Quantcast
Channel: g sengo
Browsing all 12415 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIWIA AKANUSHA KUZIMIA BAADA YA MATOKEO KUTANGAZWA, KUFUNGUA KESI YA UCHAGUZI.

Highness Kiwia akionyesha moja ya karatasi yenye makosaNa:George Binagi-GB PazzoAliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mkoani Mwanza na Mgombea wa nafasi hiyo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA ZADIA KUHUSU KUFUTWA KWA MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBAR

Logo ya ZadiaJumuiya ya Wazanzibari Waishio Nchini Marekani (ZADIA), imekuwa ikifuatilia kwa karibu na makini zaidi zoezi zima la Uchaguzi Mkuu visiwani Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. Kwa kiasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFANYABIASHARA DAVIS MOSHA ATANGAZA KUTOGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI.

Aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Moshi mjini,mfanyabiashara Davis Mosha akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Penfold kwa lengo la kuwashukuru wana CCM waliompigia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO YALIVYOKUWA KWENYE HAFLA YA KUKABIDHIWA CHETI CHA URAIS DKT MAGUFULI NA...

 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan wakiwa na Mwenyekiti wa Chama cha UPDP Taifa  Mhe. Fahmi Dovutwa katika chumba cha VIP cha ukumbi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOSE CHAMELEONE AWAPA SURPRISE YA NGUVU MASHABIKI WA SKYLIGHT BAND, USIKOSE...

Muimbaji kutoka nchiniUganda Jose Chameleone akiimba kwenye stage ya bendi ya Skylight mara baada ya kupanda kwenye stage hiyo na kuwaacha mashabiki awa bendi hiyo wakitoa shangwe ya nguvu.Muimbaji wa...

View Article


SUPPORT YENU KWA ALBUM MPYA YENYE JINA LA TUTAMUONA BWANA KUTOKA KWA...

Ndugu wapendwa napenda kumtambulisha dada agness nkugwe muimbaji wa nyimbo za injili hapa nchini tanzania mwenye maskani yake jijini mwanza hivi karibuni amtoa nyimbo zake  nyingi za injili. hii ikiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZAO KWA WASAMALIA WEMA: MTOTO CAREEN ANAHITAJI MSAADA

Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba  zimebana kiasi  hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PUMZIKA WA AMANI MAREHEMU ANNETH CHRISTIAN KAJURA

Mume wa marehemu akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mke wake Anneth Christian mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwa marehemu Mbezi Beach - SalaSala Jijini Dar es Salaam na baadae maziko...

View Article


MTAZAMO WA VIJANA BAADA YA UCHAGUZI MKUU.

Je vijna wa Kitanzania ana mtazamo gani baada ya uchaguzi mkuu uliyofanyika mwishoni mwa mwezi Octoba mwaka huu?

View Article


WATAHINIWA KIDATO CHA 4, WASIMAMIZI WAONYWA UDANGANYIFU WA MATOKEO

Wanafunzi wa kidato cha nne Tanzania, pamoja na wasimazi watakiwa kutojihusisha na udanganyifu ili kuepusha kufutiwa matokeo yao.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABULA AWATOA HOFU WAMACHINGA JUU YA TUHUMA ZINAZOENEZWA KUWA AMEINGIA...

Mbunge Mteule wa Jimbo la Nyamagana Mkoani Mwanza kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Stanslaus Shing’oma Mabula, amewahakikishia Machinga Jijini Mwanza kuwa wataendelea kufanya biashara zao katika maeneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TP MAZEMBE 2-1 USM ALGER KLABU BINGWA AFRIKA.

TP Mazembe wameweka mkono mmoja kwenye kombe la klabu bingwa barani Afrika baada ya kushinda mkondo wa kwanza wa fainali dhidi ya USM Alger ya Algeria.Mazembe iliilaza USM Alger ya Algeria mabao 2-1...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FULL STOP ZA LEO JIJINI HAOA.

     GSENGO BLOG 2015mOJA KATI YA KAYA.     GSENGO BLOG 2015Akina mama Sendemaaa...Karibu Airport Mwanza.cHALI....Hasara bin Sheht.....Ahadi ni deni. The geundUjamaa mbele...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE APEWA SOMO.

Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akiwa katika mazungumzo na Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharrif Hamad.Rais Kikwete apewa somo.RAIS Jakaya Kikwete ameshauriwa kuingilia kati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANU BALOZI MPYA WA STARTIMES BARANI AFRIKA

Ofisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes nchini Naigeria, Bw. Jack Liu (wa pili kulia) akiwa ameshikilia sare ya kampuni hiyo pamoja na mabalozi wapya Jonathan Akpoborie (wa kwanza kushoto) na Kanu Nwankwo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU KATIBU MKUU MPYA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AANZA KAZI RASMI NA...

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeteuliwa hivi karibuni, John Mngodo, akijitambulisha kwa Watumishi  mara baada ya kuanza kazi rasmi  katika Wizara hiyo. Kulia kwake ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VYUMBA VYA KUPIMIA NGUO KABLA YA KUNUNULIWA KATIKA SOKO LA MCHIKICHINI...

Wawezeshaji wa Sheria katika soko la Mchikichini katika Manispaa ya Ilala, wakiwa na mabango ya mradi wa Mpe Riziki si Matusi baada ya kuzungumza na waaandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA HAKUNA AFISA MSAIDIZI TUNAYEMSHIKILIA KWA...

Sehemu ya waandishi wa habari mkoani Mwanza ambao waliwakilisha vyombo vyao kuripoti masuala ya uchagzuzi.NA PETER FABIAN, MWANZA. JESHIla Polisi Mkoa wa Mwanza limeleleza kwamba hakuna Afisa msaidizi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SEIF WA ZANZIBAR

Kikwete afanya mazungumzo na Maalim Seif Hamad wa Zanzibar.Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania amefanya mazungumzo na makamu wa rais wa kwanza kisiwani Zanzibar ambaye ndiye mgombea Urais kupitia...

View Article

RAIS KIKWETE AITANGAZA KESHO KUWA SIKU YA MAPUMZIKO

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tzFax: 255-22-2113425PRESIDENT'S...

View Article
Browsing all 12415 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>