![View image on Twitter View image on Twitter]() |
Germany ndiyo mabingwa wa kombe la dunia! |
![]()
Gotze aiweka Ujerumani mbele 1-0
Mario Götze anaipatia Ujerumani bao la ushindi.
Ujerumani wanakuwa timu ya kwanza kutwaa kombe la dunia katika mchuano ulioandaliwa Kusini mwa Marekani.
![Schweinsteiger and Podolski Celebrate World Cup Win with a Smooch]() |
He!! Bastian Schweinsteiger na Lukas Podolski wakisherehekea ubingwa kwa style ya utata... |
![View image on Twitter View image on Twitter]() |
Kwa timu ya Argentina ni kipindi cha kukubali yaishe. |
![View image on Twitter View image on Twitter]() |
Paul Pogba wa timu ya Ufaransa #FRA ametunukiwa tuzo ya mwanasoka mdogo kuliko wote wa michuano ya Kombe la dunia 2014. |
![View image on Twitter View image on Twitter]() |
Huko nchini Ujeruani, Shangwe za ushindi tayari zimeanza ni pata shika usiku umegeuka kuwa mchana. |
![View image on Twitter View image on Twitter]() |
AHA! |
a