PAMBA YAMREJESHA MWANZA GEORGE MASATU.
Afisa Habari wa Pamba Sports Club Cuthbert Japhet (kushoto) akizungumza na Albert G. Sengo wa Clouds Fm Sports Xtra.Kuelekea ungwe ya pili ya lala salama ya Ligi soka daraja la kwanza Tanzania Bara...
View ArticleMH. LOWASSA AKUTANA NA UONGOZI WA BODABODA MKOA WA DAR.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (katikati) akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa viongozi wa shirikisho la waendesha bodaboda jijini Dar es Salaam,waliomtembelea...
View ArticleKAULI YA MZINDAYI KUSEMA 'WENYEVITI WA CCM TZ BARA WAKO NYUMA YA LOWASSA'...
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Joseph Msukuma akizungumza na waandishi wa habari hii leo katika ukumbi wa CCM mkoa wa Mwanza. WENYEVITI wa CCM mikoa ya Tanzania bara wametoa tamko la kumkana...
View ArticleNI BIASHARA MBELE YA BIASHARA KITUO CHA MABASI ZAMANI TANGANYIKA.
Hii ni hali halisi inayoendelea katika eneo la kituo cha zamani cha mabasi stendi ya Tanganyika jijini Mwanza, wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama wamachinga wamepanga bidhaa zao mbele ya maduka...
View ArticleRAIS WA TFF AKITEUA KITUO CHA ALLIANCE ACADEMY KUWA KITOVU CHA MAANDALIZI YA...
ZIARA ya Rais wa TFF Jamal malinzi hatimaye imemelizika leo hapa jijini Mwanza kwa matukio mawili makubwa kufanyika.Tukio la Kwanza limefanyika majira ya saa 2:30 katika ofisi za Halmashauri ya jiji la...
View ArticleSKYLIGHT BAND HARIiiiiii....!!!
Kutokana na mapenzi kwa makubwa kwa mashabiki wa Skylight Band Mmiliki wa Band hiyo Dr. Sebastian Ndege a.k.a JEMBE aliamua kutoa kinywaji chake hicho kama zawadi kwa mwanadada atakayecheza vizuri...
View ArticleMKENYA WA KWANZA KUTINGA OSCAR
>Orodha ya walioteuliwa kuwania tuzo za Oscar, imetolewa.>Mkenya wa kwanza kuwahi kuwa katika Orodha hiyo pia ametajwa.Lupita mwenye umri wa miaka 30 amepata uteuzi wa kuwa muigizaji msaidizi...
View ArticleNDANI YA LIBRARY YA HISTORIA MWANZA.
Kuna mengi yamehifadhiwa ndani ya Maktaba hii ya historia iliyojengwa kwa ushirikiano wa jamii ya watu toka taifa la India na Watanganyika (kabla ya uhuru) ni maktaba iliyoko barabara ya Posta katika...
View ArticleRAIS KIKWETE ATEUA MAKATIBU TAWALA WAPYA MIKOA MITANO NA KUHAMISHA WENGINE...
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone: 255-22-2114512, 2116898E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com press@ikulu.go.tz Fax:...
View ArticleKANUSHO LA Dkt. CHAMI KUHUSIANA NA YALIYO POSTIWA FACE BOOK
Naitwa Cyril August Chami (PhD) Mbunge wa Jimbo la Moshi Vijijini na Mjumbe wa NEC-CCM kupitia Wilaya ya Moshi Vijijini.Nimesikitishwa na kufadhaishwa sana na mtu au watu waliotengeneza akaunti kwa...
View ArticleMTANGAZAJI WA BBC KOMLA DUMOR AFARIKI DUNIA.
Yatupasa kuamini kwamba mtangazaji huyu hatuto muona tena katika ulimwengu huu wa nyama kwa hivi sasa ni marehemu aliitwa Komla Dumor aliyekuwa mtangazaji wa BBD Focus On Africa.BBC presenter Komla...
View ArticleJAHAZI YATIKISA KWA MUZIKI MKALI WA TAARAB DAR LIVE
Mzee Yusuf akiwadatisha mashabiki waliofurika Dar Live.Mzee Yusuf na wanenguaji wake kazini.Umati wa mashabiki ukiserebuka.Leila Mohamed akiwa kazini.Shabiki akiserebuka.Chidi Boy akikunguta...
View Article