RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ASAMEHE WAFUNGWA 2,336 KATIKA KUADHIMISHA MIAKA...
Katika kuadhimisha miaka 54 ya Uhuru wa Nchi yetu tarehe 9 Desemba, 2015 Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutumia madaraka aliyopewa chini ya ya Ibara ya 45(1)(d) ya Katiba ya Jamhuri...
View ArticleBARAZA LA MAWAZIRI SERIKALI YA AWAMU YA 5 YA RAIS MAGUFULI
Magufuli: Tutakuwa na mawaziri 19, kuna baadhi ya wizara zitakuwa na mawaziri na hazitakuwa na manaibu waziri. Lengo ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama. Zilitengwa bilioni 2, mawaziri...
View ArticleVIDEO ZA MAGUFULI AKITANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI.
Hatimaye rais Magufuli atangaza baraza lake la mawaziri ambapo baraza hilo lina wizara chache kama alivyoeleza hapo awali.Rais Magufuli ameagiza fedha zilizotengwa kwaajili ya semina elekezi kwa...
View ArticleBARAZA LA HALAMSHAURI YA WILAYA YA MOSHI LAMCHAGUA MICHAEL KILAWILA KUWA...
Wajumbe wa baraza la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi,wakiwa ukumbini hapo kabla ya kuapishwa.Baadhi ya wajumbe wa baraza hilo kabla ya kuapishwa.Wajumbe wa baraza la Madiwani wa Halmashauri...
View ArticleCCM YAMSIMAMISHA JAMES BWIRE KUWANIA NAFASI YA MEYA HALMASHAURI YA JIJI LA...
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu CCM wilaya ya Nyamagana katika uchaguzi wa kumsaka diwani atakaye simama kwa tiketi ya chama hicho kuwania nafasi ya...
View ArticleJINSI WAFANYAKAZI WA TIGO WALIVYOSHIRIKI ZOEZI LA USAFI 9 DEC 2015
Meneja wa Kanda ya Ziwa Kampuni ya Mawasiliano ya simu Tigo Bwa. Edgar Mapande akifanya usafi katika moja ya mitaro sugu ipitishayo maji barabara inayoingia katika moja ya mitaa inayounganisha Soko la...
View ArticleALIYEKUWA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA SUMVE AKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUGUSHI NA...
NA PETER FABIAN, MWANZA. MKURUGENZI na Mmiliki wa shule binafisi ya Ntunduru, Richard Mchele na mwanamke mmoja wamekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kugushi Hati ya nyumba na Nyaraka ili kujipatia...
View ArticleMANCHESTER UNITED YATUPWA NJE MICHUANO YA KLABU BINGWA ULAYA.
Machester United imeaga michuano ya klabu bingwa Ulaya baada ya kukubali kipigo cha bao 3 kwa 2 dhidi ya Wolfsburg ya Ujerumani.
View ArticleTRAFFIC MWANZA ATUMBUKIZA BAJAJI DEREVA WA BODABODA MTARONI ....JEH...
Kupitia kipindi cha KAZI NA NGOMA ya JEMBE FM Mwanza stori ya Traffic aliyetumbukia mtaroni akiendesha bajaji ya mizigo aliyoikamata kutoka kwa dereva wa bodaboda imesikika, nini kisa na mkasa kwa...
View ArticleVIDEO ZA SHUGHULI NZIMA YA KUAPISHWA KWA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI.
Fuatilia hafla ya kuapisha baraza la mawaziri inayoendelea katika viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaa.Mawaziri wapya wakishiriki katika zoezi la kula kiapo mbele ya rais Magufuli jijini Dar es...
View ArticlePICHA YA LORRAINE MARRIOT - Miss Universe Tanzania 2015 akiwa Las Vegas -...
Hii ni picha nyingine ya mrembo Lorraine na imetoka usiku ikiwa ni official picha ya close up akiwa amevalia official gown Asanteni kwa ushirikianoMaria Sarungi-Tsehai National Director
View ArticleMAGAZETI YA LEO DEC 13/2015
Je ni habari gani zimepewa uzito wa juu katika magazeti ya leo nchini? Fuatilia habari kemkem kupitia uchambuzi wa magazeti ya leo.
View ArticleMAADHIMISHO YA UHURU NA USAFI 2015 YAIACHA ILEMELA PABAYA.
Uhuru na Usafi ikiwa ni Kauli mbiu ya maadhimisho ya UHURU wa Tanganyika (Tanzania bara) ambayo yalikuja kupitia amri ya Amiri jeshi mkuu wa nchi yetu Dkt John Pombe Magufuli kuzitaka familia na...
View ArticleDONDOO ZA MAGAZETI.
Waziri asimulia saa 12 za miujiza. Mke wa Maalim Seif azua jambo. Wakurupushwa wakigawana shamba la Yona.Vigogo 15 mbaroni manisapaa ya Bukoba. Mawaziri spidi 120 washauriwa kutofanya kazi kwa woga....
View ArticleMISRI: HAKUNA USHAHIDI NDEGE YA URUSI ILIDUNGULIWA.
mage captionMisri 'Hakuna ushahidi ndege ya Urusi ilidunguliwa'CHANZO: BBC SWAHILI.Maafisa wa upelelezi wa ajali za ndege kutoka Misri wamesema kuwa hawajapata ushahidi wowote kuwa ndege ya Urusi...
View Article