MNEC GACHUMA ALIVYOFUTURISHA WAISLAMU MWANZA
Mgeni rasmi wa hafla hiyo ya futari Mkuu wa Wilaya ya Nayamagana Baraka Konisaga alipata fursa ya kutoa shukurani na neno kidogo kwa wadau waliohudhuria hafla hiyo ya futari iliyoandaliwa na Mjumbe wa...
View ArticleZAMU YA WAPENZI MKOA WA MWANZA KUDUMISHA MAHUSIANO
Ni tukio kubwa la aina yake kwa ajili ya wanandoa na marafiki walio katika mahusiano, kufanyika Alhamisi ya tarehe 08 Agust 2013, msemaji mkuu wa kongamano hilo ni Mtaalam Chris Mauki. Tiketi...
View ArticleMWANDISHI WA HABARI JACLINE AAGWA NA KUZIKWA LEO KITANGILI JIJINI MWANZA
Marehemu Jackline Wanna Since 1970 - 23/07/2013.Mwili wa aliyekuwa mwandishi wa habari mwanamama Jacline Wanna umeagwa leo nyumbani kwake eneo la Nyamanoro, kisha ukazikwa katika makaburi ya Kitangiri...
View ArticleTAIFA STARS YAPASWA KUSAHAU YALIYOPITA ILI KUFUZU MTIHANI WA KESHO DHIDI YA...
Kabla ya kuondoka jijini Mwanza ambako Stars walikuwa wameweka kambi waliagwa uwanja wa ndege wa Mwanza na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete ambaye alikuwa akielekea mkoani...
View ArticleFRANCIS MIYEYUSHO ASAINI MKATABA KUZITWANGA DAR LIVE IDDI MOSI
Bondia Francis Miyeyusho kushoto akitia saini mkataba wa makubaliano ya kucheza siku ya sikukuu ya Idi mosi na Darius Lipupa wa Zambia mpambano utakaopigwa katika ukumbi wa Dar Live kushoto ni Rais wa...
View ArticleBAVON KUSHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA LEO NA WANA BEAT AGENDA HOME MWANZA
Eh bana siku kama ya leo miaka kadhaa iliyopita ni siku ya kuzaliwa Prizenta wa kipindi kinacho hit' ile mbayaaaa kwa srini yako ndani ya lebo ya TBC1, hapa naizungumzia show ya Beat Agenda, na...
View ArticleMWANZA HUDUMA YATOA MIFUKO 200 YA SARUJI KUBORESHA VYOO VYA SHULE 4 ZA MSINGI...
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga wa pili kulia pamoja na Mkurugenzi wa Duka la vifaa vya ujenzi la Bw. Zuri Nanji wa kwanza kulia wakikabidhi mifuko 50 kwa uongozi wa shule ya msingi Butimba...
View ArticleAUSTRALIAN FLAP OVER BELL DEDICATED TO HITLER
VIENNA (AP) — Like many others in Austria's countryside, a tower bell above the red-tiled rooftops of Wolfpassing village marks the passing of each hour with an unspectacular "bong." But this bell is...
View ArticleAISHA SURURU FONDITION YATOA MSAADA WA MAGODORO KWA WANAFUNZI WA MASJIDI...
Mkurugenzi Mtendaji wa Aisha Sururu Fondition, Aisha Sururu kulia akimkabizi mmoja wa vijana wanaojisomea katika kambi ya msikiti wa Idrisa, Muhsin Juma magodoro aliyotoa kwa ajili ya vijana hao...
View ArticleUTANIFANYA NIGHAIRI
SONG DETAILS:Artist: Cindy Rulz feat. Chid BwaySong: Utanifanya NighairiProducer: KGT ShadeedStudio: G- RecordsConnect with Cindy Rulz www.twitter.com/cindyrulz...
View ArticleUSIPITWE IPATE BIDHAA MPYA KWA SIKIO NA JICHO LAKO
Hello brotherz and sister, presenters, blogers and music stakeholders..NEW ARTIST: YINCAS EL LEGENDEE INSPIRED BY FID Q, NGWEA NA FABOLOUSYincas mwanafunzi wa Mzumbe University ni msanii mpya anayepata...
View ArticlePICHA ZA BIRTHDAY YA BAVON WA BEAT AGENDA YA TBC 1
"Oyaa Mpaka iishe hiyo..." Mie na Birthday boy, Bavon wa Beat Agenda ya TBC 1.Ilikuwa nimakaribisho frendz brothers and sisters.Bavon (L) na Mc Stopper (R) wote siku ya jana (27july) wamesherehekea...
View ArticleKUMBUKUMBU
Ilikuwa sekunde, dakika, saa, siku, mwezi, mwaka hatimaye leo umetimiza miaka 19 Tangu ulipotuka (28/07/1994) mama yetu mpendwa Edna Akinyi Nashon Okech.Unakumbukwa na wanao, kaka na dada zako ndugu...
View ArticleAIRTEL YAKABIDHI MILIONI 14 KWA WASHINDI WA PROMOSHEN YA Airtel yatosha.
Meneja wa airte Mauzo wa kanda ya kaskazini Stephen Akyooo akikabidhi shilingi milioni 1 kwa Bw, Robert Justine wa jijini Arusha fedha alizojishindia katika promosheni ya Airtel Yatosha inayoendeshwa...
View ArticleCHEREKO LA HARUSI YA LEONARD NA DIANA
Ni Bwana Leonard Masenga na Bi. Diana ambapo mwishoni mwa wiki wamefunga pingu za maisha kwa kufunga ndoa Takatifu katika kanisa la Roman Catholic Mwanza. Kamati iliyofanikisha harusi.Safu ya...
View ArticleMAGOFU NCHINI SYRIA KIELELEZO TOCHA CHA ATHARI ZA VITA
Flattened ... Homs, Syria, in 2013.TWO years of brutal civil war have left the once-proud Syrian city of Homs a shattereMJI d wasteland.Hundreds of bombs, shells and bullets have flattened it,...
View ArticleMAFUTA YA UBUYU NI SALAMA
Moja kati ya bidhaa za mafuta ya Ubuyu zinazotengenezwa hapa nchiniTAASISI ya Saratani ya Ocean Road ya jijini Dar es Salaam, imesema mafuta ya ubuyu hayana madhara yoyote katika mwili wa binadamu kama...
View ArticleMABONDIA WA BIGRIGHT BOXING GYM WAJIFUA KUWAKABILI WAPINZANI MAPAMBANO...
Baadhi ya mabondia toka kambi ya Bigright Boxing wakiwa pozi ambapo vijana hao wapo kambini kwa ajili ya mapambano yatakayofanyika siku ya kusherehekea sikukuu ya EidBaadhi ya vijana wa Bigright...
View ArticleMBUNGE WENJE ATUHUMIWA KWA UTAPELI MWINGINE WA HARAMBEE NAYE MBUNGE LAMECK...
Mbunge wa Rorya Mhe. Lameck Airo akizungumza na vyombo mbalimbali vya habari jijini Mwanza akimtaka Mbunge wa Nyamagana Mhe. Ezekiel Wenje, kushindana naye kwa kuwaletea wananchi maendeleo na siyo...
View Article