ZAIDI YA WASANII 260 WAJITOKEZA KUWANIA NAFASI KUTUMBUIZA JUKWAA LA JEMBEKA...
Kuelekea Show ya Uzinduzi wa Jembe Fm Radio ya Jijini Mwanza unaotarajia kufanyika May 23 mwaka huu katika Uwanja wa CCM Kirumba, zaidi ya Wasanii 260 ambao wanafanya style tofauti tofauti za muziki...
View ArticleMBUNGE WA JIMBO LA KIGAMBONI DK. FAUSTINE NDUGULILE MGENI RASMI MKUTANO
Mwalimu mstaafu wa Sekondari na Mjumbe mwelimishaji wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa Wzazi Tua Moyo Ali Ahmad kwa jina maarufu mpemba wa Asili, akisoma shairi wakati wa Mkutano wa...
View ArticleCCM YAAGIZA RC, MULONGO, AMSHUGHULIKIE ALIYEKULA FEDHA ZA WANANCHI WA MTAA WA...
Katibu wa Mkoa wa Chama hicho, Miraji Mtaturu katika moja ya mikutano yake. NA PETER FABIAN, MWANZA.CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza, kimemwagiza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo,...
View ArticleKAIMU MGANGA MKUU MWANZA (RMO) ATAKA SHIRIKA LA ICAP TANZANIA KUDHIBITI...
Meneja Mradi wa Shirika la ICAP Tanzania Mkoa wa Mwanza, Aziz Itaki, akitoa mada kwenye warsha ya siku moja ya jana jijini Mwanza, kwa wadau wa baadhi ya Taasisi za serikali na kutoka makundi maalumu...
View ArticleBONDIA ADAM NGANGE WA CHANIKA AMSAMBALATISHA IDDI PIALALI WA BAGAMOYO
Mabondia Adam Ngange wa Chanika Dar es salaam kushoto na Iddi Pialali wa Bagamoyo Mkoa wa Pwani wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki...
View ArticleMBUNGE KWIMBA AMLIPUA DIWANI KUTOFANYA VIKAO VYA MAENDELEO KWENYE KATA
Mbunge wa Jimbo la Kwimba, Shanif Mansoor, akipampu maji safi kwenye moja ya kisima alichofadhili katika Kijiji cha Mwankurwe kilichogharimu kiasi cha shilingi milioni nne na kumaliza kero ya muda...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONYESHO YA BIASHARA NCHINI CHINA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Kamati ya maandalizi ya Maonyesho ya Biashara ya China 'Expo Central China 2015',...
View ArticleNKURUNZIZA AWATIMUA MAWAZIRI WAKE WATATU.
HISANI YA BBC SWAHILI.Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, amewafuta kazi mawaziri watatu, huku maandamano yakiendelea katika mji mkuu kufuatia jaribio la mapinduzi, juma lililopita.Mawaziri...
View ArticleSELCOM YAWEZESHA MALIPO YA PANGO YA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) KWA NJIA...
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Selcom Tanzania Sameer Hirji akimuonyesha mashine ya POS ya Selcom Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Nehemiah Mchechu. Mashine hizo zitatumika katika...
View ArticleTIMU YA TANITA VETERAN YAIBUKA NA UBINGWA MICHUANO YA KOMBO LA KOKA CUP KIBAHA
NA VICTOR MASANGU, KIBAHA TIMU ya soka ya Veterani imeweza kuibuka na ubingwa baada ya kuichapa timu ya Phat fam fc kwa mabao 2-1 katika mchezo wa fainali wa michuano ya kombe la Koka Cup kwenye uwanja...
View ArticleMBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MAENDELEO
Diwani wa Soko la Tazara Vetenary Zahoro Maganga akitoa maelezo kwa Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu alipotembelea maeneo yaliyoharibiwa na mvua akiongozana na viongozi wa Wakala wa Serikali...
View ArticleJESHI LA POLISI MWANZA KUMUAGA KAMANDA VALENTINO KWA BONANZA LA SOKA
Aboubakari Zebo.NA: ALBERT G. SENGO: MWANZAIli kuhakikisha kuwa fursa zilizopo katika Michezo nchini zinatumika vyema Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza limeandaa Bonanza la Soka lenye lengo la...
View ArticleMBEYA WEZESHWA.
Mkuu wa Wilaya ya Chunya Deodatus Kinawilo akimkabidhi sehemu ya mashine ya kutobolea vyuma mmoja wa wajasiliamali, Adili Kayuni katika program ya Safari lager wenyeshwa iliyofanyika mwishoni mwa wiki...
View ArticleMISA YA KUWAOMBEA WALIOPOTEZA MAISHA AJALI YA MV BUKOBA KUFANYIKA KESHO...
MISA ya kuwaombea watu waliopoteza maisha katika ajali ya meli ya Mv Bukoba iliyotokea mnamo tarehe 21 Mei 1996 na kuua mamia ya watu na mali zao inatarajiwa kufanyika kesho alhamisi ya tarehe 21 Mei...
View ArticleKIPINDUPINDU TISHIO KAMBI YA WAKIMBIZI WA BURUNDI NYARUGUSU, OXFAM YATOA...
Baadhi ya wakimbizi wakiwa wamewasili Kigoma Wakimbizi kutoka Burundi wakisubiri huduma mbalimbali za kijamii Mmoja wa wakimbizi akiwa anapata matibabu Hapa watoto wa wakimbizi wakijipikia Chakula ,...
View ArticleMBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU ATOWA MADAWATI 270 KWA SEKONDARI ZA...
Baadhi ya madawati 270 yaliyonunuliwa na Mbunge wa Jimbo la Temeke kwa Shule za Sekondari zilizopo Jimboni kwake ambapo madawati 100 yalikwisha chukuliwa kupelekea jumla ya madawati 300 yenye jumla ya...
View ArticleMEGATRADE INVESTMENT LTD YA JIJINI ARUSHA YAWABEBA KILIMANJRO FC INAYOSHORIKI...
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini A rusha ,kanda ya Kaskazini ,Edmund Rutaraka akikabidhi hundi ya kiasi cha sh Mil ,1.5 kwa mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa...
View Article