Quantcast
Channel: g sengo
Browsing all 12422 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA YATOSHA ZAIDI MTWARA MWISHONI MWA WIKI

Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mh, Wilman Kapenjama akikabidi funguo ya gari kwa Mshindi wa Promosheni Airtel yatosha Zaidi mkoani Mtwara bw, Sefu Namtapika (60) ambae ni mwalimu mstaafu aliyeibuka na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAGU ATEMBELEA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO

Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu (Wapili kushoto) akizungumza na baadhi ya watendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango alipotembelea na kujitambulisha Tume ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA AMANI MKOA WA MWANZA YA VIONGOZI WA DINI YAWAALIKA WANANCHI...

Baba Askofu Charles Sekelwa (mwenye miwani) ambae ni Mwenyeki Mwenza wa Kamati, wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusiana na Kongamano la Amani.Kamati ya Amani ya Viongozi wa dini ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUGU MAJI YASABABISHA KUKWAMA KWA SAFARI ZA MAJINI ZIWA VICTORIA

Mimea ya magugu maji aina ya matende imetanda katika eneo la Kigongo wilayani Misungwi mkoani Mwanza kiasi cha kutatiza shughuli za usafiri na usafirishaji katika kivuko hicho ambacho ni kiungo muhimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA SHOW YA YAMOTO BAND USIKU WA VALENTINE BUZURUGA PLAZA MWANZA

Yamoto 'Yamoto kweli ingawa haiunguzi'....Dogo Asley akiongoza mashambulizi ya Yamoto Band katika usiku wa Valentine mwishoni mwa wiki, show iliyopigwa ndani ya ukumbi wa Buzuruga Plaza jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA, JERRY SILAA, ATOA MAGARI KWA WASHINDI WA...

MSTAHIKI Meya wa Ilala, Jerry Silaa akisalimia bi Hamim Yoyo toka Korogwe, Tanga ambaye ni mfanyakazi wa saluni na pia ni mmoja  kati ya washindi   saba wa promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi, kati yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAJULIA HALI WANANCHI WALIOANGUKIWA NA NYUMBA ZAO...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete (wa pili kulia), Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli na baadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA BARABARA YA KM 10 YA MSOGA-MSOLWA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli, Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi. Evarist...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANZA KUKUTANA LIVE NA SAUTI SOL JUMAMOSI HII 21/02/2015 NDANI YA JEMBE BEACH

Hatimaye ule mpango mzima wa kuzifungulia burudani ulioasisiwa na redio mpya ya jijini Mwanza JEMBE FM na kubatizwa jina 'JEMBEKA' unaanza rasmi jumamosi ya wiki hii tarehe 21/02/2015 ndani ya kiota...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAWA NDIYO WAKUU WA WILAYA WAPYA 27 WALIOTEULIWA LEO NA RAIS KIKWETE

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA 27*Atengua uteuzi wa Ma-DC 12, awabadilisha vituo 64, awabakiza 42 kwenye vituo vyao vya zamaniRAIS Jakaya Kikwete amefanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI AFUNGUA RASMI MKUTANO WA...

Afisa mtendaji mkuu wa Taasisi ya Uongozi wa Afrika kwa Maendeleo Endelevu (UONGOZI Institute) Prof.Joseph Semboja, (Kulia) akimkaribisha Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar , Mh. Balozi Seif Ali Iddi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAMKABIDHI MKAZI WA KYELA MBEYA BWANA EDOM MWANSASU GARI LAKE

Kamanda mkuu wa polisi wa Mkoa wa Mbeya Bwana Hemed Msangi (wa pili kulia)  akimkabithi mshindi wa gari aina ya Toyota IST bwana Edom Dickson Mwansasu  mkazi wa Kyela Mbeya baada ya kuibuka moja kati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MENGI YAIBULIWA LEO KATIKA MAFUNZO YA KUZUIA UKATILI WA KIJINSIA NA...

Mkurugenzi wa Shirika la KIVULINI Yassin Ally akiwasilisha maelezo kuhusu mradi wa mpya ujulikanao kwa kifupi SASA katika semina ya mafunzo ya kuzuia ukatili wa kijinsia na maambukizi ya VVU kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAMTANGAZA BINGWA WA AIRTEL TRACE MUSIC YAMZAWADIA MILIONI 50TZS

Meneja Masoko wa Airtel Aneth Muga (kushoto) akimkabidhi mshindi wa Airtel Trace Music Stars Nalimi Mayunga hundi ya mfano yenye dhamani ya sh. 50mil baada ya kuibuka mshindi wa mashindano ya Airtel...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PUSH OBSEVER YAZINDUA TEKNOLLOJIA YA KISASA YA UKUSANYAJI WA TAARIFA...

Mshauri mkuu wa mradi wa NewsRadar, Romana Gersuni kutoka Ujerumani akielezea jinsi teknolojia hiyo mpya na ya kisasa ya ukusanyaji taarifa mbalimbali ya Push Observer inavyofanyakazi zake.mkuu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JITIHADA ZA HOSPITALI YA BUGANDO KATIKA KUKABILIANA NA UGONJWA WA SARATANI

Mkuu wa Kitengo cha Saratani Hospitali ya Rufaa Bugando. SIKUya saratani imeadhimishwa mkoani Mwanza kwa uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando kukutanana waandishi wa habari kwa lengo la kuelezea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKOSE USIKU HUU BBC DIRA YA DUNIA NA STAR TV.

Hii leo wale vijana machachari wa Yamoto Band kutoka Afrika Mashariki watakuwa LIVE ndani ya BBC DIRA YA DUNIA.  ZAIDI chungulia video ifuatayo hapa chini.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKABIDHIWA RASMI UENYEKITI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete(kushoto)akipokea bendera ya Afrika Mashariki(EAC)kutoka kwa Rais wa Kenya,Uhuru Kenyatta ikiwa ni ishara ya kumkabidhi rasmi Uenyekiti wa  EAC  kwenye  mkutano wa kawaida wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALLIANCE YAFAULISHA WANAFUNZI WOTE KIDATO CHA NNE KWENDA CHA TANO YAWA YA...

NA PETER FABIAN, MWANZA.MATOKEO YA KIDATO CHA NNE KWENDA CHA TANO KITAIFA NA MKOA WA MWANZA .*Kitaifa sekondari ya wavulana imeshika nafasi ya Pili kati ya sekondari 2,322 na Mkoa imekuwa ya Kwanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEO NDANI YA JEMBE BEACH NI KUJEMBEKA TU NA SAUTI SOL.

Ilikuwa Mwezi, siku hatime zimesalia dakika ule mpango mzima wa kuzifungulia burudani ulioasisiwa na redio mpya ya jijini Mwanza JEMBE FM na kubatizwa jina 'JEMBEKA' uanze rasmi. Ni leo JUMAMOSI tarehe...

View Article
Browsing all 12422 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>