Quantcast
Channel: g sengo
Browsing all 12415 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAINUA KIKUNDI CHA VIJANA WAJASILIAMALI KUPITIA AIRTELA FURSA jijini...

Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (Kulia), akikabidhi funguo ya pikipiki aina ya guta kwa mmoja wa wakilishi wa kikundi cha Akilimali Fatuma Rashidi, ikiwa ni sehemu ya msaada wa vifaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAWILI WAFARIKI KWA KUFUKIWA MACHIMBONI KAHAMA.

Watu wawili Jumanne Nzumbi na mmoja aliyefahamika kwa jina la Masumbuko, wamethibitika kupoteza maisha baada ya kufukiwa na kifusi katika machimbo madogo ya Dhahabu ya Iselenge yaliyoko katika Kijiji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAAH PIGO MUZIKI WA BONGO FLEVA> KWAHERI JONI WOKA.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Michael Dennis Mhina ‘John Woka’ Hatunaye tena.Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye alijipatia umaarufu mkubwa kwa staili yake ya kuimba kama mlevi, Michael Dennis...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAZINDUA MSIMU WA PILI WA AIRTEL TRACE MUSIC STAR.

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel , Beatrice Singano Mallya akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa msimu wa pili wa shindano la muziki la Airtel Trace Music Stars litakalowapa nafasi...

View Article

WANANCHI PEMBA WAASWA.

Mh. Balozi Seif awasihi wananchi Zanzibar kutoshiriki katika vitendo vya uvunjifu wa amani na utulivu wakati wa uchaguzi.

View Article


SIMBA NA YANGA KUCHEZESHWA NA MWAMUZI WA KIKE.

Shirikisho la soka nchini TFF limemtangaza mwamuzi wa kike kutoka kagera atakayechezesha mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga. 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BIOTEKNOLOJIA YA KILIMO NCHINI KUFANYIWA UTAFITI

Mkuu wa Idara ya Uchumi na Uzalishaji Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Ndaro Kulwijila (katikati), akiwakaribisha mkoani humo watafiti wa kilimo kutoka Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RUSHWA YAWANG'OA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI 4

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anaye shughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa nchini Tanzania TAMISEMI Mhe. George Simbachawene ame wasimamisha kazi wakurugenzi wa Halmashari nne nchini kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFUKUZWA CCM KWA KUMFANYIA KAMPENI LOWASSA.

Tweets    peter mwininga ‏@PMwininga  9 Apr 20140 retweets0 likesReplyRetweet Like Morepeter mwininga ‏@PMwininga  9 Apr 20141 retweet0 likesReplyRetweet 1Like MoreHalmashauri ya CCM Mkoa wa Geita...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FUATILIA BBC MOJA KWA MOJA: Uchaguzi mkuu Uganda

09:56 Magazeti ya Uganda yameongoza na habari za uchaguzi.07:45 Upigaji kura katika maeneo mengi umeanza, ingawa kwa kuchelewa. Hapa ni Kalangala watu wakipiga kura.07:44 Kuna ripoti kwamba baadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA HAPA MATOKEO YTA KIDATO CHA NNE MWAKA 2015

Kwa Matokeo ya Shule zote  BOFYA HAPA KWA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUKWAA LA BIOTEKNOLOJIA LATOA MAFUNZO KWA WALIMU WANAFUNZI WA CHUO CHA BUNDA...

Mtafiti Mkuu wa Jukwaa la Bioteknolojia Tanzania na Mkufunzi wa Mafunzo ya Bioteknolojia , Dk.Emmarold Mneney (kulia), akiwafundisha wanachuo wa Chuo cha Ualimu cha Bunda (BUNDA TTC), kuhusu matumizi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI AIAGIZA HALMASHAURI YA BUSEGA KUACHANA NA ANAROGI KATIKA UKUSANYAJI WA...

Mkuu wa wilaya ya Busega Paul Mzindakaya akiwakilisha changamoto za wilaya yake kwa waziri mbarawaWaziri mbarawa akisikiliza ripoti kwa mkuu wa wilaya ya busega Paul MzindakayaNa Shushu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAOFISA UGANI WADAIWA KUCHANGIA CHANGAMOTO YA KILIMO WILAYANI MAGU MKOANI MWANZA

 Mtafiti Mkuu wa Jukwaa la Bioteknolojia Tanzania kutoka Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) Dk. Emmarold Mneney (kushoto), akizungumza na wakulima wa Kijiji cha Salama  kilichopo Kata ya...

View Article

KAULI YA RAIS MAGUFULI KUHUSU UINGIZWAJI KIHOLELA WA SUKARI NCHINI

Serikali yapiga marufuku uingizwaji wa sukari nchini ili kulinda soko la viwanda vya sukari vya ndani.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAPA FRANCIS>'DONALD TRUMP SI MKRISTO'

Papa Francis.Image copyrightiCHANZO:BBC SWAHILIMkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis amesema kuwa wazo la mgombea wa kiti wa chama cha Republican nchini Marekani , Donald Trump la kujenga ukuta...

View Article

DONDOO ZA MAGAZETI> MAGUFULI KUNA MAJIPU YANAHITAJI TIBA MBADALA> CUF...

Magufuli: Kuna majipu yanahitaji tiba mbadala. CUF kuandamana kupinga uchaguzi Zanzibar. Dk. Kalemani ambana mwekezaji.Wenye mashamba hekari zaidi ya 50 watangaziwa kiama. Polisi yatua bandarini....

View Article


MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA NI YAPI ??! JE HILI HALIMO?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ETIHAD YAPEWA TUZO YA SHIRIKA LA NDEGE LA MWAKA 2016 NA JARIDA LA AIR...

Viongozi kutoka shirika la Ndege la Etihad wakiwa na tuzo ya shirika la Ndege la mwaka 2016 waliyopokea kutoka jarida la Air Transport World (ATW) katika hafla iliyofanyika nchini Singapore. Kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YACHEZESHA DROO YA MWISHO PROMOSHENI YA AIRTEL MKWANJIKA

Haya mmoja wa washiriki huyooooo....Afisa Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde akimkabithi mshindi wa  Airtel Mkwanjika Diana Samwel na mkazi wa Dar es Saalam pesa taslimu mara baada ya kujinyakulia...

View Article
Browsing all 12415 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>