MACHIMBO YA NYANGARATA YAFUNGWA KWA MUDA
Na Emmanuel Mlelekwa,Novemba 19,2015.KAHAMAWizara ya Nishati na madini imesitisha shughuli za uchimbaji katika machimbo ya Nyangarata yaliyopo wilayani kahama hadi hapo serikali itakaporuhusu shughuli...
View ArticleJAMBAZI LAUAWA: Singida
Mtu mmoja anayesadikiwa kuwa jambazi ameuawa kwa kupigwa risasi mkoani Singida wakati akijaribu kumpora polisi silaha;
View ArticleMAGAZETI NOV 20 TBC
Magazeti Nov 20 TBCMh.Majaliwa asema hakutegemea, aahidi kutumikia wote bila ubaguzi. Dk.Tulia achaguliwa kuwa Naibu Spika Bunge la 11.
View ArticleJAMESON YAANDAA PRE-PART GEORGE AND DRAGON DAR kuelekea Jameson Live Party...
Mshindi mmoja kujishindia tiketi ya watu wawili kwenda Kenya kwenye party ya Jameson itakayotumbuizwa na B.O.BJameson inaandaa pre-party itakayofanyika tarehe 21 ya mwezi huu katika bar ya George and...
View ArticleWAZIRI MKUU AAPISHWA RASMI LEO MJINI DODOMA.
Mhe kassim majaliwa ala kiapo rasmi newHatimaye Mhe Kassim Majaliwa ala kiapo cha uaminifu na kuahidi kuhifadhi na kulinda katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
View ArticleSHEREHE ZA KUAPISHWA WAZIRI MKUU WA AWAMU YA TANO VIWANJA VYA IKULU NDOGO...
Rais Dkt. John Pombe Magufuli, akimwapisha Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa, kuwa Waziri Mkuu wa awamu ya tano, wakati wa sherehe hizo zilizofanyika leo Nov 20, 2015 kwenye Viwanja vya Ikulu ndogo...
View ArticleKATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU ANOGESHA MAHAFALI YA 10 YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA...
Mkurugenzi wa Elimu ya Ufundi na Ufundi Stadi Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Thomas Katebalilwe akihutubia kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni...
View ArticleRAIS MAGUFULI AZINDUA BUNGE KWA HOTUBA YENYE HISIA: ARUDIA AHADI ALIZOZITOA...
VIPAUMBELE NILIVYONASA BUNGENI DOM:- *Dawa za kulevya ni janga linaloathiri vijana wengi ameahidi kushughulikia mtandao huo na wakubwa wanao husika.*Mapambano ya rushwa na ufisadi ameahidi kwa wananchi...
View ArticleMVUTANO WA KISIASA ZANZIBAR, ZITTO AWATUSI UKAWA, RAIS MAGUFULI AFYEKA 50...
Mvutano wa kisiasa Zanzibar, Zitto awatusi Ukawa, Raisi Magufuli afyeka 50 msafara mkutano wa Madola. Tazama uchambuzi wa Magazeti.
View ArticlePANONE FC YASONGA MBELE LIGI YA SHIRIKISHO YA AZAM,YAIFUNGA POLISI DAR ES...
Wachezaji wa timu ya soka ya Panone fc wakipasha misuli moto kabla ya kuanza kwa mchezo wa ligi ya shirikisho inayodhaminiwana Azam.Wachezaji wa timu ya Polisi Dar wakipasha misuli moto kabla ya kuanza...
View ArticlePICHA ZA KUMBUKUMBU BAADA YA RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KUZINDUA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wabunge muda mfupi baada ya kuhutubia na kuzindua rasmi Bunge la 11 mjini Dodoma Jumamosi Novemba 20, 2015Rais wa...
View ArticleUFISADI WAMWONDOSHA WAZIRI MADARAKANI KENYA.
WAZIRI mwenye ushawishi mkubwa katika serikali ya Rais Uhuru Kenyatta amejiuzulu wadhifa wake baada ya shinikizo kutolewa ajiuzulu kutokana na tuhuma za ufisadi.Bi Anne Waiguru, ambaye amekuwa Waziri...
View ArticleMBUNGE WA JIMBO LA NYAMAGANA, MABULA ATAKA UONGOZI KUSITISHA ZOEZI LA...
Stanslaus Mabula DODOMA.MBUNGEwa Jimbo la Myamagana mkoani Mwanza, Stanslaus Mabula (CCM) ameutaka uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kusitisha tamko na zoezi la kuwaondoa na kufanya shughuli zao...
View ArticleSERA YA HAPA KAZI TU YAANZA KUFANYA KAZI FEDHA MISOSI YA SHEREHE YA BUNGE...
Magari ya Bohari ya Dawa (MSD), yakishusha vifaa tiba Taasisi ya Moi kufuatia agizo la Rais Dk.John Magufuli kulitaka Bunge kutumia sh.milioni 15 kwa ajili ya kujipongeza na fedha zilizobaki...
View ArticleBIMA YA AFYA NHIF YAKANUSHA KUDAIWA NA HOSPITAL YA RUFAA MBEYA
Na Mwandishi wetu,Dar es salaam Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini umekanusha kuwepo kwa madai yaliyotolewa na Hospital ya Rufaa Mkoani Mbeya kuwa wanaudai Mfuko jumla ya shilingi bilioni 2 na...
View ArticleKATIBU MKUU CHAMA CHA MADEREVA YAENDAYO MIKOANI AFARIKI DUNIA KWA KUSADIKIWA...
Kifo cha katibu chama cha madereva Chagubikwa na UtataKatibu mkuu wa Chama cha Madereva yaendayo mikoani Rashid Saleh amefariki dunia kwa kusadikika Kula chakula chenye Sumu.
View ArticleCHADEMA WAFUNGUA KESI MAHAKAMA KUU KANDA YA ZIWA.
Ulinzi umeimarishwa barabara inayoingia mahala penye ofisi za Chadema \mkoa wa Mwanza, jeshi la polisi limefunga barabara hiyo tangu majuzi.CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) LEO asubuhi...
View ArticleMGOMBEA CCM AIBUKA MSHINDI JIMBO LA ULANGA.
Mgombea wa CCM Goodluck Mlinga ameibuka mshindi katika kinyang’anyiro cha ubunge wa jimbo la Ulanga.MATOKEO ya uchaguzi jimbo la Ulanga. Isaya Maputa ACT kura 626,Mlinga Goodluck CCM kura...
View Article