Quantcast
Channel: g sengo
Browsing all 12428 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE LAMECK AIRO ASIMAMIA HARAMBEE KUJENGA KITUO CHA POLISI KIJIJI CHA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBEYA WAANZA RASMI FAINALI ZA SAFARI POOL TAIFA

Baadhi ya wachezaji wanaoshiriki mashindano ya Safari Pool Taifa ngazi ya mkoa wa Mbeya wakiwa kwenye maandamano kuingia ukumbini wakati wa ufunguzi wa fainali hizo zinazofanyika Airport Pub mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMSUNG YALETA UHAKIKA NA MFUMO WA “E-WARRANTY”.

Meneja wa mauzo na usambazaji wa kampuni ya Samsung , Silvester Manyara,  Bakari Maggid toka bodi ya michezo ya kubahatisha na meneja mwakilishi wa Samsung nchini Kishor Kumar wakiwa wameshika baaadhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAKAYA AZINDUA KITUO CHA AFYA LUGEYE WILAYANI MAGU - APATA MAPOKEZI YA NGUVU

Rais Jakaya Kikwete akishuka kwenye helkopta ya jeshi la polisi kufanya ziara yake wilayani Magu ambapo alipata mapokezi ya kutosha wilayani humo kuanzia kata hii ya Lugeye..Rais Kikwete akiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERENGETI FIESTA 2013 JIJI LA MBEYA USPIME

Msanii wa muziki wa kizazi kipya,ambaye kwa sasa anafanya vyema kwenye anga za muziki huo,Neylee akiimba kwa hisi jukwaani huu wakati tamasha la Serengeti Fiesta likiendelea kwa shangwe ndani ya uwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUMATRA YASITISHA SAFARI ZIWA VICTORIA KWA ABIRIA WASIO NA VITAMBULISHO.

SUMATRA YASITISHA SAFARI ZIWA VICTORIA KWA ABIRIA WASIO NA VITAMBULISHO.Mamlaka ya Uthibiti Usafiri wa nchi kavu na Majini SUMATRA, imewataka abiria na wananchi wote wanaotumia vyombo vya usafiri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISI MPYA ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU KUZIPIGA BAO OFISI ZA JIJI LA...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Magu na Ukumbi wa Mikutano. Ofisi hizo za kisasa kulingana na michoro yake zitazidi uzuri na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATA FURSA TWENZETU MKOANI IRINGA

 sehemu ya meza kuu. Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya ASAS,Salim Abri  akizungumza na wakazi wa mji wa Iringa na vitongoji vyake waliojitokeza kwenye semina ya kamata fursa twenzetu,ASAS amejitolea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAOKWENDA NIGERIA AIRTEL RISING STARS WATAJWA

Wanokwenda Nigeria Airtel Rising Stars watajwa Dar es Salaam, Jumapili 8 Septemba 2013… Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo limetangaza kikosi cha wachezaji 32 wanaosafiri kwenda Lagos,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUJAGUNDUA TU NAMNA YA KUTALII?

Naikaribisha asubuhi na kitu cha kitumbua na chai ya rangi motooo...Mining'inio na jicho lionavyo toka dukani.Ze - Ujumbe....Kupita kiasi.....Wakiibuka wale jamaa zetu wa njaro za usiku tutasema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

J.A HOTEL YAZINDULIWA RASMI KATIKATI YA JIJI LA MIAMBA.

Ni muonekano wa J. A Hotel majira ya jioni.Mgeni rasmi wa ufunguzi wa  J. A Hotel,  Justus Molai (wa pili toka kulia) ambaye alikuwa Mkurugenzi wa halmashauri ya Urambo mkoani Tabora, akikata utepe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAENDELEA KUUNGA MKONO DHAMIRA ZA KAMPENI YA USALAMA BARABARANI

Airtel yaendelea kuunga mkono dhamira za kampeni ya usalama barabarani*       Mwaka huu yadhamini tena uchapishaji wa stika za usalala barabarani pamoja na wiki ya usalama barabarani.Kampuni ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI MWAKA MMOJA SASA TANGU KUUAWA KWA MWANGOSI NA MASWALI BADO HAYAJAPATA MAJIBU.

NA MWANDISHI WETU.Mwaka mmoja baada ya mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa kituo cha luninga cha Channel ten Daudi Mwangosi  serikali imelaumiwa kwa kutofanya juhudi za kutosha kuchukua hatua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADIWANI HALMASHAURI YA KARIUA WATEMBELEA TBL MWANZA

Madiwani na Wataalamu wa Halmasahauri mpya ya Kariua toka mkoa wa Tabora wakiongozwa na Mwenyekiti wao John Kadutu, mwishoni mwa wiki walitembelea Kampuni ya Bia Tanzania iliyopo Ilemela jijini Mwanza,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POOL SAFARI TAIFA MKOA WA IRINGA BINGWA APATIKANA

Afisa ushirika wa mkoa wa Iringa, John Kiteve wa (wa pili kulia) akimkabidhi kikombe nahodha wa klabu ya Garden, Said amaohamed, mara baada ya kuibuka mabingwa katika fainali za mashingano ya Safari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY DJ- CALVIN

Dj-K'flip Calvin MichaelDj-K'flip Calvin Michael (kulia) akiwa na Baraka jana katika kum-wish Happy day ya kuzaliwa DJ Calvin ambaye mara zote utakutana naye pale Club Fusion... Bata la jana (10...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTANA NA SAMAKI ANAYE TUMIKA KAMA DAWA KANDA YA ZIWA

Dkt. Ngwatya mganga wa jadi na miti shamba aliyerithishwa tangu mwaka 1984 akiwa na umri wa miaka 25-30, mkononi akiwa ameshika samaki wa dawa aitwaye 'Shilonge'. Licha ya Ziwa Victoria kutumika kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ENZI HIZO...

Kama ulikosa kuangalia Dira ya dunia usiku wa leo, basi funga kazi ilikuwa ni mambo ya simulizi za mapigo ya kale juu mpaka chini... duh nimesahau hadi mwondoko wa kudundika...aaaah 'Charziiiii'Picha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIWATA YAKABIDHI NYUMBA ZA WANACHAMA WAO KWA AJILI YA MAKAZI

Mchezaji na Kepteni wa zamani wa Timu ya  Taifa Stars, Jella Mtagwa (kushoto) akipokea cheti cha nyumba aliyokabidhiwa na SHIWATA na eneo la robo ekari ambalo anatarajia kujenga nyumba kubwaMwanachama...

View Article

KUTOKA MWANZA KUELEKEA KOMBE LA DUNIA LA VIJANA WA MITAANI

View Article
Browsing all 12428 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>