Quantcast
Channel: g sengo
Browsing all 12415 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA RORYA AKANUSHA KUMKEJELI MAGUFULI.

MBUNGE wa Rorya Lameck Airo amesikika kupitia Jembe Fm 93.7 Mwanza katika kipindi cha SATURDAY EXPRESS akijibu tuhuma zilizoelekezwa kwake kwamba ....Alinukuliwa na vyanzo vya habari ikiwemo mitandao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM MWANZA YATEUWA WAGOMBEA NAFASI ZA WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI...

Katibu wa Siasa na Uenezi wa Mkoa, Saimon Mangelepa.Na PETER FABIAN, MWANZA.CHAMACha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza jana kiliketi na kimeteuwa Madiwani kugombea nafasi ya Wenyeviti na Makamu wenyeviti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MAJESHI MSTAAFU,JENERALI GEORGE WAITARA AONGOZA TIMU YA MAAFISA 24 WA...

Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi,Fulgence Mponji akizungumza katia hafla fupi ya kuanzisha safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa maofisa 24 wa jeshi la wananchi Tanzania .kulia ni Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOSOMA HOGONGO SEKONDARY WILAYANI MUHEZA MKOANI TANGA WAKUTANA KUUNDA...

Mwenyekiti wa muda wa wanafunzi waliosoma Shule ya Sekondari ya Hogongo iliyopo Muheza mkoani Tanga, Elliude Pemba (kulia), akizungumza na wanafunzi wenzake wa shule hiyo waliosoma kuanzia 1980 hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL FURSA YATUA BUKOBA, YAONGEA NA VIJANA KUTOOGOPA VIKWAZO KATIKA...

Mjasiliamali wa mjini Bukoba Adamu Hemed akipokea cheti kutoka kwa meneja biashara wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Mohamedi kabeke baada ya kuhudhuria mafunzo ya ujasiliamali yaliyoendeshwa na...

View Article


JWTZ YAWASHIKILIA WAFANYAKAZI 4 WA SHIRIKA LA HUDUMA ZA VIWANJA VYA NDEGE KWA...

Jeshi la wananchi watanzania JWTZ linawashikilia wafanyakazi 4 wa shirika la huduma za viwanja vya ndege la SWISS PORT kwa tuhuma za kupiga picha vifaa vya jeshi hilo wakati vikiingia uwanja wa ndege...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEREKO LA HARUSI YA STEVEN.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PANAFRICAN ENERGY YATOA YAFADHILI UJENZI WA WODI YA ‘MAMA NGONJEA’ HOSPITALI...

Meneja Uwajibikaji kwa jamii kutoka Kampuni ya PanAfrican Energy Andrew  Kangashaki  (kushoto ) na Mkurugenzi wa Wilaya ya Kilwa Twalib Mbasha wakikabidhiana mkataba wa miradi  ya ujenzi wa nyumba ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA MAFUTA YA PUMA YATEKELEZA AGIZO LA RAIS YAKABIDHI VIFAA VYA USAFI...

 Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania, Philippe Corsaletti (wa tatau kulia), akimkabidhi vifaa mbalimbali vya usafi wa mazingira vyenye thamani ya sh.milioni 5.5, Katibu Tawala (DAS), wa Wilaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari njema: Malipo ya vipimo vya MRI yafanyika kutoka Michango ya wasamaria...

Hati ya malipo kwa ajili ya vipimo vya MRI kwa dada Joyce iliyotolewa leo baada ya kulipiwa. Inatarajiwa atapimwa Alhamisi ama Ijumaa kabla jopo la Madaktari kuamua nini cha kumfanyia.Ndugu Wasamaria...

View Article

KATIBU WA AFYA SINGIDA ASIMAMISHWA KAZI

Jeshi la polisi Mkoani Singida linamshikilia katibu afya wa wilaya ya Mkalama kwa tuhuma za ubadhilifu wa fedha.

View Article

WAFANYABIASHARA ARUSHA WAPEWA SIKU 7 KULIPA KODI.

Wafanyabiashara mkoani Arusha wamepewa siku saba kulipa kodi wanazodaiwa.

View Article

TOTO AFRICANS YATEKELEZA AGIZO LA MAGUFULI

Klabu ya Toto Africans ya jijini Mwanza imetekeleza agizo la Rais Magufuli kwa kufanya usafi katika baadhi ya maeneo ya jiji hilo

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI MUDA WA KAZI SASA.

Ni muda wa kazi sasa .....Naaam mara baada  ya shughuli za usafi tangu asubuhi mpaka sasa ambapo sisi kama Jembe Fm na wadhamini wetu pamoja na wadau mbalimbali wakiwemo wananchi mkoa wa Mwanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ASHIRIKI ZOEZI LA USAFI SOKO KUU LA CHALINZE

Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Eng. Evarist Welle Ndikilo wakielekea soko kuu la Chalinze kushirikiana na wananchi kufanya usafi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA KUBWA LA MSAFARA LINALOWAHUSISHA VIJANA KUFANYIKA JUMAMOSI HII...

Kutoka kushoto ni Manoah William Waziri wa Elimu Serikali ya wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Agnes Inocent wa YFF, James Isdore Mwenyekiti wa Msafara,Fadhiri Meta kutoka Youth can na  Batseba...

View Article

RAIS MAGUFULI AFANYA USAFI ENEO LA FERI.

Rais Magufuli aungana na wavuvi wa eneo la Feri jijini Dar es Salaam  katika kufanya usafi katika maeneo yao lakini pia wavuvi hao wakapata fursa ya kumueleza rais matatizo yao. 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA SHINYANGA AUNGANA NA WANANCHI KUFANYA USAFI KATIKA SHEREHE ZA...

Na Emmanuel MlelekwaDedc 9,2015.SHINYANGAWafanya biashara wilayani Kahama Mkoani Shinyanga wamelazimika kufunga  biashara huku wananchi wakisitisha shughuli zao kwa takribani masaa 5 kuanzia saa 1 hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JEMBE FM NA WADAU WAKE WAADHIMISHA UHURU KWA KUFANYA USAFI HOSPITALI YA MKOA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKOSI MAALUM CHA KUPAMBANA NA UHARAMIA CHAKAMATA SHEHENA YA MADAWA YA...

Kikosi maalum cha kupambana na uharamia cha Australia chakamata Shehena ya zaidi ya kilo 151 za dawa za kulevya katika Pwani ya Tanzania.Thamani ya dawa hizo ni zaidi ya dola za Marekani 80 (zaidi ya...

View Article
Browsing all 12415 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>