DHAMIRA YETU NI KUKIDHI MAHITAJI YA WATEJA YA KIBENKI NA YA KIFEDHA.
Pichani ni Meneja wa Tawi lililopo ndani ya maonyesho ya biashara ya Kimataifa ya 38 yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwal.Julius Nyerere jijini Dar,Bi. Upendo Tendewa akifafanua zaidi huduma...
View ArticleVIJANA WA NYAMONGO WILAYANI TARIME MKOANI MARA WAIKUBALI FURSA.
TUNAOMBA RADHI MTANDAO NI WASHIDA WILAYANI TARIME HIVYO VUTA SUBIRA UTAZIPATA PICHA ZA TUKIO ZIMA.
View ArticlePICHA ZA PARTY YA NDOVU MBEYA.
Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt, Pamela Kikuli (wa pili kulia), akigonga nisha chupa za bia ya Ndovu Special Malt na wadau wa bia hiyo wakati wa hafla ya kupongezana baada ya bia hiyo kutwaa tuzo...
View ArticleMANENO OSWARD Vs ABDALAH PAZI.
Promotor wa mpambano wa ngumi za usio kuwa na ubingwa, Rashid Kipanga akiwatambulisha, Maneno Osward (Mtambo wa Gongo) kuliana Abdalah Pazi (Mudi Mbabe) wanaotarajia kuchuana Augosti...
View ArticleNGOMA MPYA YA CRISS WAMARYA
A'M READY ni wimbo mpya by CRISS WAMARYA.. "ningependa kukujuza kua huu ndio wimbo wangu mpya....mwaka jana niliachia wimbo uitwao Usinihukumu, na tangu mwaka huu umeanza sikubaatika kuachia wimbo...
View ArticleH BABA AKUNG'UTA VIDEO YAKE YA KWANZA MWANZA.
Msanii wa Bongo fleva toka nchini Tanzania H. Baba kwa mara ya kwanza ka-shoot kichupa chake katika mji aliozaliwa Mwanza, hii ikiwa ni mara baada ya kipindi kirefu akiitumikia sanaa yake. Unaweza...
View ArticleTWIGA BANCORP YAJIVUNIA KUWA TAASISI YA KIFEDHA INAYOONGOZA KUTOA HUDUMA BORA...
Wafanyakazi wa Benki ya Twiga Bancorp wakiwa katika picha ya pamoja nje ya banda lao mapema leo ,kwenye maonesho ya 38 ya biashara ya kimataifa jijini Dar es Salaam.Mama Mjasiliamali wa kampuni ya...
View ArticleIN STORE TODAY (KITAA WEAR)
KITAA WEAR In Store TodayWe got variety of T-Shirts its your choiceYou choose we deliver Make your choice now and contact usWhatsApp / Viber: +255 754 310 202BBM CHAT: 22696DDASkype:...
View ArticleSPRAY YA MSTARI WA FREE KIKI KIONJO KATIKA KOMBE LA DUNIA 2014.
Google hawako nyuma kama kielelezo cha Spray hiyo ya kuweka mstari iliyo muhimu kuondosha utata wa kuibia wakati wa maamuzi pindi free kick inapotaka kupigwa ikiwa ni baada ya madhambi...
View ArticleKAMA UMEPITWA PICHA ZA BIRTHDAY YA MAMA YAKE DIAMOND AMBAPO ALIMZAWADIA GARI...
Wema Sepetu (kulia) akiwa na mama yeke Diamond mara baada ya kukabidhiwa zawadi ya gari yenye thamani ya shilingi milioni 38.1 na mwanae Diamond Platnumz.INGAWA msanii Diamond Platnumz kwa sasa hayupo...
View ArticleWAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII AZINDUA NEMBO MPYA YA AMREF HEALTH AFRICA...
Mkurugenzi wa Amref Health Africa Tanzania Dr. Festus Ilako (wa kwanza Kushoto) Akimkaribisha Waziri wa Afya Dr. Seleman Seif Rashid kuzindua Nembo Mpya.Waziri wa Afya, Mwenyekiti wa bodi ya kimataifa...
View ArticleMFUMO DUME, IMANI ZA MILA NA DESTURI KANDAMIZI ZAKWAMISHA FURSA KWA WANAWAKE...
Katika mada za ujasiliamali ambapo vijana zaidi ya 200 wameshiriki Semina ya elimu ya kugundua vyanzo vya uwekezaji ndani ya jamii na nje ya jamii ijulikanayo kama Fursa inayo ratibiwa na Radio Clouds...
View ArticleBRAZIL YANG'OLEWA KWA AIBU NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA YAFURUMISHWA 1-7 NA...
Bao la Muller23:10 Thomas Muller anaiweka Ujerumani mbele 1-023:10 GOOOOOOOOOAL23:11 Ujerumani 1-0 BrazilMuller akishangilia bao lakeUjerumani 1-0 Brazil23:18 Brazil wanaonekana wameduwazwa na bao hilo...
View ArticleAIRTEL YAMWAGIA WAHARIRI VIFAA VYA MICHEZO.
Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando,akiongea na waandishi wa habari wakati wa kukabidhi vifaa vya michezo kwa Jukwaa la wahariri kwaajili ya mechi kati yao na timu ya waandishi wa mkoa wa...
View ArticleCCM KIRUMBA YAJIZATITI KUHAKIKISHA BAADHI YA MICHEZO YA KIMATAIFA INAFANYIKA...
Vyumba vya kubadililishia nguo wachezaji viko katika ukarabati uwanjawa CCM Kirumba jijini Mwanza, ikiwemo maboresho ya mfumo wa maji safi na maji taka.Upakaji rangi kuta za vyumba hivyo unaendelea...
View ArticleBULAYA ATOA MSAADA WA MASHUKA 200 KITUO CHA AFYA WILAYANI BUNDA.
MBUNGE wa viti maalumu kupitia vijana Ester Bulaya (CCM) akitandika shuka kwenye wodi ya watoto katika kituo cha afya Manyamanyama wilayani Bunda ikiwa ni sehemu ya msaada wa mashuka 200,kulia ni...
View ArticleJEH! IMESHAKUFIKIA?
Mfano wa Sarafu ya 500 kama ilivyoonekana katika Banda la Benki Kuu katika maonesho ya Sabasaba jijini Dar es salaamSarafu ya shilingi mia Tano inatarajiwa kuzinduliwa na Benki Kuu ya Tanzaia. Sarafu...
View ArticleFIFA YAIFUNGIA NIGERIA KUSHIRIKI MICHUANO YOYOTE YA KIMATAIFA
© Getty ImagesKamati ya dharura ya Shirikisho la Soka Ulimwenguni FIFA hii leo, 9 July 2014, imefikia maamuzi to suspend the Nigeria Football Federation (NFF) with immediate effect, on account of...
View ArticleUTALII BARABARA YA TARIME - BUNDA KATIKA PICHA.
Nyumba na makazi kwa mbaaali.Usafiri mkuu kwa wanavijiji.Kwenye kona shaaaaaa...na milima ya mawe.Miinuko ni kivutuo.Snake size.Wonderfully.Kids around the area.Kuelekea daraja la mto Mara.Daraja la...
View ArticleFAINALI KOMBE LA DUNIA 2014 NI ARGENTINA NA UJERUMANI
Mashabiki wa Argentina ambapo walishuhudia timu yao ikiibuka kwa ushindi wa goli 4 dhidi ya 2 za Holland, magoli yakipatikana kwa utaratibu wa mikwaju ya penati mara baada ya dakika 120 kumalizika kwa...
View Article