MVUVI KUTOKA KISIWA CHA YOZU WILAYANI SENGEREMA AIBUKA NA TOYOTA IST
Mvuvi katika kisiwa cha Yozu wilaya ya Sengerema Aibuka na Toyota ISTMkazi wa wilaya ya sengerma na mvuvi katika kisiwa cha Yozu bwana Kijiji Gweso Jana amekabithiwa gari aina ya Toyota IST na kampuni...
View ArticleKITWANGA ATAMBIA SERIKALI KUDHIBITI WATUMISHI "MCHWA" WALIOFIKISHWA...
Kamanda wa UVCCM Mkoa wa Mwanza, Charles Kitwanga "Mawe matatu" akihutubia wananchi na vijana wa UVCCM zaidi ya 400 baada ya kusimikwa kwenye sherehe hivi karibuni Mjini Misungwi.NA PETER FABIAN,...
View ArticleKIGOGO ANASWA NA KUSHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA NOTI...
NA PETER FABIAN. MWANZA.KIGOGO na mwanachama wa Chama kimoja cha siasa mkoani Mwanza anashikiliwa na Jeshi la Polisi  hapa, akihusishwa na uhalifu wa utengenezaji noti bandia,utekaji na mauaji ya...
View ArticleMAAFA MAKUBWA MKOANI SHINYANGA, WATU 35 WAFARIKI DUNIA KUFUATIA MVUA KUBWA...
Habari kutoka mkoani Shinyanga zinasema kuwa, zaidi ya watu 35 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 55 wamejeruhiwa baada ya nyumba zao kuwaangukia na kuwafunika usiku wa kuamkia leo kutokana na mvua...
View ArticleNYAMA CHOMA MWANZA NI JUMAMOSI HII
SAFARI LAGER YATANGAZAÂ BAR 5 ZILIZOINGIA FAINALIÂ NYAMA CHOMAÂ MWANZA 2015.Dar es Salaam, Jumanne3 Machi2015: Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager leo imetangaza bar tano...
View ArticleMH. LOWASSA AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya nchi za Nje,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,Mh. Dianna Melrose aliyefika ofisini kwake leo kwa mazungumzo.Mwenyekiti wa...
View ArticleALBINO WAZUSHA VURUGU IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
Viongozi wa Chama Cha Albino Tanzania wakiwasili Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Machi 5, 2015 kuonana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyewakaribisha ili kuwasikiliaza matatizo yao na...
View ArticleSKYLIGHT BAND YAENDELEA KUPIGA JALAMBA, NI KILA IJUMAA NDANI YA KIOTA CHA...
Kikosi kazi cha Skylight Band kikiongozwa na mkongwe wa muziki wa dansi Joniko Flower (kushoto) kutoa burudani kwa mashabiki wake Ijumaa iliyopita ndani ukumbi wa maraha Thai Village Masaki jijini...
View ArticleSADIFA VIPAJI VYA WASANII WA SARAKASI VIMULIKWE NA TAASISI ZA MAJESHI NA...
Kijana Hamis Juma (20), mkazi wa kijiji cha Songiwe Kata ya Misasi wilayani Misungwi mkoani Mwanza ambaye ni msanii wa mchezo wa sarakasi, akionyesha umahili wake wa kipaji cha kutembea juu ya kamba...
View ArticleWANAKIJIJI CHA OLOLOSOKWAN WAIPA AIRTEL HEKO/SHUKRANI
Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (kushoto), akizungumza na viongozi wa Kata ya Ololosokwan, wilaya ya Ngorongoro (kutoka kulia), Diwani wa kata hiyo, Yannick Ndoinyo, Mwenyekiti wa...
View ArticleCHAMELEONE AJA NA ONLY YOU AKIMSHIRIKISHA PATO RANKING
Baada ya kuliteka na kulikamata vyema soko la muziki wa jana na hata leo, Mwanamuziki mwenye mafanikio kutoka nchini Uganda Jose Chameleone ameachia hewani mkwaju wake mpya na safari hii akivuka mipaka...
View ArticleRAIS KIKWETE AZINDUA STUDIO MPYA ZA AZAM TV JIJINI DAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa uzinduzi wa Studio mpya za Azam Tv zilizoko Tabata jijini Dar es salaam.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
View ArticleSERIKALI YA JAPAN YAIPATIA MSAADA WA DOLA LAKI 1.4 HALMASHAURI YA WILAYA YA...
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiongozana na mwenyeji wake ambaye ni Kaimu Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Kazuyoshi Matsunaga wakati alipowasili nyumbani kwa...
View ArticleKIPINDI CHA MASKANI YA TIMES FM WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MSAADA...
Mkurugenzi Mtendaji wa Times Radio Fm, Mr. Rehure Nyaulawa (kushoto) akimkabidhi msaada wa mashuka Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala Dk, Sophinias Ngonyani (kulia) mara baada ya Timu nzima ya...
View ArticleTANZANIA:'CHINJA CHINJA' ALIKUWA MLEVI
Emwazi.Mohammed Emwazi ,mtu ambaye alibadilika na kuwa ''chinja chinja'' wa kundi la islamic state kwa jina 'jihad John' Mohammed Emwazi, alifurushwa kutoka nchini Tanzania kwa kuwa mlevi na mtu...
View ArticleMTOTO MWINGINE AKATWA KIGANJA CHA MKONO HUKO SUMBAWANGA, MAMA YAKE AJERUHIWA...
Mtoto Mlemavu wa ngozi Albino Baraka Cosmas Lusambo,mwenye Umri wa miaka sita Mkazi wa kijiji cha Ikonde kata ya Kipeta Sumbawanga vijijini Mkoani Rukwa,amekatwa kiganja chake cha mkono wake wa kulia...
View ArticleBALOZI WA HARAKATI ZA "IMETOSHA!" HENRY MDIMU APELEKA UJUMBE WAKE UWANJA WA...
Na Henry MdimuTangu asubuhi leo nilikuwa busy na awareness za uwanja wa Taifa katika mechi ya watani wa Jadi Yanga na Simba (picha ya pili). Ila jioni hii nilipoangalia simu yangu nikakuta watu...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA SHIRIKA LA SIMU LA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa Shirika la Simu Vitnam (VIETTEL) Hoang Son, wakati Makamu huyo alipofika Ofisini kwake...
View Article