Mkurugenzi Kampuni ya Unilever Tanzania Limited, Raymond Banda (kulia) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya 'Fua Upae mpaka Dudai', Dinah Siame Mkazi wa Dar es Salaam aliyejishindia tiketi ya kwenda kwa mapomziko nchini Dubai na mwenzi wake, baada ya kununua sabuni ya Omo. wa pili kulia ni Balozi wa Omo, Mariamu Migomba na Meneja Mauzo wa Unilever Tanzania, Teresa Kamweru. Makabidhiano hayo yalifanyika Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Unilever Tanzania Limited, Raymond Banda (kulia) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya 'Fua Upae mpaka mpaka Dubai', Julius Juju aliyejishindia fedha taslimu sh. 600,000 baada ya kununua sabuni ya Omo. wa pili kulia ni Balozi wa Omo, Mariamu Migomba na Meneja Mauzo wa Unilever Tanzania, Teresa Kamweru. Makabidhiano hayo yalifanyika Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Kampuni ya Unilever Tanzania Limited, Raymond Banda (kulia) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya 'Fua Upae mpaka Dudai', Habiba Shembiru Mkazi wa Dar es Salaam aliyejishindia tiketi ya kwenda kwa mapomziko nchini Dubai na mwenzi wake, baada ya kununua sabuni ya Omo. wa pili kulia ni Balozi wa Omo, Mariamu Migomba na Meneja Mauzo msaidizi wa Unilever Tanzania, Brenda Wakiagi.Makabidhiano hayo yalifanyika Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Unilever Tanzania Limited, Raymond Banda (kulia) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya 'Fua Upae mpakaDubai', Joyce Msilu aliyejishindia fedha taslimu sh. 600,000 baada ya kununua sabuni ya Omo. wa pili kulia ni Balozi wa Omo, Mariamu Migomba na Meneja Mauzo msaidizi wa Unilever Tanzania, Brenda wakiago. Makabidhiano hayo yalifanyika Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Kampuni ya Unilever Tanzania Limited, Raymond Banda (kulia) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya 'Fua Upae mpaka Dudai', Ronald Shirima Mkazi wa Tegeta Dar es Salaam aliyejishindia tiketi ya kwenda kwa mapomziko nchini Dubai na mwenzi wake, baada ya kununua sabuni ya Omo. wa pili kulia ni Balozi wa Omo, Mariamu Migomba na Meneja Matukio wa Unilever Tanzania, Nicholous John.Makabidhiano hayo yalifanyika Dar es Salaam jana.