Quantcast
Channel: g sengo
Browsing all 12441 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHUDUMU MWINGINE WA AFYA AANGUSHWA NA EBOLA -UGANDA

Wizara ya Afya nchini Uganda imethibitisha kifo cha mhudumu mwingine wa afya, ambaye aliaga dunia usiku wa kuamkia Jumatano, Oktoba 5. Mgonjwa huyo alifariki baada ya kuugua ugonjwa wa Ebola kwa siku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA ELIMU YATAMBA KUIBUKA MABINGWA MICHUANO YA SHIMIWI TANGA

  Mratibu wa Dawati la Michezo Idara ya Utawala wa Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia Salome Mziray kulia akipokea jezi kutoka kwa benki ya NMB kwa ajili ya Mashindano hayoMratibu wa Dawati la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI APORA ARDHI ZA WANANCHI,ATISHIA KUWAUA WAKILALAMIKA

 Mkuu wa wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo akiwa eneo lenye mgogoro wa ardhi kutatua mgogoro huo baina ya wananchi wa Kijiji cha Mgera na mwenyekiti wa Kijiji hicho Lucas Mgata ambaye amavalia shati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dawasa yajizatiti kuboresha huduma ya maji kwa wawekezaji

Rais .mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete wa kulia akipata maelezo kwa mtendaji mkuu wa Dawasa Injinia Cyprian Luhemeja alipotembelea katika Banda hilo la Dawasa. Na Victor Masangu,Pwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA ELIMU YAIBAMIZA WIZARA YA SHERIA NA KATIBA KWA SETI 32-8 MICHUANO...

 Mchezaji wa mchezo wa Pete wa timu ya Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia wenye jezi za zambarai   kushoto akiwania mpira dhidi ya wa Wizara ya Sheria na Katiba wakati wa mechi ya Mchezo wa Pete...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO KANDA YA KASKAZINI WAELEZA MIKAKATI UPATIKANAJI WA UMEME WA UHAKIKA

 Mkurugenzi wa Tanesco Kanda ya Kaskazini Mhandisi Fedgrace Shuma kulia akiwakabidhi tuzo na cheti kwa uongozi wa Kiwanda cha PPTL Jijini Tanga ikiwa ni kama wateja wakubwa wa Shirika hilo ikiwa ni...

View Article

BRAND NEW VIDEO: Scob - Nafia Bar (Official Video)

 

View Article

'HII HAPA NGOMA UIPENDAYO'

 Mara ya kwanza binafsi niliusikiliza kama freestyle hivi, ... vipi kwako uliusikia kwa mazingira gani? Jamaa anaitwa Micky Singer na wimbo waitwa Wanijue. 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODABODA APIGWA PESA NA MGANGA AKISAKA MAFANIKIO

 Mhudumu wa boda boda kutoka Loitoktok, Kaunti ya Kajiado amemshtaki mganaga wa kienyeji kwa kumtapeli KSh 543,200 (Zaidi ya milioni 9 za Kitanzania).  Mhudumu huyo, Dickson Murigi, alimwambia hakimu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TMDA YAKAMATA DAWA ZA NGUVU ZA KIUME NA P2 HATARI KWA UZAZI KANDA YA ZIWA

Dawa hizo ni VEGA 100 zinazodaiwa kuongeza Nguvu za Kiume ambazo hazijasajiliwa na Dawa za kuharibu Vichocheo (Hormones) kwa Wasichana ili wasipate Ujauzito-Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPINA AREJESHA FOMU YA KUOMBA UNEC WA CCM MKOA WA SIMIYU NA UNEC CCM VITI 15...

 Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Joelson Mpina akikabidhiwa fomu na Katibu wa CCM Mkoa wa Simiyu, Mohammed Ali Khalfan kwa ajili ya kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi kuwania nafasi ya MNEC Mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WALIONYESHA UZALENDO MKUBWA WAKATI WA ZOEZI LA SENSA YA WATU NA...

 Kamisa wa Sensa ya Watu na Makazi 2022 Anna Makinda akizungumza wakati akapokea taarifa ya utekelezaji wa zoezi la sensa ya watu makazi ya mwaka 2022 mkoani Tanga katika ziara yake Mkoani  humo kulia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEKELA (STYES) - JINSI YA KUZITIBU, JINSI YA KUZIEPUKA.

Je, wakati fulani unapata vipele vyekundu vilivyo na laini kwenye ukingo wa kope zako? Labda ni sekela.Na ingawa zinaweza kuwa chungu (na karibu kila wakati zisizofurahi), unaweza kuchukua hatua za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA ELIMU YANG'ARA RIADHA KATIKA MICHUANO YA SHIMIWI

 Na Oscar Assenga,TANGATIMU ya Mchezo wa Riadhaa ya Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imeng’ara katika Mashindano ya Shimiwi yanayoendelea Jijini Tanga huku wakimbiaji wake kuchukua nafasi za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Washindi wa mwezi septemba wa promosheni ya “Tisha na TemboCard” wakabidhiwa...

 Mkuu wa Kitengo cha Kadi wa Benki ya CRDB, Farid Seif (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi laki tano, mshindi wa pili wa promosheni ya “Tisha na TemboCard”, Diana Lucas...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dawasa chapeni kazi kudhibiti upotevu wa maji'Naibu waziri wa uwekezaji na...

Meneja wa mawasiliano Dawasa wa kushoto Everlasting Lyaro akitoa maelekezo kwa Naibu wa uwekezaji na biashara Exavd Kigahe alipotembelea katika Banda la Dawasa. Na Victor Masangu,Pwani Naibu waziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tbs yaja na mpango wa kuwatembelea wajasiriamali wadogo masokoni

 Afisa masoko wa Shirika la viwango Tanzania (TBS) Roda Mayugu wa kushoto akitoa maelezo kwa Naibu waziri wa Wizara na uwekezaji na biashara Exavd Kigahe  alipotembelea banda hilo.Na  Victor...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MILIONI 900 KUJENGA MADARASA 45 SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA IRINGA

 Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ibrahim Ngwada akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake namna ambavyo serikali kuu imetoa kiasi cha shilingi milioni 900 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LANDESA:UWEKEZAJI WAJIBIFU WA ARDHI YA JAMII UTAPUNGUZA MIGOGORO

 Mkurugenzi wa Landesa Tanzania, Godfrey Massay akipekua baadhi ya taarifa za ardhi wakati wa mafunzo ya wanahabari na wadau wa ardhi yaliyofanyika mjini MorogoroBaadhi ya washiri wa warsha ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA BRAC MAENDELEO TANZANIA LIMEJIKITA KUWASAIDIA WATOTO WA KIKE

 Naibu Meya wa Jiji la Tanga Mwanaidi Kombo akizungumza wakati wa siku ya kilele cha mtoto wa kike duniani iliyofanyika kwenye viwanja vya Urithi Jijini Tanga.Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Dkt Sipora...

View Article
Browsing all 12441 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>