BARNABA AONGOZA KWA KAZI NZURI MWAKA 2015
Barnaba ameingia katika list ya wasanii wakubwa walioshiriki katika kazi za wasanii wengine na ndiye msanii anayeongoza kusaidia wasanii wanaochipukia katika muziki wa Bongo Fleva kwa mwaka...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA MARIAN BAGAMOYO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Pengo, kwa pamoja wakikata utepe kuzindua Chuo...
View ArticleHOTUBA YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA (Mb) KWENYE MKUTANO WAKUTANGAZA NIA YA...
Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa ahutubia wananchi kwenye Mkutano wa hadhara, wakati akitangaza nia yake ya kuwania Urais wa Awamu wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia...
View ArticleSAFARI ZA WALIOTANGAZA NIA
Safari hii kuna changamoto ya kutosha, angalia haya na utauona ukweli mbele ya safari,- Kuna wanaojitangaza sasa ili kujiandaa kwa miaka ijayo,kuna wanaoamini sasa ni muda wao kuongoza,kuna waoona...
View Article18 KUPATIKANA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 MCHUJO WAANZA RASMI...
Muwakilishi wa Mgeni Rasmi Mkurugenzi Mtendaji wa TBS Joseph Masikitiko katika Hafla ya maamuzi ya fomu za shindano la mamashujaa wa Chakula Bi. Stella E. Mrosso wa kwanza kushoto, wa pili kutoka...
View ArticleTAMASHA LA KOMAA CONCERT LILIVYOFANA NDANI YA KIOTA CHA MARAHA CHA DAR LIVE
Uongozi pamoja na Wafanyakazi wa kituo cha radio ya EFM 93.7 kwa pamoja wakikata keki kusherehekea kutimiza mwaka mmoja wa kituo hicho ambacho kwa sasa kinakuja kwa kasi jijini Dar na kwingineko,hafla...
View ArticleHeri ya Kuzaliwa mwanakijiji Josephat Lukaza..Feliz cumplea単os Josephat Lukaza
Mwanakijiji Josephat LukazaTunapenda Kuchukua nafasi hii kukupongeza kwa kufikisha Miaka kadhaa ya kuzaliwa kwako na ukiwa sehemu ya wanakijiji wa digitali hapa duniani.Tunachukua nafasi hii kumuomba...
View ArticleHII NDIYO KAMATI KUU (CC) YA CCM ITAKAYOPITISHA MAJINA MATANO YA WAGOMBEA...
Hii ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM itakayopitisha majina matano ya wagombea uraisi kwa ajili ya kupigiwa kura na NEC kupata mgombea mmoja.1. Jakaya Mrisho Kikwete 2. Dr. Ally Mohamed Shein 3. Phillip...
View ArticleTAASISI YA UTT-PID CHINI YA WIZARA YA FEDHA YAPANUA BARABARA ENEO LA MRADI WA...
Muonekano wa viwanja vya Mabano vilivyopimwa na Taasisi ya UTT-PID kwa ushirikiano na Halmashauri vilivyopo Manispaa ya Lindi.Baada ya kupima na kufanikiwa kuuza viwanja zaidi ya 2,500 katika fukwe za...
View ArticlePICHA YA MKE WA MBUNGE AKIMKABIDHI NAHODHA WA TIMU YA VINYOZI FC BAADA YA...
Mke wa mbunge wa jimbo la Kibaha mjini mama Selina Koka wa katikati akimkabidhi zawadi ya kitita cha shilingi laki tatu naodha wa timu ya soka ya Vinyozi FC Kaiko Kantimbo wa kulia baada ya kuibuka...
View ArticleMBIO ZA URAIS: LEO NI ZAMU YA PROFESA MUHONGO
Leo ni zamu ya Profesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania, kurithi mikoba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Profesa Muhongo anatangaza nia yake...
View ArticleMAKONGORO: NAOMBA KIBALI NIIOKOE CCM DHIDI YA RUSHWA
CHANZO: GAZETI LA MWANANCHIMTOTO wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Charles Makongoro, ametangaza nia ya kuwania urais, akisema anaomba kibali kuisaidia CCM iache rushwa, kuparaganyika na...
View ArticleKATIBU WA CCM MKOA WA MWANZA ATINGA VISIWA VYA ZIWA VICTORIA
KATIBU wa CCM Mkoa wa Mwanza akiwa safarini kuelekea visiwa vya Kwelu, Ilugwa na kisha Ukara kufanya mikutano yahadhara na wananchi wa maeneo ya huko, Ilugwa na Kwelu havijawahi kufikiwa na kiongozi...
View ArticleRAIS KIKWETE ZIARANI FINLAND
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Balozi Dorah Msechu katika uwanja wa ndege wa Helsinki alipowasili tayari kwa ziara ya siku tatu ya nchi hiyoRais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Balozi wa...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MKURUGENZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI TBC
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muuangano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa, TBC, Clement Kiondo, wakati alipofika na ujumbe wake Ofisini...
View ArticlePROFESA MUHONGO: "MWENYE UWEZO WA KUIKWAMUA TANZANIA NI MIMI"
Profesa Muhongo: Mwenye uwezo wa kuikwamua Tanzania ni mimi*Atangaza nia kwa kutoa takwimu za umasikini na utajiri*Asema viwanda, gesi, umeme utaipaisha TanzaniaNA MWANDISHI WETU, MUSOMAWAZIRI wa...
View ArticleDR. KAMANI: "UTAWALA BORA HAIMAANISHI KUWA LEGELEGE"
DR. KAMANI: "TUNAHITAJI SERIKALI YENYE NGUVU ILI KUSHINDANA NA KASI YA MAENDELEO DUNIANI" Asema hayo wakati akitangaza nia kugombea Urais kupitia CCMDR. KAMANI: "UTAWALA BORA HAIMAANISHI KUWA LEGELEGE"...
View ArticleHII NDIYO SUPRISE KWA FAMILIA YA WAYNE ROONEY.
A surprise meeting for Wayne Rooney and family in the waters around the BahamasBest of social mediaWayne Rooney huwa ana utaratibu wake wa kutundika mitandaoni picha za kumbukumbu alizopiga akiwa na...
View ArticleHIFADHI ZA TAIFA TANZANIA(TANAPA) KUPITIA UJIRANI MWEMA WAKABIDHI MRADI WA...
Mkuu wa mkoa wa Kilimajaro,Leonidas Gama akikaribishwa na Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA)Erastus Rufungulo katika makabidhiano ya mradi wa maji wa ujirani Mwema uliotolewa...
View Article