Mawaziri wa zamani Bazir Mramba, na Yona wapunguziwa adhabu ya kifungo kutoka miaka mitatu hadi miwili baada ya kukata rufaa.
Mawaziri hao walipatikana na hatia ya kutumia madaraka vibaya na kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni 11.5.
Mawaziri hao walipatikana na hatia ya kutumia madaraka vibaya na kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni 11.5.