Fuatilia hafla ya kuapisha baraza la mawaziri inayoendelea katika viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaa.
Mawaziri wapya wakishiriki katika zoezi la kula kiapo mbele ya rais Magufuli jijini Dar es Salaam.
Ni baraza lililosheheni watendaji watiifu na waadilifu ambao watajiunga pamoja na Rais Magufuli kutumikia wananchi.
Ni kiapo kinachojumuisha umanifu na utunzaji wa siri za baraza la mawaziri sanjari na utendaji mzuri wa kazi za Taifa.
Mawaziri wapya wakishiriki katika zoezi la kula kiapo mbele ya rais Magufuli jijini Dar es Salaam.
Ni baraza lililosheheni watendaji watiifu na waadilifu ambao watajiunga pamoja na Rais Magufuli kutumikia wananchi.
Ni kiapo kinachojumuisha umanifu na utunzaji wa siri za baraza la mawaziri sanjari na utendaji mzuri wa kazi za Taifa.