Quantcast
Channel: g sengo
Browsing all 12417 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAMBA SPORTS CLUB YACHUKUWA WANNE TOKA RORYA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJAMBAZI MATATU YAUAWA MWANZA

STORI NZIMAJeshi la Polisi jijini Mwanza limefanikiwa kuwauwa majambazi watatu kwa kuwapiga risasi wakati walipotaka kuvamia kituo cha mafuta cha GBP kilichopo barabara ya Kenyata jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BFT KUKABIDHI VIFAA KWA TIMU YA TAIFA YA NGUMI KWA MAANDALIZI YA MASHINDANO...

Thursday, August 15, 2013Taarifa kwa vyombo vya habariYah:- Kukabidhiwa vifaa vya mazoezi na nauli wachezaji wa timu ya taifa yangumi.Mkurugenzi wa St. Merry School  na New Palm Hotel iliyopo Bagamoyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIWANI CHADEMA APONGEZA KAZI ZA MAENDELEO ZINAZOFANYWA NA MBUNGE WA CCM

Mbunge wa Jimbo la Rorya Lameck Airo akikagua baadhi ya majengo katika ziara yake ya kuangalia shughuli mbalimbali za maendeleo jimboni kwake..Mbunge wa Jimbo la Rorya Lameck Airo (wa tatu kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VITU FLANI HIVI KUTOKA MWANZA KUELEKEA UKEREWE NAYO SAFARI NDIYO IMEANZA

Safari inaanza kutoka jijini Mwanza katika mwalo wa Kirumba ndani ya ziwa Victoria kuelekea kisiwa cha Ukerewe.Taswira ya baadhi ya maeneo kandokando ya ziwa Victoria kwa mbaaaaaali milimani juu ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASILIMIA 80% YA WANANCHI MKOA WA MWANZA WANA MINYOO: MKUTANO WA KUHAMASISHA...

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Evarist Ndikilo akifunguwa Mkutano wa Semina elekezi kuhusu zoezi la ugawaji wa dawa tiba na kinga kwa magonjwa yaliyosahaulika kama minyoo ya tumbo,kichocho, trakoma, na usubi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKAZI WA BUHEMBA ANASWA NA VIPANDE 10 VYA MENO YA TEMBO VYA THAMANI YA...

 MKAZI wa Kijiji cha Buhemba Wilaya ya Butiama Mkoani Mara Yohana Jackison (27) amekamatwa na Askari Polisi wa dolia akiwa na vipande 10 vya meno ya Tembo vyenye thamani ya zaidi shilingi milioni 23.2...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA CHADEMA WA KUJADILI YA RASIMU YA KATIBA JINSI ULIVYOKUWA JIJINI...

Helikopta iliyowabeba viongozi wa CHADEMA ikiwa angani tayari kushuka kwaajili ya kuwahutubia maelfu ya wananchi waliofurika kwenye viwanja vya Magomeni kirumba jijini Mwanza kwa ajili ya mkutano wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO YA ECOBANK...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAOTUKANA KWENYE SIMU KUKIONA: TIGO YABORESHA HUDUMA ZAKE MWANZA

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Tawi la Tigo Mwanza lililopo barabara ya stesheni ambapo tawi hilo lilifungwa kwa muda kupisha ukarabati mkubwa kuendana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA KIGOMA WALIPOKEA KWA KISHINDO TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013

 Burudani ya kutosha kabisaMsanii wa muziki wa kizazi kipya,Neylee akiimba kwa hisia kwenye jukwaa la tamasha la Serengeti Fiesta 2013,usiku huu kwenu uwanja wa Lake Tanganyika.Sehemu ya umati wa watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONYAGI YAWAPIGA MSASA WAHARIRI JUU YA KUTHAMINI BIDHAA ZA NDANI

Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), David Mgwassa (kushoto), akieleza mafanikio ya TDL ikiwa ni pamoja jinsi inavyolipa kodi serikalini ambapo kwa mwezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI YA UKEREWE PART TWO..

Zana za kale katika uwindaji na ulinzi.Vitanda na mlango wa nyumba za kale za watu kabila la wakerewe.Ni vitanda vya aina mbili cha kwanza cha kamba za kusuka na cha pili kitanda cha ngozi.Mtumbwi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDAMO KUMNG'OA MEYA KUFANYIKA ASUBUHI HII MWANZA

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe akinyanyua bango linalosomeka: 'Ona Chadema karibu mweshimiwa mkombozi wa haki zetu Mwanza', 'NO Matata' (akimaanisha kukataliwa kwa Meya Henry Matata wawilaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA KILI MUSIC TOUR 2013 JIJINI MWANZA

Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya (Bongo Fleva),Nassib Abdul a.k.a Diamond akiwajibika jukwaani sambamba na madansa wake wakati wa Onyesho Kabambe la Kilimanjaro Tanzania Music Tour 2013,lililofanyika...

View Article


AIRTEL YAKABIDHI FUNGUO YA NYUMBA YA KWANZA IRINGA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWAKILISHI WA Big Brother The Chase Feza Kessy akaribisha kwa kishindo...

Msanii maarufu nchini, Lady Jay dee maarufu kama Komando akitumbuiza na bendi yake ya machozi bendi katika hafla ya kumkaribisha aliyekuwa mwakilishi wa Big brother wa The chase kutoka Tanzania, Feza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDAMANO YA CHADEMA KUMNG'OA MEYA ILEMELA JIJINI MWANZA YAISHA KWA MABOMU

MAANDAMANO ya amani yaliyokuwa yameandaliwa na chama cha demokrasia na maendeleo(chadema) yamegeuka shubiri kwa wakazi wa jiji la Mwanza baada ya kuibuka mapambano makali baina ya waandamanaji hao na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL MONEY, HAKATWI MTU KUINGIA MTAANI KWA KISHINDO

Airtel money, Hakatwi Mtu kuingia mtaani kwa kishindoWafanyakazi wa Airtel wanategemea  kuiingiza rasmi promosheni ya Airtel money, Hakatwi mtu hapa kwenye mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINANO YA NGUMI YASOGEZWA MBELE

                              Tuesday, August 13, 2013TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.

View Article
Browsing all 12417 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>