Promota wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Jay Msangi akiwa akiwa amebeba jeneza la marehemu Michael Yombayomba kwa ajili ya kwenda kuzika mazishi yaliyofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani jana. |
WAOMBELEZAJI WAKIPELEKA JENEZA LA MArehemu kwenda kuzika |
Mtoto wa marehemu Michael Yombayomba Zakaria Yombayomba akiwasha mshumaa katika kaburi la baBA YAKE JANA. |