JEMBE FM YAZIDI KUNAKSHI MAONESHO YA NANE NANE MWANZA KIMAWASILIANO.
Oxy Okeleky (kulia) akifanya mahojiano na mmoja wa wadau wajasiliamali wanaofanya shughuli ndani ya maonesho ya Nane nane ndani ya viwanja vya Nyamhongolo wilayani Ilemela jijini Mwanza.Ufugaji na...
View ArticleDKT BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA UZINDUZI WA MFEREJI MPYA WA SUEZ...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na Balozi wa Tanzania, nchini Misri, Balozi Mohammed Hamza, wakati wakitoka kwenye Boti baada ya kuhudhuria...
View ArticleADC YAFANYA MKUTANO WA HADHARA KUWATAMBULISHA WAGOMBEA WA URAIS KUELEKEA...
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Lutasola Yemba (katikati), akimtambulisha kwa wananchi mgombea mwenza Said Miraj (kulia) na mgombea urais wa chama...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ATEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIGAE...
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara,Janet Mbene,akiangalia baadhi ya bidhaa zilizotengenezwa na kampuni ya Marmo and Garnito Mines kwa ajili ya matumizi mbalimbaliNaibu waziri wa Viwanda na Biashara...
View ArticleSERIKALI YAUTAKA MGODI WA BULYANHULU KUWALIPA FIDIA WAATHIRIKA WA SUMU
Na Emmanuel MlelekwaKAHAMABaraza la hifadhi ya mazingira la Taifa NEMC limethibitisha kuwa mgodi wa uchimbaji madini wa ACACIA Bulyanhulu ulioko wilayani Kahama Mkoani Shinyanga umebainika kuwa na kosa...
View ArticleMTANGAZAJI WA RADIO FREE AFRICA APETA KURA ZA MAONI UDIWANI CHADEMA, SASA...
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa William Bundala al-maarufu kwa jina la “kijukuu cha bibi” akiwa amebebwa juu na wakazi wa Ushetu.SHINYANGAMWANDISHI wa habari na mtangaaji wa...
View ArticleJK AFUNGUA BARABARA YA NDUNDU-SOMANGA YENYE UREFU WA KILOMETA 60 MKOANI LINDI.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuashiria ufunguzi wa barabara ya Ndundu - Somanga yenye urefu wa kilomita 60, hafla hiyo imefanyika jana Agosti 7 2015...
View ArticleJANET MBENE AKABIDHI VITANDA VYA KUJIFUNGULIA VYA THAMANI YA MILIONI 30 ILEJE.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akimkabidhi Vitanda vya Kujifungulia Katibu wa CCMwilaya ya Ileje kwa ajili ya Hospitali za wilaya hiyo.Mafundi wa Hospital wakiunganisha kitanda cha...
View ArticleTANGAZO LA KAZI
Kampuniya NOFO ya jijini Dar es Salaam, inayojihusishanauchapishajinauuzajiwavitabuvyahadithizawatoto,inatangazanafasikumizakaziyaafisamasoko. Wenye sifa zifuatazo watume maombi kupitia baruapepe...
View ArticleKAMPUNI YA STARTIMES YA ZINDUA BUNDESLIGA
Mkurugenzi wa Michezo kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Leonard Thadeo akipiga mpira kuelekea golini kwa mlinda mlango, Maulid Kitenge ambaye ni mtangazaji wa kituo cha redio cha...
View ArticleYANAYOJIRI VIUNGA VYA SIASA LOWASSA ACHUKUWA FOMU YA KUWANIA URAIS KUPITIA...
Pilika pilika za uchaguzi nchini Tanzania zimeendelea huku Edward Lowassa, ambaye ni mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha Chadema na kuungwa mkono na umoja wa vyama vya upinzani nchini humo, UKAWA,...
View ArticleKAZI ZASIMAMA JIJINI DAR KUPISHA LOWASSA ACHUKUE FOMU YA KUWANIA URAIS
MGOMBEA wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa amechukua fomu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)...
View ArticleWASHIRIKI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAHIMIZA WANAKIJIJI KUFANYA KILIMO...
Hapa ilikuwa ni mapema kabisa ambapo washiriki wa Shindano la Mama Shujaa wa Chakula msimu wa Nne wakiwa wanajikusanya kwa ajili ya kupewa mwongozo wa siku nzima.Baada ya washiriki wa Shindano la Mama...
View ArticleMICHUANO YA AIRTEL RISING STARS MKOANI ARUSHA YAZINDULIWA RASMI.
Katibu tawala jiji la Arusha Ado Mapunda (RAS) akipiga mpira kuashiria ufunguzi rasmi wa mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars jijini Arusha jana.Katibu tawala jiji la...
View ArticleHIZI NDIZO SABABU ZA KUSHUKA KWA THAMANI YA PAMBA YETU SOKO LA DUNIA.
Meneja wa kiwanda cha Bilchand Oil Mill, Mohamed Gupta akifafanua uchafuzi unaofanywa na baadhi ya wanunuzi na wakulima kwa kuchang’anya pamba, maji, mchanga na mbegu kwa lengo la kuongeza...
View ArticleMATUKIIO NA PICHA MITAA MBALIMBALI KITAANI KWETU.
Umati wa watu uliojaa mtaani wakishuhudia bint mwenye matatizo ya akili Sinina Maliki akipigwa na bint wa mitaa hiyo ya Katandala eneo la kibirizi Asha Kigwiza , Mkoani kigoma. Sinina Maliki akiwa...
View ArticlePICHA NA HABARI ZA WASHINDI WA AIRTEL JIONGEZE NA MSHIKO PROMO.
Afisa Uhusiano na Matukio wa Airtel, Dangio Kaniki (katikati) akiwasiliana na mmoja wa washindi wakati wa kuchezesha droo ya nne ya promosheni ya Airtel "Jiongeze na Mshiko" iliyofanyika jijini Dar es...
View Article