USIKU WA LEO VILLA PARK KUNALIPUKA SHANGWE NI MALAIKABAND LIVE.
BOFYA PLAY KUSIKIA MPANGO MZIMA.BENDI ya muziki wa dansi ya Malaika yenye masikani yake jijini Dar es salaam, leo Mei 31 iko jijini Mwanza kwa ajili ya kutoa burudani kwa mashabiki wa jiji...
View ArticleWAZIRI KAMANI AWATAKA WANANCHI WA JIMBO LA BUSEGA KUIPA KIPAUMBELE ELIMU YA...
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dr. Titus Kamani akiweka jiwe la msingi katika jengo la Ofisi ya Halmashauri ya kijiji cha Shimanilwe wiayani Busega mkoani Simiyu.
View ArticleTAARIFA YA MSIBA WA KUONDOKEWA NA BABA MZAZI WA MDAU BEATRICE SINGANO MALLYA
MAREHEMU MZEE WETU MAURICE NOEL SINGANOTAARIFA YA KIFO/MSIBA WA BABA MZAZI WA BEATRICE SINGANOMDAU WETU BEATRICE SINGANO AMEONDOKEWA/AMEFIWA NA BABA YAKE MZAZI MPENDWA MZEE MAURICE NOEL SINGANO, MZEE...
View ArticleSAFARI NA NDOVU.
Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt, Pamela Kikuli akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuwaaga watanzania kupitia vyombo vya habari akielekea nchini Ufaransa kuchukua tuzo ya...
View ArticleMWILI WA MAMA YAKE MBUNGE WA KIGOMA ZITTO KABWE WASAFIRISHWA KWENDA KIGOMA
Zitto kabwe akiwa na Prof Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu aliyefariki leo kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishiNdege Ikiandaliwa Ili kuweza...
View ArticleMAKAMU WA RAIS ANAYE SHUGHULIKIA MAZINGIRA BINILITH MAHENGE KUZINDUA...
WAZIRI Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Mazingira Binilith Mahenge kuzindua rasmi kesho maadhimisho ya kitaifa ya siku ya Mazingira Duniani yanayofanyika kitaifa jijini Mwanza Juni 5 mwaka huu...
View ArticleTAMASHA LA SHIKOME LAADHIMISHWA KWA MWAKA WA NNE JIJINI MWANZA.
Mgeni rasmi toka Uongozi Wizara ya Habari Vijana na Michezo akihutubia kwenye Tamasha la SHIKOME linaloandaliwa na wanafunzi wa Sociology chuo cha SAUT Mwanza. Tamasha hili ambalo hufanyika kila mwaka...
View ArticleILIVYOKUWA KILI MUSIC TOUR 2014 JIJINI MWANZA
Richie Mavoko.Msanii wa Ragga anayetikisa sasa Rabo.Shine za hapa na pale.Vanesa Mdee.Izzo Biznes.Fid Q na wote artist.The don him self.Back stage.Izo Biz killin'The area CCM Kirumba Mwanza.Cristian...
View ArticleNITAPELEKA USHAHIDI ROMA KUHUSU MAISHA YA NYERERE - MUSEVENI
Picha ya mwisho ya Hayati Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyerere aliyopigwa kijijini kwake BUTIAMA kabla ya kwenda kupata matibabu nchini Uingereza ambapo alifia katika Hospitali ya Mt. Thomas....
View ArticleYULE MTOTO ALIYEWEKWA KWENYE BOX MIAKA MINNE AFARIKI DUNIA!
MTOTO Nasra Said aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne akidaiwa kuteswa na mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki, huku akikosa uangalizi wa karibu, chakula, tiba na huduma nyingine...
View ArticleWAFANYAKAZI WA AIRTEL WATOA MSAADA HOSPITALI YA OCEAN ROAD.
Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake wafanyakazi wa Airtel Tanzania ‘Airtel Diva’, Amitin Mbamba (kulia), akikabidhi msaada wa machela za kisasa mbili, ‘wheel chair’ mbili na bidhaa mbalimbali vyenye...
View ArticleAHADI ZA MALAIKA BAND KWA WANAMWANZA ZAKAMILIKA WAPIGA BONGE LA SHOW!!
Cristian Bella ni msanii pekee wa muziki wa dansi nchini Tanzania mwenye uwezo wa kuwaimbisha mashabiki, hilo halina ubishi, amefanya hivyo katika ziara yake kanda ya ziwa hususani jijini Mwanza pale...
View ArticleKAMPUNI YA BANTU SPORTS AND FITNESS ENTERPRISE WATOA MSAADA WA VIFAA VYA...
Viongozi wa Kampuni ya Bantu Sports And Fitness Enterprise, wakipanda mti wakati wa Uzinduzi wa Kampuni hiyo iliyoambatana na utoaji wa Msaada wa Vifaa vya Michezo na vya mafunzo ya kuepuka matumizi ya...
View ArticleTAASISI YA FARIDA FOUNDATION KUFANYA UZINDUZI SIKU YA TAREHE 28/06/2014
Taasisi ya faridas foundation inatarajia kufanya uzinduzi wake rasmi siku ya tar 28/6/2014 siku ya jumamosi katika ukumbi wa crystal hall, blue pearl hotel, ubungo plaza kuanzia saa 6-12 jioni. Katika...
View ArticleEVERY LOVE STORY IS BEAUTIFUL BUT OURS IS MY FAVORITE.
"We met very young now we are growing old together, Yes! I say i do"Check this out Eight years ago, it was june 3, 2014.
View ArticleMAONYESHO SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI YAANZA RASMI JIJINI MWANZA.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo akitoa salamu za Mkoa wake wakati wa uzinduzi wa maonyesho ya siku ya maadhimisho ya mazingira duniani yaliyozinduliwa Juni 2 mwaka huu na Waziri Nchi...
View ArticleZAIDI YA KAYA 75 MWANZA ZATHIBITIKA KUTIRIRISHA VINYESI KWENYE MITO...
WAKATI Rais Dkt. Jakaya Kikwete anataraji kuwa mgeni rasmi wa kilele cha siku ya maadhimisho ya mazingira duniani yanayoadhimishwa kitaifa Juni 5 mwaka huu mkoani Mwanza, uchafuzi wa mazingira mto...
View ArticleMO MUSIC - BASI NENDA
BOFYA PLAY KUSIKILIZA WIMBO BASI NENDA bY MO MUSIC K RECORDSMWANZA.
View ArticleKIGOMA WACHANGISHA ZAIDI YA MILIONI 263.8 KUTEKELEZA MRADI WA UJENZI WA...
NA PETER FABIAN, MWANZA.MKOA wa Kigoma umekusanya kiasi cha Sh. milioni 263.8 kwa ajili ya kutekeleza mkakati wake mkubwa wa ujenzi wa sekondari ya mchepuo wa sayansi kidato cha tano na sita (Kigoma...
View ArticleMTOKO DESIGNS SIXTH COLLECTION, AFRO-MAGIC
Afro-Magic is the sixth collection by Mtoko Designs launched on 29th at Holidayinn dar es salaam. The collection inspired by bright colors of Africa. Afro-Magic aims to showcase an electric mix of...
View Article