Quantcast
Channel: g sengo
Browsing all 12422 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWAHERI NELSON MANDELA.

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ameaga dunia.Mandela amefariki huko Johannesburg akiwa na umri wa miaka 95 na yeye ndiye aliongoza Afrika Kusini kutoka mikononi mwa watawala wa ubaguzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIDUMU AWASILI TZ KWA SHOO YA TTC "CLUB E" ITAKAYOFANYIKA LEO MLIMANI CITY

1.      Ticket zinauzwa katika vituo vifuatavyo; Samaki Samaki (Mlimani City na Samora), Engen Petrol Station (Mbezi na Mikocheni), TCC Club Chang’ombe, Rose Garden, Shoppers Supermarket (Mikocheni na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL BINGWA KUFUNGUKIA MBAGALA ZAKHIEM KESHO

 WASANII WAKALI NEY WA MITEGO NA YOUNG KILLER KUONYESHANA NANI BINGWA … KATIKA HIP HOP MBAGALAHaya sasa mabingwa woote WA AIRTEL BINGWA  kula bata pamoja wikiendi hii MbagalaaaaaaKama wewe ni bingwa wa...

View Article

SAKATA LA ZITTO LAWACHOMOA VIJANA 200 CHADEMA

Na Peter Fabian.                                    MWANZA. UMOJA wa Vijana wa Kata ya Mahina Wawapongeza Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa Wilaya ya Nzega Hessein Bashe na aliyekuwa Mjumbe wa Baraza kuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKUNDI YA KOMBE LA DUNIA 2014 YAPATIKANA.

Hapana shaka wapenzi wa soka barani Afrika pamoja na kuomboleza kifo cha Nelson Mandela wamekuwa wanafuatilia Droo ya kombe la dunia kufahamu nani wapinzani wa timu tano zinazowakilisha bara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARS YATINGA NUSU FAINALI CECAFA 2013

TIMU ya Kilimanjaro Stars imefanikiwa kusonga mbele hatua ya Nusu Fainali baada ya kuwatoa Mabingwa watetezi wa Kombe hilo Uganda kwa ushindi wa changamoto ya penalti 3-2 katika michuano ya kombe la...

View Article

MMMH...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARA MABINGWA MBIO ZA MITUMBWI KANDA YA ZIWA.

Kikundi cha Nahodha Benedicto Chamba kutoka Mara wakishangilia na Kikombe mara baada ya kutwaa ubingwa wa mashindano ya mbio za mitumbwi upande wa Wanaume, zilizofanyika jana katika ufukwe wa Mwaloni...

View Article


VIONGOZI WA BARA LA AFRIKA WAMETAKIWA KUMUENZI MZEE NELSON MANDELA.

Viongozi wa bara la Afrika wametakiwa kuachana na tabia ya ubinafsi wa kujilimbikizia mali, kung`ang`ania madarakani pamoja na kuwa na mioyo ya visasi katika mapambano ya kisiasa, kama njia mojawapo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPA NA PALE WILAYANI TARIME

Wilaya ya Tarime ina kilometa za mraba 1,791.504 kati ya eneo hilo kilometa za mraba 270 ni eneo la hifadhi ya mbuga ya Akiba ya Lamani (Game Reserve). Eneo linalotumika kwa shughuli za kilimo, ufugaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI TU BINADAMU MJANJA LAKINI NI SEHEMU YA WANYAMA.

WANYAMA ni viumbehai wasio mmea. Jina la kisanyasi ni animalia.Hawapati chakula chao kupitia usanisinuru (nishati ya jua) lakini kutoka kwa viumbehai vingine ama wanyama wengine au mimea. Wanyama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWA MARA YA KWANZA TANZANIA YASHEREHEKEA MIAKA 52 YA UHURU BENDERA YAKE...

Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo ataongoza mamilioni ya Watanzania katika kusherehekea maadhimisho ya miaka 52 tangu Tanganyika kupata uhuru ambayo baadaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA KUBWA LA UJASIRIAMALI KUFANYIKA CCM KIRUMBA, MWANZA DESEMBA 13-15,2013

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 3 TU ZA MAADHIMISHO SHEREHE ZA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA.

Watoto wa halaiki wakijiandaa kuingia uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam kwa ajili ya Maadhimisho ya Miaka 52 ya Uhuru wa Tanganyika.Sehemu ya uwanja wa uhuru.Gwaride la heshima likipita mbele ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DISEMBA 14 TUKUTANE HAPA.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAMWAGA ZAWADI YA MILIONI 40 KATIKA 'MIMI NI BINGWA' promosheni.

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando, (aliyeshika kipaza sauti) akiwaonyesha wakazi wa Mbagala jijini Dar es Salaam –Rashid Ahmed Othman (kati kati) na Peter Elias Magusha (wa pili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HEBU SOMA WARAKA HUU WA TUNDU LISSU KWA WANAMABADILIKO.

Wanamabadiliko,Nina mambo mawili. Moja, kwa kadri mjadala huu ulivyo hadi sasa, inaelekea kuwa kila mmoja wetu anaamini kwamba ni kweli huyu bwana kafanyiwa fujo Kama anavyodai. Hii assumption kwamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA UJASIRIAMALI KURINDIMA MWANZA IJUMAA HADI JUMAPILI

Mratibu wa Tamasha la Ujasiriamali, Abdallah Mrisho (wa pili kulia) akiongea jambo na waandishi wa habari leo ndani ya ukumbi wa The Atriums Hotel iliyoko Sinza, Afrika Sana jijini Dar es Salaam.Meneja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA VILAINISHI YA ORION YAINGIA UBIA NA KAMPUNI YA CHEVRON KUSAMBAZA...

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Orion Lublicants, Beny Maregesi akizunumza na wageni waalikwa(hawapo pichani) wakati wa hafla ya kuchaguliwa kwa kampuni hiyo kuwa wasambazaji wa Oil za Caltex nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU HAPA MPANGO MZIMA WA CHAMELEONE NA BADILISHA CONCERT MWANZA 24 DEC 2013.

View Article
Browsing all 12422 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>