijembejembe.Dawati la Mivinyo at Jembe. Maadhari ya Jembe mida ya usiku.Ni Jembe Beach Mwanza...
View ArticleDORIS MOLLEL ACHANGIA VIFAA VYA KUPUMULIA KWENYE WODI YA WATOTO NJITI SINGIDA...
Redds Miss Kanda ya Kati 2014/15, Doris Mollel akiongea Maneno machache wakati akikabidi mashine mbili za kupumulia kwa watoto waliozaliwa kabla ya muda wa kawaida zenye thamani ya Tsh millioni 1.2...
View Article