**SPORTS RIPOTI** Usiku wa jana (jumatano) ndani ya Jukwaa la Wakongwe PART One Juma Amir, akisimulia mchezo wa Taifa Stars ulio sababisha mfadhili wao enzi hizo Reginald Mengi kusahau koti lake Jukwaani akiwazawadia mashabiki, baada ya kupagawa na ushindi waliokuwa wakiungoja zaidi ya miaka 20.
Juma Amir hapa anaelezea visa vitamu na vichungu sokani..... Sikiliza jEMBe fM saa 3 kamili usiku huu hadi 4 kamili LEO kusikia PART TWO. Mtamboni nahodha wako @johnanatory @kinkulah77_master Tupate popote ulimwenguni nenda kwenye play store yako download kitufe cha jEMBe fM sikiliza LIVE kwa simu yako ya mkononi Oyomba yesSs @jembenijembe
Kama uliikosa part ONE hii hapa BOFYA PLAY
Juma Amir hapa anaelezea visa vitamu na vichungu sokani..... Sikiliza jEMBe fM saa 3 kamili usiku huu hadi 4 kamili LEO kusikia PART TWO. Mtamboni nahodha wako @johnanatory @kinkulah77_master Tupate popote ulimwenguni nenda kwenye play store yako download kitufe cha jEMBe fM sikiliza LIVE kwa simu yako ya mkononi Oyomba yesSs @jembenijembe
Kama uliikosa part ONE hii hapa BOFYA PLAY