SHEIKH PONDA APINGA MARUDIO YA UCHAGUZI ZANZIBAR.
Taasisi na jumuiya za kiislamu nchini zapinga marudio ya uchaguzi visiwani Zanzibar huku zikitaka CUF NA CCM kukaa pamoja na kutafuta suluhu juu ya mkawamo huo wa kisiasa.
View ArticleMABONDIA MADA MAUGO NA ABDALLAH PAZI KUONESHANA UBABE UWANJA WA NDANI WA...
Mabondia Mada Maugo kushoto na Abdallah Pazi wakitunishiana misuli baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga siku ya sikukuu ya pasaka katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa taifa Dar es salaam katikati ni...
View ArticleFOS YATOA RIPOTI YA UTAFITI WA USHIRIKISHWAJI WA WANAWAKE KATIKA UCHAGUZI...
Meneja wa Mradi wa kitengo cha haki Jinsia kutoka Oxfam Bi. Rishida shariff akielezea kwa kina namna walivyofanya mradi wa Fahamu Ongea Sikilizwa Mtafiti mkuu wa kuhusiana na ushiriki wa wanawake...
View ArticleKAMPUNI YA UDALALI YAVUNJA NYUMBA SHEKILANGO JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Kijiko cha Kampuni ya Udalali ya Mem Auctioneers and General Brokers Ltd kikibomoa nyumba za makazi ya watu na biashara zilizojengwa katika eneo la Kampuni ya Dar es Salaam Cold Makers Ltd lililopo...
View ArticleHAYA NDIYO YALIYOJIRI LEO BUNGENI DODOMA.
Mhe. Luhaga Mpina atoa tathmini juu ya mazingira sambamba na kudidimia kwa ardhi katika makazi ya watu.Je serikali inatumia vigezo gani kupeleka watumishi wasio na sifa katika zahanati na vituo vya...
View ArticleRais Magufuli Aagiza Mahakama Ya Kazi Ianze Kazi Haraka
Rais John Magufuli aagiza kuanzishwan kwa mahakama ya mafisadi haraka ili kupambana na mafisadi wa mali za umma.
View ArticleWENGINE WANNE MBARONI KWA KUMDHALILISHA MTANZANIA, INDIA.
Washukiwa zaidi wamekamatwa na maafisa wa polisi nchini India kuhusiana na kisa ambapo mwanafunzi Mtanzania alipigwa na kuvuliwa nguo mjini Bangalore.Washukiwa wengine wanne wamekamatwa na kufikisha...
View ArticleAFISA UHAMIAJI MKOA WA DAR ES SALAAM AKAMATWA KWA RUSHWA.
Mkuu wa TAKUKURU (M) Ilala,S.L.P 6420, KinondoniSimu : (022)2861088 Nukushi 2150047Barua pepe: rbcilala@pccb.go.tzWavuti www.pccb.go.tzOfisi ya TAKUKURU Mkoa wa Ilala imemkamata afisa wa ofisi ya...
View ArticleMATUKIO YALIYOJIRI LEO BUNGENI.
Miradi Ya MajiMhe. Suleiman Jafo atoa ufafanuzi juu ya miradi ya maji nchini iliyofadhiliwa na serikali ili kuondoa adha ya maji kwa wananchi.Mbunge wa Momba Mhe. Ernest Silinde ahoji serikali juu ya...
View ArticleKATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AWATEMBELEA WAHADZABE NA...
Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ukikatisha misitu na mabonde wakati ukielekea kata ya Mwangeza kijiji cha Kibampa ambako jamii hiyo inaishi. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman...
View ArticleRAIS MAGUFULI ATANGAZA VITA MPYA KWA WAFANYABIASHARA.
Rais Magufuli atangaza vita mpya kwa waliomilikishwa mashamba na viwanda huku akidai hatamuonea mtu haya bila kujali chama chake.Imeelezwa kwamba licha ya serikali kuendelea kutoa kipaumbele katika...
View ArticleJPM HANA MAMLAKA UCHAGUZI ZANZIBAR: MWANASHERIA MKUU.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amesema Rais John Magufuli hana mamlaka ya kikatiba ya kuingilia masuala ya Zanzibar ukiwamo uchaguzi wa marudio uliopangwa kufanyika Machi 20.Hii ni...
View ArticleTAMASHA LA PASAKA MWAKA HUU KUFANYIKA MACHI 28 WILAYANI KAHAMA
Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani), jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na Tamasha la Pasaka litakalofanyika Mkoani...
View ArticleHII NDIYO KAMPUNI ILIYONUNUA TIKETI ZOTE ZA MICHUANO ZANZIBAR.
Makamu Mwenyekiti wa Balraza la Michezo Zanzibar BMZ akizungumza wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi fedha kwa timu za JKU na Mafunzo za mchezo wao wa Kombe la CAF inayotarajiwa kufanyika katika Uwanja...
View ArticleMAADHIMISHO YA MIAKA 39 YA CCM
Rais mstaafu Jakaya Kikwete aipongeza serikali ya awamu ya 5 kwa kutekeleza ilani ya CCM ndani ya siku chache za utawala wa rais Magufuli.Rais Magufuli ameeleza kuwa serikali yake imedhamiria kufanya...
View ArticleDC MAKONDA ATOA SIKU 20 WENYEVITI WOTE WA SERIKALI ZA MITAA KINONDONI JIJINI...
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kulia), akizungumza na Watendaji na Viongozi wa Serikali za Mitaa wa wilaya hiyo kwenye mkutano uliofanyika Dar es Salaam leo kuhusu jinsi ya kutatua na...
View ArticleUHABA WA DAMU BADO NI CHANGAMOTO KWA TAIFA.
Prof Paschalis Lugarabamu ambaye ni mlezi wa wanafunzi waliosoma Chuo cha Kairuki Kanda ya Ziwa akichangia damu salama katika uwanja wa Babtist jijini Mwanza, kushoto kwake ni Lukas Mitego ambaye ni...
View ArticleMAN CITY YACHAPWA 3-1 NA LEICESTER CITY
Viongozi wa ligi ya Uingereza Leicester wamewashangaza wapinzani wao wa karibu katika ligi hiyo Manchester City baada ya kuwacharaza 3-1 katika uwanja wa Etihad na hivyobasi kupanda juu wakiwacha pengo...
View Article