AIRTEL YATOA GAWIO LA Tshs bilioni 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY
Airtel yatoa gawio la Tshs bilioni 5.3 kwa wateja wa Airtel Money Dar es Salaam, Jumatano 30 Septemba 2015, Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetangaza kugawa zaidi ya shilingi bilioni 5 kwa...
View ArticleZETRIDA EZEKIEL ATOKA NA NARINGA NA YESU!
Zetrida Ezekiel ni mwanamuziki mahiri wa muziki wa injili aishiye mkoani Kigoma, amekuwa mwanamuziki wa nyimbo za injili ambaye ni mwana kwaya wa kikundi maarufu na kikongwe cha nyimbo za injili cha...
View ArticleMAGUFULI AAHIDI KUKOMESHA MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI NCHINI
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa watu kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma leo,...
View ArticleWAGOMBEA UBUNGE NA UDIWANI USO KWA USO NA WAPIGA KURA WAO MUFINDI , WAULIZWA...
Ndg Patrick Lalika, akiuliza Swali kuhusu Mazingira hatarishi kwa Watoto katika mdahalo uliofanyika katika Shule ya Msingi Igowole wilayani Mufindi, ambao ulishirikisha wanafunzi kutoka Shule za...
View ArticlePAPA FRANCIS AKUTANA NA KARANI ALIYEKATAA NDOA ZA JINSIA MOJA.
Papa Francis Kim DavisCHANZO:BBC SWAHILIKiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ameripotiwa kukutana na Kim...
View ArticleTIGO YATOA MCHANGO WA MADAWATI 700 KWA SHULE ZA UMMA MKOANI MBEYA.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Tigo nchini, Diego Gutierrez, (kushoto) akimkabidhi madawati yaliyotolewa na kampuni hiyo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, Tigo imetoa msaada wa madawati 700 yenye...
View ArticleMTOTO ACHOMWA MOTO KWA TUHUMA ZA KUIBA RIMOTI.
Na Emmanuel Mlelekwa KAHAMAMTOTO Julias Makoye (5) mkazi wa Mwendakulima wilayani Kahama mkoani Shinyanga amenusurika kifo mara baada ya kuchomwa moto na Edina Peter 20, kwa tuhuma ya kuiba simu na...
View ArticleKONGAMANO LA ELIMU YA JUU LAFUNGULIWA JIJINI ARUSHA
Afisa Masoko wa Kampuni ya Global Education Link (GEL) wa Tawi la Arusha, Regina Lema akitoa maelezo kwa mmoja ya wageni waliofika katika maonyesho yaliyoandaliwa na wizara ya Elimu na Mafunzo ya...
View ArticleAllegro Moderato presents Ekaterina Mechetina in Dubai - October 24, 2015
Allegro Moderato presents Ekaterina Mechetina in Dubai - October 24, 2015Tickets are available with starting prices from AED 250. For more information and to purchase tickets, please visit...
View ArticleJUMAMOSI HII JEMBE BEACH HAPATOSHI .....!!
Ilikuwa mwezi, hatimaye wiki, na sasa siku ooooooh men!! Ni saa kadhaa zimesalia tukutane na Bonge moja la shoW pale jEMBe BEACH RESORT.... Kiingilio 10,0000/= na VIP 50,000/= unaanzaje kukosa 🎹🚁🚁🚁...
View ArticleUJENZI WA MSIKITI KIMBANGULILE , MKURANGA PWANI.
Msikiti mpya wa Kitongoji cha Kimbangulile, Mkuranga Pwani Msikiti wa zamani wa Kitongoji cha Kimbangulile Wilaya ya Mkuranga mkoni Pwani.Tunamshukuru Mungu kwa wale wote walio tuunga mkono katika...
View ArticleMAFUNZO KANDA YA ZIWA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU.
Mwanasheria wa tume ya uchaguzi Bw.Mtibora Seleman akifafanua jambo wakati wa semina hiyo.Wanasemina wakifatilia kwa karibu mafunzo hayo yanayofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa...
View ArticleKONGAMANO LA SABA LA ELIMU YA JUU LAENDELEA JIJINI ARUSHA
Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania, Profesa Awadh Mawenya, ambaye ni mgeni rasmi katika kongamano la saba la elimu ya juu linalofanyika jijini Arusha akiongea machache mara baada ya kumaliza...
View ArticleMKALI WA SONGI LA 'AMARULA' ROBERTO TOKA ZAMBIA AWASILI NCHINI TANZANIA, ATUA...
Mtangazaji wa Jembe FM host wa kipindi cha HIT ZONE kinachoruka hewani siku za Jumatatu hadi Ijumaa saa saba mchana hadi saa kumi jioni Timoth Ngalula aka 'Mbaba' akifanya mahojiano na mwanamuziki toka...
View ArticleMAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE MKOANI SINGIDA,KESHO KUUNGURUMA SINGIDA...
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiombewa Dua na mmoja wa kiongozi wa dini mara baada ya kusimamishwa na Wananchi wa kijiji cha Puma (hawapo pichani),alipokuwa akielekea mkoani Singida...
View ArticleKAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LIMITED YAPOKEA CHETI CHA UBORA WA BIDHAA...
Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrase Investment Limited Godfrey mkunde kushoto akipokea ncheti cha ubora wa bidhaa za kampuni hiyo kutoka kwa mkurugenzi wa viwango nchini TBS Bw. Joseph...
View ArticleMAMA SULUHU HASSANI 'ATETEMESHA' JIMBO LA ITILIMA, SIMIYU.
Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) akizungumza na wanachama wa CCM pamoja na wananchi wa Jimbo la Itilima kwenye mkutano wa hadhara wa...
View ArticleMGOMBEA UBUNGE KIBAHA AWAHAKIKISHIA WANANCHI KUZILINDA ML.50 ZITAKAZOTOLEWA...
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Kibaha mjini kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Silvestry Koka akiwawahutubia wananchi wa kata ya picha ya ndege katika mkutano wa hadhara.Mwenyekiti wa chama cha...
View ArticleTCRA, JESHI LA POLISI KUKABILIAN NA WAHALIFU WA MTANDAONI.
TCRA, Jeshi La Polisi Kukabiliana Na Wahalifu Wa Mtandaoni.
View ArticleMAWAZIRI WA ZAMANI NCHINI TANZANIA WAPUNGUZIWA KIFUNGO.
Mawaziri wa zamani Bazir Mramba, na Yona wapunguziwa adhabu ya kifungo kutoka miaka mitatu hadi miwili baada ya kukata rufaa.Mawaziri hao walipatikana na hatia ya kutumia madaraka vibaya na...
View Article