Mwanamume mmoja mwenye umri wa makamo ametiwa mbaroni na maafisa wa polisi mjini kisumu baada ya kudaiwa kushiriki kitendo kisicho cha kawaida na kuku. Inadaiwa mwanamume huyo amekuwa na mazoea ya kutekeleza kitendo hicho. Ni tukio lililotokea mwishoni mwa mwaka jana mjini Kisumu.
↧