Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi aliyepigwa jana na aliyekuwa Mbunge wa Bunda Stephen Wasira leo amehojiwa na kituocha Radio JEMBE FM Mwanza na kufunguka kilichotokea katika mkasa huo ambao ni ishara ya kuonyesha adha wanazokutana nazo waandishi wa habari hapa nchini pindi wanapokuwa kwenye utimizaji wa majukumu yao ya kila siku. BOFYA PLAY KUSIKILIZA.
↧