WAKULIMA WILAYANI KAHAMA WAMEASWA KULIMA ZAO LA ARIZETI
WAKULIMA wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameaswa kulima mazao yanayovumilia ukame mfano zao la Arizeti katika kipindi hiki cha mabadiliko ya hali ya hewa kilimo ambacho kitakachowasaidia kujikwamua...
View ArticleMWANZA YALAANI MAUWAJI YALIYOFANYWA NA MFANYABIASHARA. J4.
Na: Afisa habari- Mwanza.Serikali mkoani Mwanza imelaani mauwaji yaliyofanywa na mfanyabiashara maarufu jijini humo Jumanne Mahende(J4) hivi karibuni katika eneo la Nyakato Sokoni katika Wilaya ya...
View ArticleKWETU HOUSE 2015 MSIMU WA PILI YATUA JIJINI MWANZA KUSAKA VIPAJI KWA...
Team ya Kwetu House 2015 Msimu wa Pili wakiwa Studio za Jembe FM 93.7 Mwanza Mara Baada ya Mahojiano kuhusiana na KWETU HOUSE 2015 Kwa Jiji la MwanzaMsimu wa pili wa Kwetu House - “kwetu house, kipaji...
View ArticleEDD MUBARAK TO ALL MY MUSLIM FRIENDS AND FAMILY.
Salamu salaam toka GSENGO BLOG kwenda kwa wadau wote ndani na nje ya nchi.EID Mubarak tusherehekee kwa amani.
View ArticleDADA ANTU MANDOZA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE WA VITI MAALUM,VIJANA -...
Mgombea Ubunge Viti Maalum Vijana Bukoba Bi. Antu Mandoza(Kulia) akirejesha Fomu ya Kuomba Ridhaa kuteuliwa kugombea Ubunge wa Viti maalum Vijana Bukoba katika ofisi za umoja huo Mjini Bukoba, ahaidi...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AJUMUIKA NA WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU KATIKA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiwahutubia waumini wa dini ya Kisslamu wakati wa swala ya Sikukuu ya Eid El-Fitri iliyofanyika Kitaifa kwenye Uwanja wa...
View ArticleMAPOKEZI YA MAGUFULI YAVUNJA REKODI YA CCM MWANZA.
Dkt John Pombe Magufuli akiwasili jijini Mwanza na makaribisho ya wana CCM wakiongonzwa na Mwenyekiti wa mkoa Anthony Dialo (kushoto mwenye mbele mwenye shati la kijani)Msafara ukitoka Airport...
View ArticleBREAKING NEWS : MV KIGAMBONI LAPOTEZA MWELEKEO UPANDE WA KIGAMBONI.
Wananchi wakilitazama Mv. Kigamboni baada ya kupoteza mwelekeo na kushindwa kushusha abiria na magari baada ya kutaka kushusha Abiria na magari upande wa Kigamboni Baada ya kupakia Abiria na magari...
View ArticleHAPPY BIRTHDAY MWANALIBENEKE KRANTZ MWANTEPELE
Leo tarehe 19 July ni siku ya kuzaliwa Mwanalibeneke la blogu Krantz Mwantepele ambaye ni Mkurungezi Mtendaji wa MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA pia Mkurungezi Mtendaji wa KAJO ITECH kwa niaba ya...
View ArticleDIAMOND AWAPA RAHA WANA WA AFRIKA MASHARIKI TUZO ZA MTV MAMA 2015.
Diamond Platnumz amechukua Tuzo ya Best Live Act ambayo ilikua ikishindaniwa na wasanii wengine wa Nigeria Mr Flour, Mikasa, Big Nuz na Too fan.Diamond Platnumz amechukua Tuzo ya Best Live Act ambayo...
View ArticleDKT JOHN POMBE MAGUFULI ATIKISA JIMBONI KWAKE ,WANANCHI WAIBUA SHANGWE KILA...
Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga Wananchi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kumaliza kujitambulisha na kuwashukuru kwa kiasi kikubwa kwa...
View ArticleCHATI YA WASHINDI WA 2015 KATIKA MTV Africa Music Awards
Stars of the African and international music industry went out in force last night in KwaZulu-Natal for the fifth uplifting edition of the MTV Africa Music Awards. MAMA 2015 brought the continent...
View ArticleRAIA WA AFRIKA KUSINI WALIOPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA...
Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro,Erastus Rufunguro akimpokea muigizaji maarufu wa filamu wa nchini Afrka Kusini,Jacky Devnarain maarufu kama Rajesh Kumar ,jina alilotumia katika...
View ArticleMAJAMBAZI WALIOTEKA KITUO CHA POLISI STAKI SHARI WATIWA MBARONI NA WATATU...
Kamanda wa polisi wa kanda maalumu ya Dar es Salaam, kamishina Suleimani Kova akionyesha baadhi ya bunduki zilizoporwa katika kituo cha polisi cha sitaki shari leo. Baadhi ya Bunduki zilizo porwa...
View ArticleMISS KILIMANJARO AMBASSADOR YATOA MSAADA KWA FAMILIA ZA VIJIJI VYA RAU NA ULU
Mkurugenzi wa Shindano la Miss KiliamnjaroAmbassador,Jackline Chuwa akikabidhi msaada wa nguo na viatu kwa wakazi wa vijiji vya Ulu na Rau vilivyopo karibu na mji wa Moshi kwaudhamini wa kampuni ya...
View ArticleAIRTEL YAZINDUA MNARA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO WILAYANI ARUMERU ARUSHA
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha , Fidelis Lumato akikata utepe kuzindua mnara wa mawasiliano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel katika kijiji cha Nduruma, wilayani Arumeru Mkoani Arusha ,...
View ArticleNASSARI ASHIRIKI UJENZI WA DARAJA KIVUKO KWA AKINAMAMA BIASHARA YA NDIZI NA...
Wananchi katika jimbo la Arumeru Mashariki wakishiriki katika shughuli za Ujenzi wa daraja la Kwa Pole ambalo limekuwa likitumiwa na kina mama hasa wauzaji wa Ndizi.Ujenzi ukiendelea katika eneo la Ka...
View ArticleWATUMISHI WA UMMA WAASWA KUWA WAADILIFU
Kaimu Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Jasper Mero (Mbele) akiingia katika ukumbi wa Kings way kufungua mafunzo ya awali (Induction course) kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya...
View Article