Quantcast
Channel: g sengo
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12422

TSC YAOMBA WADHAMINI KUSAPOTI TANZANIA KUELEKEA KOMBE LA DUNIA LA WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU 2014 BRAZIL

$
0
0
                      Kocha Slyvester Mash.                                                      Aritaf Mansoor aka Dogo. 
 NA ALBERT G. SENGO.
MWANZA.

Mazoezi kwa timu ya Taifa ya Tanzania kwa watoto waishio katika Mazingira magumu yaaendelea jijini Mwanza.

Mkurugenzi wa kampuni ya Moil Industry Aritaf Mansoor Dogo amewataka wadau wa michezo pamoja na makampuni mbalimbali kujitokeza kuongeza nguvu katika kudhamini maandalizi hayo sambamba na kuwapatia vifaa vijana hao ili kufikia malengo ya kuutwaa ubingwa wa dunia Kombe la vijana waishio mazingira magumu. (BOFYA PLAY SIKILIZA)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 12422

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>