Timu ya Alliance Fc ya jijini hapa imeendelea kujiweka mahala pazuri kutinga Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ujao, baada ya kuwafunga "TP lindanda Wanakawekamo' Pamba Fc pia ya Mwanza, mabao mawili kwa nunge, katika mchezo wa Ligi Soka Daraja la Kwanza Tanzania Bara, uliopigwa ijumaa ya tarehe 26 mwezi January kwenye dimba la Nyamagana.
Timu ya Alliance Fc ya jijini hapa imeendelea kujiweka mahala pazuri kutinga Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ujao, baada ya kuwafunga "TP lindanda Wanakawekamo' Pamba Fc pia ya Mwanza, mabao mawili kwa nunge, katika mchezo wa Ligi Soka Daraja la Kwanza Tanzania Bara, uliopigwa ijumaa ya tarehe 26 mwezi January kwenye dimba la Nyamagana.