MAKAMBA AFUNGA SEMINA ELEKEZI YA VIONGOZI WA CHAMA NA JUMUIYA ZAKE NGAZI YA...
Hii ndivyo taswira ya uwanja wa ndege wa Mwanza na mapokezi ya Naibu waziri wa mawasiliano sayansi na teknolojia, mhe. January Makamba alivyopokelewa. Kisha akakutana na Mjumbe wa baraza la wazazi...
View ArticleUZINDUZI TAMASHA LA FILAMU GRAND MALT LAWAKUNA WAKAZI WA MWANZA
Wasanii Raymond Kigosi na Steven nyerere wakiwafurahisha washabiki wao kwenye uzinduzi wa Tamasha la filamu la Grandmalt Tanzania Open Fillim Festival jijini Mwanza ambalo liliwashirikisha wasanii wote...
View ArticleTAMASHA LA RAHA ZA JANA NA LEO LAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR
Mratibu wa Tamasha la RAHA ZA JANA NA LEO Bw.Kahabi Ng'wendesha akilitambulisha rasmi Tamasha hilo kwa waandishi wa habari leo jijini Dar katika hoteli ya Chichi iliyopo manispaa ya kinondoni jijini...
View ArticleYANGA KUTUA MWANZA IJUMAA HII (05/07/2013) KUFANYA ZIARA YA MICHEZO KANDA YA...
John Kadutu.NA ALBERT G. SENGO: MWANZAMabingwa wa soka wa Tanzania bara Dar es salaam Young African ijumaa hii ya terehe 5 july 2013, wanataraji kushuka mikoa ya kanda ya ziwa kulionyesha Kombe la...
View ArticleAKILI MATOPEeee....!!?
Haijalishi unarasilimali kiasi gani, kama hujui jinsi ya kuzitumia, siku zote hazitokutosha.
View ArticleRED CAPET YA MISS LAKE ZONE 2013
ColoursUtaifa zaidi.DadazGentleStylish.Protocal Good.Chick as Gaga.Yeah.Cinderella.Talk. Wow.Junk Yunk.Ladies.Flowers.Supa dupaz.PICHA KWA HISANI YA TROPICAL MEDIA
View ArticleTANROAD YACHOMA MABANDA YA WAFANYABIASHARA WAKAIDI MWANZA
TANROAD mkoa wa Mwanza inaendesha zoezi la kuwaondosha wafanyabiashara ndogondogo waliokiuka utaratibu uliowekwa wa kuwataka kutofanya biashara zao kandokando mwa barabara za Mwanza - Musoma na Mwanza...
View ArticleMOROGORO YAISHINDILIA TEMEKE 5-2 MICHUANO YA AIRTEL RISING STARS
Timu za Airtel Rising Stars zikiingia kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam tayari kwa ufunguzi rasmi wa ARS ngazi ya Taifa jana Jumanne Julai 2, 2013..Mkurugenzi wa Mawasiliano wa...
View ArticleBRAND NEW SONG: MO THAN LUV by METTY
Kuwa wa kwanza kusikiliza wimbo mpya toka kwa Metty a.k.a Magese ambao umetoka leo hii. "Since 1998 niko kwa hili gem nimerudi kwa miguu minne"  #hi wave inadownlika tu hapo chinienter-tz Unique shared...
View ArticleMITINDO YA MIKAO NA MASTYLE ILE NKABAAaaaa!!!
'Dabliyu thing' (W) ya kundi la Bombeso.Slide ya Bombeso.Hapo vipi na K mgeuko?Yep....PeaceNi kundi zima la Bombeso moja wa washindi wa shindano la kwanza la Dance la Fiesta ndani ya tamasha kubwa...
View ArticlePINDA AFUNGUA KONGAMANO LA MKUTANO WA 10 WA WADAU WA SEKTA NDOGO YA ZAO LA PAMBA
Waziri mkuu Mizengo Pinda (katikati), wengine kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba Dr. Festus Limbu (MB), Naibu waziri wa Chakula na Ushirika Adam Malima (MB) na wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti...
View ArticleUJIO WA LOWASSA LEO WATIKISA MWANZA KWA MAPOKEZI
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Baraka Kunisaga (DC. Nyamagana) akimpokea Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa (MB-Monduli) alipowasili leo uwanja wa ndege wa Mwanza.Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza (RAS)...
View ArticleYANGA NA KCC YA UGANDA KUONYESHANA UNDAVA LEO JUMAMOSI UWANJA WA CCM KIRUMBA
Mabingwa wa soka wa Tanzania bara Dar es salaam Young African tayari wamekwishaingia jijini Mwanza na leo wanataraji kushuka dimba la CCM Kirumba kuvaana na KCC ya Uganda katika mechi ya kirafiki ya...
View ArticleLEO YANGA 1 KCC1, KURUDIANA KESHO NDANI YA UWANJA WA KAMBARAGE SHINYANGA
Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula akikabidhiwa na wanachama wa Yanga Kombe la Ubingwa lililonyakuliwa na timu hiyokatika msimu wa 2012-2013 kama ishara ya kombe hilo kuingia jijini...
View ArticleLEO NI LEO MAMBO YA FILM NDANI YA NYAMAGANA
Wananchi waliofurika katika Tamasha la Filamu la Grand Malt linalofanyika katika Uwanja wa Nyamagana, Mwanza wakifuatilia mambo yanavyoendelea.Kazi ipo Tamasha la filamu Grand Malt leo Na Mwandishi...
View ArticleYANGA NA KCC WAVAMIA SHINYANGA TAYARI KWA MCHEZO WA LEO UWANJA WA CCM KAMBARAGE
Ni majembe ya Yanga kutoka kushoto ni Jerry Tegete, Nizar Khalfan na Didier Kavumbagu.. wanasema kuwa wamejiandaa vyema kwa mchezo wa marudiano hii leo dimba la CCM Kambarage Shinyanga.Karibia mkoani...
View Article