Quantcast
Channel: g sengo
Browsing all 12415 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MESEJI....!!

MURAaa UNARINGA-RINGA NINI ......!!!

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI BIKE RACE2013 KUFANYIKA KESHO SHINYANGA

SAFARI BIKE RACE 2013 KUFANYIKA KESHO MKOANI SHINYANGAMashindano ya mbio za Baiskeli kwa Kanda ya Ziwa yajulikanayo kama “Safari Lager Bike Race 2013” yanatarajiwa kufanyika kesho hapa Mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJONZI:- MFANYABIASHARA WA MADINI ARUSHA AUAWA KWA KUPIGWA NA RISASI

Mwili wa Erasto Msuya na mmiliki wa SG HOTEL mkoani Arusha mara baada ya kupigwa risasi zaidi ya sita na watu wasiojulikana na kufa papo hapo. Askari wakichunguza tukio la kupigwa kwa risasi kwa mfanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEO NDIYO LEO NDANI YA DAR LIVE....!!!

Dr Madono akimpima Francis Miyeyusho huku Ibrahim Kamwe `Bigright`akishuhudia upimaji huo tayari kwa pambano lake na Mzambia Fidelis Lipupa utakao fanyika leo Dar Live.  FIDELIS LIPUPA wa Zambia na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EID MUBARAK WADAU WOTE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANZA YAONGOZA MBIO ZA BAISKELI ZA SAFARI LAGER KANDA YA ZIWA ZILIZOFANYIKA...

Akinamama wakiwa tayari kuanza mbio zilizotia fora kuzunguka uwanja mara 10 wakiendesha baiskeli na ndoo za majikichwani.Wanaume wakijipinda katika mbio za baiskeli kilometa 210 chini ya Udhamini wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FBME WASABABISHA TABASAMU KWA WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU WA KITUO CHA AL...

Meneja wa tawi la FBME Bank Mwanza Ndugu Joseph Gwalugano (kulia) akimkabidhi Imam Abeid Musa Mafuta ya kupikia kwenye hafla fupi iliyofanyika katika msikiti wa Al Masjid Ibrahim Butimba Mwanza.Jumanne...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONDIA FRANCIS MIYEYUSHO AKKALISHA MZAMBIA KWA K,O RAUNDI YA 8

Bondia Mtanzania Francis Miyeyusho kulia  akipambana na Fidelis Lupupa wa Zambia wakati wa  mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika wakati wa Sikuku ya Iddi katika ukumbi wa Dar Live Mbagara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENDI YA MSONDO NGOMA ILIVYO PAGAWISHI WAPENZI WAKE SIKUKUU YA IDDI

Waimbaji wa bendi ya msondo ngoma wakitoa burudani wakati wa onesho lao la Iddi lililofanyika katika ukumbi wa DDC Kariakoo Dar es salaam kushoto ni Eddo Sanga na Hasani Moshi.Tumba, bass na solo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NIPENI MJI...."

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIO MWAGIWA TINDIKALI ZENJI WAENDA UINGEREZA

Raia wawili wa Uingereza, Katie Gee (18) na Kirstie Trup (18) waliomwagiwa tindikali visiwani Zanzibar juzi na kulazwa Hospitali ya Aga Khan, jijini Dar es Salaam, wamesafirishwa kwenda kwao kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CLIMAX Final Release (short-film)

   Climax is a short film that focuses on choices we are making and illustrates a life drama dilemma of a couple that found themselves struggling to survive.After husband lost his job and failed to...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DADA DINACARES YALA CHAKULA CHA MCHANA NA WATOTO YATIMA AZULA BEACH KAWE...

Mratibu wa hafla hiyo,Dina Marios kutoka Dada Dina Cares (pichani Mbele),akiwa sambamba na baadhi ya Wadau waliojitokeza kuifanikisha hafla hiyo ya chakula cha mchana na watoto Yatima kutoka vituo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIELELEZO VYA HISTORIA KANISA LA RC KAWEKAMO NI UATALII TOSHA

Kibao elekezi lango kuu la kanisa.Historia ukutani.Jengo la kanisa.Mnara utakao kukaribisha toka mbali.Ibada.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKI JIMMY MASTER NA HEKA HEKA ZA UJIO MPYA WA DOUBLE J FINAL

YULE muongozaji na mwigizaji Jimmy Mponda 'Jimmy Master' aliyetikisa na mfululizo wa filamu za misuko iliyotoka sehemu ya kwanza hadi yatatu na baadaye kujiongezea jina lingine akiitwa J Plus.Jimmy...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA MBUNGE HIGHNESS KIWIA NA HENRY MATATA YAPIGWA KALENDA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOTO WANNE WA FAMILIA MOJA WAFARIKI DUNIA BAADA YA KULA CHAKULA CHENYE SUMU

Na Nathan Mtega,NamtumboWATOTO wanne wa familia moja wa kijiji cha Ligunga kata ya Lusewa tarafa ya Sasawala wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma   wamefariki dunia na wengine 12 wamelazwa katika Hospitali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANROAD YAPANIA KUONDOA KERO YA MSONGAMANO WA MAGARI JIJINI MWANZA

Meneja wa TANROAD mkoa wa Mwanza Mhandisi Leonard Kadashi akizungumza na waandishi wa habari juu ya ujenzi unaoendelea wa moja ya madaraja na hapa ilikuwa ni katika eneo la daraja la Mabatini jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZUNGUMZA KIINGEREZA FASAHA KUPITIA ENGLISH CLUB MWANZA

Mr. English akitoa maelezo juu ya wadau mbalimbali waliobahatika kupita kwenye kituo chake huku picha zao zikiwa kwenye bandiko, kituo kinapatikana kituo cha daladala cha Kliniki, barabara ya Makongoro...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINDANO YA MIJADALA YA SHULE ZA SEKONDARI MWANZA KUANZA SEPT. 2.

Mkurugenzi wa Stopper Entertainment,  Mukhsin Mambo, akitoa mafunzo kwa walimu wa Shule za Sekondari za Mkoa wa Mwanza kuhusiana na Mashindano ya Shule za Sekondari(Interschools Debate Compatations),...

View Article
Browsing all 12415 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>