Quantcast
Channel: g sengo
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12417

TOTO YAIBAMIZA POLISI TBR 2-1

$
0
0
NA. ALBERT GSENGO:MWANZA

TOTO Africans ya jijini Mwanza hii leo imefanikiwa kugeuza matokeo katika dakika za mwishoni mwa mchezo dhidi ya Polisi Tabora ambayo ilikuwa ikiongoza kwa bao 1-0 hadi dakika ya 86 ya mchezo mfungaji akiwa Hamisi Twaha aliyeifungia Polisi goli hilo kwa njia ya penati.

Hata hivyo mchezo wa leo ulikuwa kama hadithi vurugu za hivi majuzi iliyojirudia tena kwani mchezo wa leo nao ulilazimishwa kumalizika kwa style ya wachezaji kumpa kichapo mwamuzi Line one wa mchezo huo Jamada Amada, wakidai amewauma kwani walikuwa wamepaki basi huku wakicheza offside trick.

Amada alilazimika kujisalimisha kwa kutimua mbio hadi vyumbani jukwaa kuu. 

Toto Africans ilisawazisha kupitia mshambuliaji wake James Magafu, huku bao la ushindi likifungwa na Jafari Mohamed. (BOFYA PLAY KUSIKILIZA SAUTI RIPOTI YA SPORTS XTRA)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 12417

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>