MATOKEO YA MASHINDANO YA AFRIKA MASHARIKI TIMU YA TAIFA YA NGUMI
Taarifa kwa vyombo vya habari.Yah: Timu ya Taifa ya ngumi yaanza vema katika mashindano ya kimataifa kwa nchi za Afrika Mashariki Mombasa Kenya.Wachezaji wa timu ya Taifa ya ngumi waliokwenda Mombasa...
View ArticleMSHINDI WA AIRTEL TRACE NALIMI MAYUNGA KUACHIA VIDEO YA KIBAO CHAKE CHA "NICE...
MSHINDI WA AIRTEL TRACE NALIMI MAYUNGA KUACHIA VIDEO YA KIBAO CHAKE CHA "NICE COUPLE" KWENYE CHANEL YA TRACE LEO, 31/7/2015Â Mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Star Nalimi Mayunga ameachia kibao...
View ArticleBASATA YAMFUNGIA SHILOLE KWA UVUNJIFU WA MAADILI
CHANZO: MWANANCHIBy Louis KolumbiaBaraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemfungia mwanamuziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole kujihusisha na shughuli za sanaa kwa muda wa mwaka...
View ArticleSHEREHE YA KUWAKARIBISHA RASMI WASHIRIKI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA
 Bi. Sophia Mkazi na Mwenyeji wa Kijiji cha Kasanga Wilayani Kisalawe Mkoani Pwani akiwakaribisha wageni ambao ni Washiriki wa Shindano la mama shujaa wa Chakula kijijini huko katika sherehe ya...
View ArticleCHAGUA AMANI RAI KATIKA KURA ZA MAONI SINGIDA MJINI
Chagua Amani Rai Jimbo la Singida Mjini.
View ArticleJESHI LA POLISI KAHAMA LAMKAMA MTUHUMIWA WA MAUAJI
KAHAMAJeshi la polisi wilayani  Kahama mkoani shinyanga linamshikilia mtuhumiwa mmoja anayedaiwa kushiriki katika mauaji ya katibu wa Chama cha mapinduzi Kata ya  Isagehe mauwaji ambayo yalitekelezwa...
View ArticleWANAAPOLO WAFIA MGODINI BAADA YA KIBERENGE KUKATIKA
wanaapolo wakiwa mgodini (picha na maktana)Na Woinde Shizza wa libeneke la kaskazini blogWachimbaji wadogo wawili (wanaapolo) wanaofiwa kufa na wengine kadhaakujeruliwa katika mgodi wa madini ya...
View ArticleADHABU YA SHILOLE HAYA NDIYO MAONI YA WADAU WA MUZIKI.
Wadau mbalimbali wa muziki nchini watoa maoni yao juu ya adhabu aliyopewa msanii Shilole kufuatia kitendo kilichodaiwa kuwa ni kinyume na maadili.
View ArticlePROF. MUHONGO APETA KWA KISHINDO MUSOMA.
Matokeo ya kura za maoni CCM wilayani Musoma yatangazwa huku Prof.Muhungo akipita kwa kishindoÂ
View ArticleCHEMSHA UBONGO - DIRECTOR SHAIBU
Akitumia lugha ya Utata yenye tafsiri nyingi, zaidi ya moja... Kutoka Mwanza Tanzania msanii anaye tikisa Bongo Fleva kwa sana kwa sasa, mkali kwa stage Director Shaibu amedondosha ngoma nyingine...
View ArticleWAFANYABIASHARA MKOANI SHINYANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA BIASHARA...
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Dhahabu wa Buzwagi Injini Philbert Rweyemamu akizungumza na wafanyabiashara wa mkoa wa Shinyanga wakati wa kikao na wafanyabiashara hao kilichokuwa na lengo la kuwapatia ufahamu...
View ArticleYOLANDA SHAYO BALOZI WA MKOA WA KILIMANJARO ATEMBELEA VITUO VYA WATOTO YATIMA
Mrembo aliebuka kidedea kwenye shindano la kumsaka barozi wa mkoa wa Kilimanjaro 2015,Yolanda Shayo ametembelea vituo vya watoto yatima katika eneo la mamba Malangu moshi vijijini.Shughuli hiyo...
View ArticleJARIDA LA EUROMONEY LA UINGEREZA LATOA TUZO YA UFANISI KWA BENKI YA NMB TANZANIA
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker (kushoto), akiwaonesha waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, Tuzo ya Ufanisi wa kibenki nchini Tanzania iliyotolewa na Shirika la...
View ArticleZAHARA ANENA BAADA YA KUSHINDWA KUPATA KURA ZA KUTOSHA TABORA
BAADA ya kura kutotosha kumfanya apite katika kura za maoni kugombea Ubunge kwa viti vya Vijana mkoani Tabora, Zahara Muhidin Issa Michuzi (pichani) amepokea matokeo kwa moyo mkunjufu na kumpongeza...
View Article