Quantcast
Channel: g sengo
Browsing all 12416 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA,...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili kwenye Ukumbi Maalum kwa watu wa China. 'Peoples...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA PSPF FLAVIANA MATATA ATOA ELIMU YA FURSA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA...

Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata akitoa elimu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu (hawapo pichani) jijini Mwanza. Afisa Mfawidhi Ofisi ya PSPF Mwanza, Bw. Salim Salim, akisalimiana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA BONITE BOTTLERS YAMWAGA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MOSHI...

Meneja mwajiri wa kampuni ya Bonite Bottlers ,Joyce Sengoda akiwasalimia wananchi katika vijiji vya Mikocheni ,Kilungu na Chemchem vilivyofikwa na mafuriko hivi karibuni wakati uongozi wa kampuni hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBOVU WA BARABARA WAWAKOSESHA RAHA WATALII WA NDANI KATIKA HIFADHI YA TAIFA...

Magari yaliyokuwa yakitumiwa na watalii wa ndani waliokuwa wakipanda kwenda kilele cha Shira yakiwa yameegeshwa baada ya kushindwa kuendelea na safari kutokana na ubovu wa barabara .Baadhi ya watalii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMOURY BEYBY - SEBENE

BOFYA PLAY SIKILIZA MDUDE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKYLIGHT BAND YAREJESHA RATIBA YAKE YA BURUDANI KILA IJUMAA, SASA NI KIOTA...

Waimbaji wa Skylight Band wakiendelea kutoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa bendi hiyo (hawapo pichani).Ashura Kitenge mwenye sauti ya kumtoa nyoka panoni akiimba kwa hisia kali huku akisindikizwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIZI HAPA PICHA 30 ZA MAPOKEZI YA DIAMOND PLATNUMZ JIJINI MWANZA KUELEKEA...

View Article

UMISETA JIJINI MWANZA.

HOTUBA YA KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA MWANZA WAKATI WA KUFUNGUA MASHINDANO YA NGAZI YA MKOA YA MICHEZO YA SHULE ZA SEKONDARI TANZANIA (UMISSETA) NSUMBA SEKONDARI TAREHE 23 MEI, 2015Awali ya yote...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STORY NA PICHA ZA MBUNGE WA JIMBO LA KIBAHA AKIKABIDHI ZAWADI KWA MABINGWA WA...

Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka kushoto akimkabidhi kitata cha shilingi laki tatu naodha wa timu ya Kongowe FC Frank Hashimu mara baada ya kutawazwa bingwa katika michuano ya koka cup...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANDHARI MWANANA YAWAVUTIA WATALII WA NDANI HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA...

Baadhi ya watalii wa ndani wakiwa katika gari kuelekea kilele cha Shira katika hifadhi ya mlima Kilimanjaro.Kundi la Pili la watalii wa ndani wakiwa katika eneo la uwanda wa Shira mara baada ya kufika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA- MWANZA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIATAARIFA KWA UMMAKUHUSU KAMPENI YA UGAWAJI WA DAWA ZA KUKINGA NA KUTIBU MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE   KATIKA MKOA WA MWANZANdugu Wananchi,Magonjwa yaliyokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

“YENU BAA” YAIBUKA KIDEDEA SHINDANO LA FANYAKWELI KIWANJANI

Mtangazaji wa kipindi maarufu cha Ubaoni kinachorushwa na redio Efm Bw. Seth Katende, (Kulia)  akimzawadia Alex Minja (katikati) zawadi ya Tisheti kurudisha shukrani kwa wapenzi wa bia ya Tusker...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIPINDI CHA MBONI SHOW CHAAZIMISHA MIAKA MITATU KWA KUTOA MSAADA HOSPITALI YA...

 Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akimkabidhi Mkuu wa Idara ya Uzazi na Magonjwa ya Akina mama wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dokta Mathew Kallaga (aliyepokea kwa niaba ya uongozi) vifaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO PWANI YAWANASA WEZI WA UMEME WASABABISHA HASARA YA SHILINGI MILIONI 12

NA VICTOR MASANGU, PWANI SHIRIKA la ugavi wa umeme Tanesco Mkoa wa Pwani limepata hasara ya kiasi cha shilingi zaidi ya milioni 12 kutokana na baadhi ya wateja wake nane kuhujumu miundombinu yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATANGAZA RATIBA YA UCHAGUZI MKUU 2015

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJUMBE WA HALMASHAURI KUU CHADEMA ,JAFARY MICHAEL AFUNGUA MATAWI MAPYA MOSHI

Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chadema na meya wa manispaa ya Moshi ,Jafary Michael akizungumza wakati wa uzinduzi wa tawi katika kata ya Longuo mjini Moshi.Ofisi mpya ya Chama cha Demokrasia na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJASILIAMALI 10 KANDA YA ZIWA WAWEZESHWA NA SAFARI LAGER.

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza, Baraka Konisaga(wa pili kushoto) akimkabidhi mjasiliamali Jenereta wakati wa hafla ya kukabidhi Ruzuku kwa wajasiliamali 10 wa Kanda ziwa katika Programu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA AWALI TAMASHA KUBWA LA BURUDANI 'JEMBEKA FESTIVAL 2015 OYOMBA...

Mmoja wa wasanii washindani wa Mkali Jembeka akionesha ufundi wake katika hip hop kwenye fainali ndani ya Tamasha kubwa la burudani 'JEMBEKA FESTIVAL' lililozinduliwa Jumamosi ya tarehe 23/05/2015...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA MAJI YA DASANI KATIKA MUONEKANO MPYA

Mkuu wa Masoko wa Nyanza Bottling Company LTD Marco Masaka akitoa taarifa ya uzinduzi wa Dasani mwonekano mpya mbele ya wanahabari na wananchi waliofurika katika viwanja vya nje ya lango kuu la kampuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANZA NA MAKAMUZI YA JEMBEKA FESTIVAL OYOMBA YES!!!! PART TWO

MAELEZO YAJA PUNDE 

View Article
Browsing all 12416 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>