HERI YA SIKU YA KUZALIWA MWANALIBENEKE WA DEMASHO
Mwanalibeneke wa Demasho.com Hamza Juma akiwa anawajibika , leo hii anasherekea siku yake ya kuzaliwa .Wahenga wanasema maisha ni Safari na siku hazigandi, nakama maisha ni safari basi kila kukicha...
View ArticleVURUGU ZA TIMU YA POLISI DODOMA ZAVUNJA MCHEZO BAINA YAO NA TOTO AFRICANS
NA. ALBERT G.SENGO: MWANZABado vitendo vya baadhi ya timu za Polisi kutumia ubabe kupata matokeo kwenye mchezo hapa nchini hususani Ligi soka daraja la kwanza Tanzania Bara vimeendelea kutawala na kuwa...
View ArticleKUMBE EBOLA NI MPANGO WA MAREKANI..??
HAYAsasa... Ule mgogoro uliokua unaendelea baina Ya Marekani na Korea Kaskazini..wametunishiana msuli mwishowe wameanza kuvuana Mpaka Nguo...Awali Marekani kupitia kampun ya Sony Pictures iliamua...
View ArticleUZINDUZI WA DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY KUFANYIKA JIJINI DAR HII LEO.
Karibu ZuRii House of Beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi litakalo funguliwa rasmi leo Jumatatu 12 Jan 2015.Duka lipo Dar Free Market 1st Floor Shop No F4.Tutakuwa tuko wazi kuanzia saa nne...
View ArticleRAIS KIKWETE AZINDUA NYUMBA ZA KISASA ZA MAKAZI YA WANAJESHI GONGO LA MBOTO,...
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Balozi wa China nchini Mhe Lu Youqing alipowasili kuzindua nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es salaam leo...
View ArticleCHRISTIANO RONALDO AWAPIGA VIKUMBO MESSI NA NEUER NA KUTWAA TUZO YA MCHEZAJI...
HATIMAYE tuzo ya mchezaji Bora wa dunia wa Fifa kwa mwaka 2014 nayojulikana kwa jina laFIFA Ballon d'Or 2014, kwa mara nyingine tena imemwangukia Christiano Ronaldo. Ronaldo ambaye ni mchezaji wa timu...
View ArticleJEH MARA QUEENS WATALIPIZA KISASI HII LEO?
NA WILSON ELISHA:-TIMU ya soka ya wanawake ya Mkoa wa Mara, Mara Queens hatimaye imemaliza kuweka kambi yake kwa ajili ya kulipiza kisasa katika mchezo wa marudiano na Mwanza Queens, kufuatia kipigo...
View ArticleSAKATA LA IPTL NA AKAUNTI YA ESCROW: HAYA NDIYO MASWALI YA KUJIULIZA.
SAKATA la IPTL na Akaunti ya Escrow ya Tegeta bado linafukuta hasa katika uwanja wa siasa na maongezi ya kawaida ya watanzania. Katika hali ya kawaida, mfukuto wa sakata la IPTL Akaunti ya Escrow ya...
View ArticleMATUKIO 10 YA KIPUUZI YALIYOPOSTIWA FACEBOOK NA KUSABABISHA WATU KUTUPWA JELA
Kibongobongo baadhi ya watu wamekuwa wakichukulia poa suala la kuposti matukio hatarishi tena mengine ya kukiuka sheria, kanuni na maadili chekshia video ya matukio 10 ya wenzetu mamtoni na kwingineko...
View ArticleMBUNGE CCM ARUSHA AZINDUA DUKA JIPYA LA UREMBO DAR
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Catherine Magige (kushoto) akiwasili kuzindua rasmi duka la urembo la ZuRii House of Beauty linalomilikiwa na mwana Diaspora ambaye pia ni mwanalibeneke...
View ArticleSIMBA BINGWA MICHUANO YA KOMBE LA MAPINDUZI 2015
Fainali ya Michuano ya Kombe la Mapinduzi 2015 imefanyika usiku huu katika uwanja wa Aman mjini Zanzibar, ambapo Simba Sports Club walikuwa wakipepetana na Mtibwa Sugar.Mbele ya mgeni rasmi Rais wa...
View ArticleCHEKI KICHUPA CHA E-40 ALICHOSHIRIKISHWA JAMAA ATAKAYE TUA MWEZI FEB JIJINI...
Ni Bo-Bo-Bonge la track la msanii E-40 linaloitwa "RED CUP" akimshirikisha T-Pain, jamaa anayetarajiwa kudondoka jijini Mwanza mnamo Tarehe 21 mwezi feb 2015, eneo la tukio ni uwanja wa CCM...
View ArticleMSHINDI WA DROO YA 7 YA 'TUTOKE NA SERENGETI' APATIKANA
Kaimu Meneja chapa bia ya Serengeti Premium Lager, Eli Huruma Ngowi, akiongea na waandishi wa habari, hawapo Pichani wakati wa kuchezesha droo ya Saba ya Shindano la Tutoke na Serengeti la kumtafuta...
View ArticleMHUDUMU AMFIKISHA MAHAKAMANI MBUNGE MACHEMLI KWA MADAI YA KUSHINDWA KUMLIPA...
Machemuli bungeni.NA MWAANDISHI WA BLOG HII, MWANZA. MBUNGEwa Jimbo la Ukerewe, Salvatory Machemuli (Chadema), amefikishwa katika Mahakama ya Kazi akidaiwa mshahara wa miaka mitatu na mhudumu wa Ofisi...
View ArticleTOTO YAIBAMIZA POLISI TBR 2-1
NA. ALBERT GSENGO:MWANZATOTO Africans ya jijini Mwanza hii leo imefanikiwa kugeuza matokeo katika dakika za mwishoni mwa mchezo dhidi ya Polisi Tabora ambayo ilikuwa ikiongoza kwa bao 1-0 hadi dakika...
View ArticleHARUSI YA JULLY NA SUMAI ILIVYOFANA NCHINI AFRIKA YA KUSINI (PARTY ONE)
Bwana harusi Jully Iluga Mbwembwe akiwa na Bi. Harusi wake Sumai Kazi mara baada ya kufunga ndoa takatifu nchini Afrika ya Kusini.Pozi la Bi. Harusi Sumai Kazi.Bustanini.Baba wa Bi. Harusi Mr. Kazi...
View ArticleAIRTEL YATOA VITABU VYA SAYANSI SEKONDARI BARIADI SIMIYU
Mkuu wa wilaya ya Bariadi Bw. Erasto Sima akisoma Hotuba katika makabidhiano ya msaada wa vitabu vya masomo ya sayansi kwa shule ya sekondari Bariadi uliotolewa na kampuni ya Airtel TanzaniaMkuu wa...
View ArticleTHT KUADHIMISHA MIAKA KUMI TOKA KUANZISHWA KWAKE
THT kuadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake, tarehe 31/1/2015, Escape 1· Kufungua kampuni ya ushonaji na ubunifu wa mavaziKituo cha kuzalisha na kukuza vipaji, Tanzania House of Talent,...
View ArticleBALOZI WA UINGEREZA NCHINI TANZANIA AKUTANA NA VIJANA WA SOKA WAISHIO...
Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Dianna Melrose (kushoto) akikabidhi msaada wa jezi na bukta zake kwa mtoto Sunday Hassan ambaye alisimama kwa niaba ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu...
View Article