MAAJABU: PAMOJA NA KUPATA MZINGA WA KUTISHA WAKUTWA WAKIWA HAI
Mwananamke mmoja pamoja na dereva wamenusurika kifo kufuatia tukio la ajali mbaya ya kutisha mara baada ya kugonga nyuma ya roli lililokuwa likiendeshwa mbele yao.Dereva pamoja na mwanamke huyo ambao...
View ArticleSUPER D ATOA DVD NYINGINE TATU MPYA, TYSON VS HOLYFIELD NDANI
DVD hizi kwa sasa zinapatikana katika makutano ya barabara ya Uhuru na Msimbazi au unaweza kuzipata jengo la Azam lililopo mtaa wa Msimbazi karibu na kituo cha Polisi Post Gelezani wasiliana na kocha...
View ArticleWANAFUNZI BWIRU WASHIRIKI MCHAKATO WA KUFANYA TATHIMINI YA MAPOKEO YA KAMPENI...
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari wavulana Bwiru wakiwa katika picha ya pamoja na waratibu wa zoezi la Mchakato wa kufanya tathinimi ya jinsi kampeni ya Malaria Haikubaliki imeleta mabadiliko gani kwa...
View ArticleMKUU WA MKOA WA MWANZA KUWA MGENI RASMI FAINALI ZA BALIMI NGOMA FESTIVAL...
Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Balimi Extra Lager leo imetangaza kuwa fainali za mashindano ya Ngoma za asili kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa inayojumuisha Tabora, Shinyanga, Kagera, Mara...
View ArticleTEMBEZA MACHO NA PICHA ZA UDIFERENTI SOKO LA KIMATAIFA KIRUMBA MWALONI
Ile unaingia tu katika soko la Kimataifa la samaki Mwaloni Kirumba jijini Mwanza pembeni kushoto langoni kuna wachuuzi wa kuni lakini sikujua zinakotoka.Mitumbwi hii licha ya kufanya shughuli za uvuvi...
View Article"CHAMA LANGU USPIME MUPOoooooooO!"
Mie (L) na Mwenyekiti wa Mwanza Kwanza Philbert Kabago(R).Jua lileeeee.... Nitaendelea kuwashukuru sana watu wangu kila pande mnaofuatilia matukio kila kuchwao kupitia blogu hii. Kimsingi mnanipa jeuri...
View ArticleMASHINDANO YA KUSOMA QURAN TUKUFU YAMALIZIKA
Msomaji wa Quran tukufu katika mashindano ya kitaifa, Seif Salim Said ambaye ni mremavu wa macho akisoma wakati wa fainali zake janaNa Mwandishi WetuMASHINDANO ya kitaifa ya kuhifadhi Quran tukufu...
View ArticlePINDA AWEKA JIWE LA MSINGI OFISI YA UHAMIAJI MKOANI RUVUMA
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKISALIMIANA NA KAMISHINA WA UTAWALA NA FEDHA IDARA YA UHAMIAJI PINIEL MGONJA KABLA YA KUWEKA JIWE LA MSINGI OFISI YA UHAMIAJI MKOA WA RUVUMA,KULIA AFIASA UHAMIAJI WA MKOA...
View ArticleWAZIRI MKUU AFUNGUA RASMI CHUO CHA VETA SONGEA
Mkuu wa chuo cha Veta Songea Gidion Ole Lairumbe (kulia) akimkaribisha Waziri Mkuu Mizengo Pinda chuoni hapo kufungua rasmi chuo hicho, Katikati ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Veta Enock Kibendera.Kaimu...
View ArticleFAINALI ZA BALIMI NGOMA ASILI ZILIVYONOGA KATIKA PICHA
Kiongozi wa kundi la ngoma la Mwana Lyaku akicheza na nyoka wawili, kundi hili ndilo liliibika washindi wa Balimi Ngoma Festival lililofanyika jana jumapili uwanja wa Polisi Mabatini, na kupeleka...
View ArticleWAANDISHI WATEMBELEANYUMBA YA AIRTEL YATOSHA- KIGAMBONI
Pichani ni baadhi ya waandishi wa vyombo vya habari nchini walipotembelea i moja kati ya Nyumba 3 zinazotarajiwa kutolewa katika promosheni ya AIRTEL YATOSHA mwishoni mwa mwezi huu. Nyumba hizi ziko...
View ArticleKAMPUNI YA ISERE SPORTS YASAIDIA VIFAA TIMU YA FRESH NIGA YA KILWA MASOKO
Mkurugenzi wa masoko wa Kampuni ya Isere Sports inayoshuhulika na uagizaji na uuzaji wa vifaa vya michezo,Abbas Isere (kulia) akimkabidhi jezi Katibu Mipango wa timu ya Fresh Niga ya Kilwa Masoko...
View ArticleAirtel, UNESCO WAZINDUA MRADI WA KUZIWEZESHA RADIO ZA KIJAMII NCHINI
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Masawe akisalimiana na baadhi ya watoto wa mtandao wa wanahabari alipowasili kwenye uzinduzi wa kurusha matangazo ya Redio FADECO kwenye mnara wa Airtel...
View ArticleMFUMO MPYA WA USAJILI WA VIZAZI NA VIFO KUPITIA MKAKATI WA USAJILI WA WATOTO...
Picha ya pamoja mara baada ya kuuzinduliwa mfumo mpya wa usajili wa Vizazi na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 bure jijini Mbeya,hafla hiyo inayoratibiwa na...
View ArticleSTARS YAMALIZA KAMBI YAKE JIJINI MWANZA KUONDOKA KESHO KUELEKEA UGANDA, KIM...
MAELEZO NA SAUTI KUWAJIA HIVI PUNDE
View ArticleASKARI ALIYEUWAWA DARFUR AZIKWA SONGEA
Asikari wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Rodney NdunguruAliye kaa katikati ni mama wa marehemu Rodney NdunguruMarehemu Rodney Ndunguru Askari wakiwa wamebeba mwili wa marehemu Rodney Ndunguru wakati...
View ArticleSIMANZI: MWANDISHI JACLINE WANNA AFARIKI DUNIA
Mwandishi wa habari mzoefu wa Kanda ya ziwa Mwanamama Jackline Wanna (kulia) amefariki dunia jana.ITAENDELEA
View ArticleTANGAZO LA MSIBA LONDON
Familia ya Mr. A Alfaghee inasikitika kutangaza kifo cha binti yao mpendwa MAIMUNA FATMA KARUMBA kilichotokea jana London UK. Ukiwa kama ndugu, jamaa na rafiki mchango wako wa dhati unahitajika ili...
View ArticleUSHAWAHI KUPARA SAMAKI AU KUPARA MIWA?
Siyo kisu pekee hutumika kupara, bali hata jiwe lahusika kupara samaki aina ya Sangara na akatakata swadaktar!...!!.
View Article