Quantcast
Channel: g sengo
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12435

RAIS MAGUFULI AZINDUA BUNGE KWA HOTUBA YENYE HISIA: ARUDIA AHADI ALIZOZITOA KAMPENI ZA UCHAGUZI AKIMAANISHA ANA DENI KWA WATANZANIA

$
0
0
VIPAUMBELE NILIVYONASA BUNGENI DOM:- *Dawa za kulevya ni janga linaloathiri vijana wengi ameahidi kushughulikia mtandao huo na wakubwa wanao husika.

*Mapambano ya rushwa na ufisadi ameahidi kwa wananchi na kilichobaki utekelezaji. 

*Nimeahidi kuunda mahakama ya Rushwa na ufisadi naamini hawataniangusha katika hili sitakuwa na kigugumizi. 

*Wafanyakazi wazembe... Hatuwezi kulea watu ambao wanalipwa mishahara tu wakati hawafanyi kazi yeyote.

*Nitadhibiti warsha ambazo hazina umuhimu katika Serikali yetu wala kuongeza ufanisi kwa wafanyakazi.

*Naahidi kudhibiti Safari za nje ambazo zimekuwa zikigharimu Serikali Fedha nyingi ambazo zingeweza kutumika katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo..

*Serikali ya awamu ya 5 itaongeza wigo katika ukusanyaji wa mapato ukizingatia kuwa kodi ni kitu muhimu na nilazima zikusanywe.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 12435

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>