Quantcast
Channel: g sengo
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12426

KHADIJA KOPA NA ABDUL MISAMBANO WATUA MWANZA ASUBUHI HII KWAAJILI YA SHOW YA BUZURUGA PLAZA HII LEO.M

$
0
0
SIKIA MPANGO MZIMA LEO PALE BUZURUGA PLAZA MWANZA. 
Malkia wa Taarab nchini Tanzania Khadija Omar Kopa akiwasili katika uwanja wa ndege wa jijini Mwanza asubuhi ya leo kwaajili ya kutoa burudani kwa wakazi wa Mwanza hii leo (Ijumaa) katika ukumbi wa Buzuruga Plaza Nyakato.
The Super Roxx Abdul Misambano akiwasili katika uwanja wa ndege wa jijii Mwanza asubuhi ya leo kwaajili ya kutoa burudani kwa wakazi wa Mwanza na vitongoji vyake kwenye usiku wa Mitikisiko ya Pwani katika ukumbi wa Buzuruga Plaza Nyakato jijini Mwanza.Kiingilio ni shilingi 10,000/=.
Vaa, Nukia, Pendeza kwani langoni kuna Red carpet kwaajili yako hivyo twataka picha za kunukia!!!


Viewing all articles
Browse latest Browse all 12426

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>