Quantcast
Channel: g sengo
Browsing all 12422 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMA UNA KIATU KIKALI BASI ZUKA JUMAMOSI HII KWENYE PARTY HILI PANDE ZA MWANZA .

Upate mpango mzima kwa kubofya PLAY.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CLOUDS 14 YATEMBELEA UJENZI WA SOKO LA KISASA LA MWANZA.

Msimamizi mkuu wa mradi wa Ujenzi wa soko la Kisasa la Mwanza Commercial Complex, Injinia Zuma (katikati) akiwa na Bonge wa Clouds fm (kulia) na Afisa Habari wa Jiji la Mwanza Joseph Mlinzi (kushoto)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIONGOZI WA UPINZANI NCHINI UGANDA, BESIGYE AKAMATWA AKITOROKA MJINI KAMPALA.

KAMPALA - Police arrested opposition politicians Dr. Kizza Besigye and embattled Kampala Lord Mayor, Erias Lukwago in Kampala on Thursday as they tried to hold a meeting.The two men, who found...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OXFAM YAWEKEZA MAISHA PLUS MSHINDI ZAIDI YA MILIONI 25 KUSHINDANIWA: MWANZA...

Mmoja wa wakurugenzi wa Maisha Plus Tv Kaka Bonda (wa kwanza kushoto) amesema kuwa mwaka uu kampuni yake imeamua kuetengeneza fomu na  kuzigawa bure bila malipoTanzania nzima ambapo kwa washiriki wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADIWANI WA JIJI LA MWANZA WAMGOMEA MKURUGENZI WAO:BAJETI IMEJAA...

Na PETER FABIANG.SENGO BLOG.MADIWANI wa Jiji la Mwanza leo wamegomea kujadili Rasimu ya Bajeti ya mwaka 2014/2015 iliyowasilishwa na Mkurugenzi wa jiji la Mwanza, kwa madai kuwa haijakidhi na ina...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH. LOWASSA AKAGUA MIRADI YA MAJI JIMBONI KWAKE MONDULI.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (katikati) akiongozana na wadau mbali mbali wa maendeleo wakati ziara yake ya kukagua maendeleo ya Mradi wa ujenzi wa bwawa la maji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BURUDANI YA SKYLIGHT BAND IJUMAA YA KWANZA KWA MWAKA 2014 NDANI YA KIOTA CHA...

Digna Mbepera akiwaimbia kwa hisia mashabiki wa Skylight Band Ijumaa ya kwanza kwa mwaka 2014 ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na Mary Lucos pamoja na Winnie.Meneja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUSHIRI KAUBANIKA AFUNGA NDOA NA MWATABU TAMARAWE

Bwana Bushiri Kaubanika akiwa na nyuso ya furaha baada ya kufunga pingu za maisha na Mwatabu Tamarawe arusi iliyofungwa Gongolamboto mwisho wa lami na kufuatiwa na tafrilija iliyofanyika Kigogo Dampo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARIEL SHARON AFARIKI DUNIA.

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Israel, Ariel Sharon, amefariki dunia.Bwana Sharon ambaye amekuwa kwenye umahututi kwa miaka nane.Amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85 baada ya kuugua ugonjwa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKU WA LEO HAPATOSHI NDANI YA BABI LOUNGE.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEREHE YA MIAKA 50 YA MAPINDUZI ZANZIBAR ZAFANA.

Rais wa Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia wananchi wa Zanzibar wakati akiingia kwenye uwanja wa Amani  na gari la wazi kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESHO NI MAPUMZIKO YA KITAIFA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MAPINDUZI ZANZIBAR.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ally Mohammed Shein kwa makubaliano na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete wametangaza kesho (jumatatu 13jan2014)...

View Article

HII HAPA PILI PILI YA AWILO LONGOMBA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGOMA IKIGEUKA HIVI SIKU MOJA JE UTAUNGANA NA WATAKAO NUNA?

SIASA za leo zimekuwa kizunguzungu, watu wanabadilika kama kinyonga, wale wale walio kuwa mstari wa mbele kutia hamasa ya jambo fulani leo, mara kesho wanageuka na kudai kunukuliwa vibaya kwa yale ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPA NA PALE LEO MAPUMZIKONI.

Dereva hana sikukuu.Kesho ni maulid.Viashiria kuelekea maulid.Kwa mujibu wa tangazo ilililotolewa na Baraza Kuu la Waisalam Tanzania, BAKWATA limetangaza kuwa leo usiku yatafanyika maulid ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUPER STAR WA BONGO MOVIE JB AONGOZA ZOEZI LA UTOAJI FOMU ZA SHINDANO LA MAMA...

Mwigizaji wa filamu za Bongo Jacob Steven aka JB aka Dj Ben, akiwakabidhi akinamama waliofika katika viwanja vya Buhongwa jijini Mwanza kuchukuwa fomu za ushiriki wa shindano la Mama shujaa wa chakula...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRISTIANO RONALDO ASHINDA TUZO YA BALLON d'Or 2013.

Hatimaye Cristiano  Ronaldo ametangazwa kuwa ndiye mshindi wa tuzo ya Ballon d'Or 2013, baada ya kuwaketisha chini Leo Messi na Frank Ribery katika mbio za kunyakua tuzo hiyo adimu ulimwenguni, katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI UKONGA WAGOMEA FIDIA KIDUCHU BOMBA LA GESI

Mwenyekiti wa Kamati ya kufatilia malalamiko ya wananchi wa mji mpya relini Bw. Omari Msusa kushoto akihojiwa na vyombo vya habari kuhusu fidia wanayotakiwa kulipwa huku Mbunge wa Jimbo la Ukonga Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE MGENI RASMI KONGAMANO LA WASANII IJUMAA

Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Twalib 'Teacher' (kushoto) MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) umeandaa kongamano la umoja na mshikamano linalofanyika Januari 17 (Ijumaa) kwenye viwanja vya hoteli ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY ZAINABU WA SUPER D'

 LEO NI SIKU YA KUZALIWA KWA MTOTO ZAINABU MHAMILA 'IKOTA' SUPER D AMBAPO ANATIMIZA MIAKA  11 TANGU KUZALIWA KWAKE, PICHANI AKIWA NA BABA YAKE MZAZI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' AMBAYE NI KOCHA WA...

View Article
Browsing all 12422 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>