SHERIA MPYA YA MTANDAO MWISHO CHUMBE..?
Logo ya Zanzibar Diaspora Association (ZADIA)Na Muandishi wetu swahilivilla BlogWanadiaspora wameelezea wasiwasi wao kuwa sheria mpya ya Makosa Ya Mtandao iliyoanza kufanya kazi tarehe mosi mwezi huu...
View ArticleRAIS KIKWETE AWAPA POLE MAJERUHI YA MSONGAMANO WA WANANCHI BAADA YA MKUTANO...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro Dkt. Ritha Lyamuya alipokwenda kuwapa pole majeruhi walioumia katika msongamano mkubwa uliotokea...
View ArticleMSAFARA WA JAMES MBATIA WAISIMAISHA VUNJO
Msafara wa Pikipiki ukimsindikiza mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo kupitia chama cha NCCR-Mageuzi na UKAWA ,James Mbatia wakati wa kwenda kufanya uzinduzi wa Kampeni katika jimbo jilo.Msululu wa...
View ArticlePICHA ZA KAMPENI UBUNGE NYAMAGANA NA ILEMELA
Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Miraji Mtaturu akiwahutubia wananchi wa Kata ya Mabatini Jimbo la Nyamagana wakati wa kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo hilo kwa tiketi ya CCM, Stanslaus Mabula na Diwani wa...
View ArticleWANANCHI MSICHAGUE RAIS, WABUNGE NA MADIWANI KWA USHABIKI
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Anthony Dialo (kulia) akiwaomba wananchi wamchague Angelina Mabula mgombea Ubunge kwa Jimbo la Ilemela ifikapo Oktoba 25 mwaka huu kwenye mkutano wa uzinduzi wa...
View ArticleZOEZI LA KUGAWA CHAKULA LAENDELEA KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI YA NYARUGUSU...
Wakimbizi kutoka nchini Burundi walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linalo...
View ArticleMKUU WA MKOA WA PWANI AWATAKA VIJANA WALIOMALIZA MAFUNZOYA JKT KUWA WAZALENDO...
NA VICTOR MASANGU, PWANI DATE 8 RC NA JKTMKUU wa Mkoa wa Pwani Injinia Evarist Ndikilo amewataka vijana hapa nchini waliomaliza mafunzo ya jeshi la kujenga Taifa (JKT) kuhakikisha hawatendi mambo...
View ArticleULIVYOKUWA UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI CCM JIMBO LA KWIMBA.
Video ya tukio kwa ufupi.Mkuu wa Watemi wa kijiji cha Hungumalwa akimvisha mavazi ya kitemi mgombea ubunge wa Jimbo la Kwimba Mansoor Shanif wakati wa uzinduzi wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu kwa...
View ArticleMCHANGO WAKO UNAHITAJIKA KUWANUSURU WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU.
TANGAZO.Jumuiya ya Maendeleo ya Watoto Yatima (JUMAC) Kwa kushirikiana na Chama Cha Albinism (TAS) Mkoa wa Mwanza imeandaa Chakula cha hisani ili kukusanya fedha na vifaa vya kukamilisha ujenzi wa...
View ArticleAIRTEL YANG'ARA KATIKA MAONYESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI
Katibu Mkuu wa Wizara ya viwanda na Biashara Uledi Abbas Musa ( Kushoto) akimkabithi kikombe Afisa masoko na biashara wa Airtel , Emmanuel Raphael mara baada ya kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel...
View ArticleSAUTI SOL WAACHIA NGOMA YAO MPYA 'ISABELLA'
BOFYA PLAY KUISIKILIZA TRACK.The award-winning Kenyan group - Sauti Sol – release ISABELLA, the sixth single off Sauti Sol’s upcoming third album: LIVE AND DIE IN AFRIKA, set for release in 2015. The...
View ArticleNITABORESHA MASLAHI YA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA-MAGUFULI
Msafara wa Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli ukiwasilia katika mkutano wa hadhara wa kampeni,Korogwe vijijini.MGOMBEA urais kwa teketi ya CCM, Dk.John Magufuli akifafanua jambo kwa msisitizo...
View ArticleLOWASSA, DUNI WAHUDHULIA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA CHAMA ZA CUF, ZANZIBAR
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF - Zanzibar, Nassor Mazrui, wakati...
View ArticleNCCR-MAGEUZI WAZINDUA KAMPENI JIMBO LA MWANGA KUMNADI MSUYA
Baadhi ya wananchi katika kata ya Kifula ,jimbo la Mwanga wakifuatilia uzinduzi wa mkutano wa kampeni wa chama cha NCCR-Mageuzi.Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA,James...
View ArticleAJALI YAUA MMOJA MKOANI KAGERA + MTOTO ANG'ATWA NA PUNDA KWA IMANI ZA...
Na Emmanuel MlelekwaKAHAMAMtu mmoja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda mwenyeji wa wilaya ya Ngara Mkoani Kagera amefariki dunia muda mfupi baada ya kufikishwa katika Hospitali ya wilaya ya...
View ArticleJUKWAA LA WAKONGWE JEMBE FM LIMEZUNGUMZA NA REFA ALIYEKUWA AKICHEZESHA MECHI...
Leo ndani ya Jukwaa la Wakongwe utaisikia PART TWO ya mazungumzo baada ya jana (Jumatano) PART One iliyosikika nikizungumza na mwamuzi wa zamani wa soka la hapa Tz Said Almasi 'Bin Dhahabu' ambaye moja...
View ArticleTEAM YA WASANII WA MABADILIKO WALETA MAFURIKO MTWARA
Msanii Walter Chilambo akiimba katika Tamasha la Wasanii wa Mabadiliko lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita mjini Mtwara. Lengo la Tamasha hilo ni kuwahimiza wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba...
View ArticleJUKWAA LA SANAA LAFANA, SALMA MOSHI AWALIPIA WASANII BIMA YA AFYA
Meza Kuu, anayezungumza ni Abbu Omari mwanamuziki aishiye Japan.Baadhi ya wasanii wakimsikiliza Salma MoshiMwandishi maarufu Khadija Khalili (mwenye daftari) akifuatilia maadaMwenyekiti wa CHAMRUMBA...
View Article