MKURUGENZI WA AMANA BANK AFUNGA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA TAWI LA MWANZA.
Mkurugenzi wa benki ya Amana Dk Muhsin Masoud akimkabidhi zawadi mteja Yasmin Ismail Mussa kwa utunzaji bora wa fedha katika tawi la Mwanza.Benki ya Amana leo hii imehitimisha wiki ya huduma kwa...
View ArticleKAMPENI YA ABIRIA PAZA SAUTI YAZINDULIWA RASMI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Mkuu wa Kitengo cha Elimu kwa Umma wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Abel Swai (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Stendi Kuu ya Mabasi Ubungo,...
View ArticleKITUO CHA KILIMO N AUFUGAJI KUJENGWA WILAYANI KIBAHA KUUNGA JUHUDI ZA...
NA VICTOR MASANGU,KIBAHAKATIKA kuunga mkono juhudi za serikali katika kukuza sekta ya kilimo Chama cha wakinamama wataalamu katika sekta za kilimo mifugo pamoja na mazingira Tanzania (TAWLAE)...
View ArticleRais Magufuli Amsimamisha Kazi Kamishina Mkuu wa TRA
Rasi Magufuli amsimamisha kazi kamishina mkuu wa TRA na kutaka uchunguzi juu yake kufuatia upotevu wa makontena bandarini.
View ArticleLOWASSA AONGOZA MAMIA KUUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA...
PICHA ZAIDI NA HABARI KUWAJIA HIVI PUNDE.....!!!
View ArticleNYUMBA YABOMOLEWA KUPISHA BOMBA LA MAJI..
Mamlaka ya maji safi na maji taka DAWASCO imebomoa nyumba iliyokuwa ikizuia miundombinu ya maji katika eneo la Salasala.
View ArticleMBUNGE WA JIMBO LA ILALA MSSA ZUNGU ATEKELEZA AHADI ALIYOITOWA WAKATI WA...
Mbunge wa Jimbo la Ilala Mussa Zungu (CCM) (mwenye kofia) akimkabidhi nahodha wa timu ya Ferry Beach Boys, Selemani Ally 'Kaseja' nyaraka za Pikipiki hiyo Dar es Salaam leo ambayo ilikuwa ni moja ya...
View ArticleTAARIFA YA UPOTEVU WA MAKONTENA AZAM ICD TOKA SSB Group of Companies
Kumekuwa na taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii kuwa kampuni ya Bakhresa inahusika na upotevu wa Makontena 349 yaliyoripotiwa hivi karibuni kuwa yametolewa bandarini bila kulipiwa ushuru....
View ArticleHAPA KAZI TU” YAWAWEKA SAWA WAFANYAKAZI WA DAWASCO.
Ofisa Mtendaji wa Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasco), Mhandisi Cyprian Luhemeja, akizungumza katika mkutano na wafanyakazi uliofanyika hivi karibuni Makao Makuu ya Dawasco jijini Dar...
View ArticleKIFUSI CHAUA MMOJA LINDI
Mkazi mmoja mkoani Lindi afariki dunia baada ya kuangukiwa na udongo wakati akichimba mchanga na kupelekea mkuu wa wilaya hiyo kusitisha shughuli za uchimbaji.
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI, WAZIRI MKUU MAJALIWA, WAMTEMBELEA MAKAMU WA RAIS, MHE....
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, (kushoto) akizungumza na Makamu wake, Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) na Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, wakati Rais na...
View ArticleBARA YAONDOSHWA MICHUANO YA CECAFA 2015
Michezo ya robo fainali ya michuano ya kombe la Cecafa Chalenji Cup imetimua vumbi hii leo huko Adis Ababa Ethiopia ikishuhudia timu ya Tanzania bara The Kilimanjaro stars ikiyaaga mashindano...
View ArticleMAKONTENA 9 YAKAMATWA NA TRA IKISHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI DAR.
Mamlaka ya mapato nchini TRA kwa kushirikiana na jeshi la polisi linashikilia makontena 9 ya mizigo yanayotiliwa mashaka.
View ArticleBASI LA TAKBIR LAUA 12 NA MAJERUHI 18.
Watu 12 wamefariki dunia na wengine 18 kujeruhiwa baada ya Basi kampuni ya Takbir toka Dar kwenda Dar kugonga ubavu wa Roli la Mafuta.
View ArticleKITAMBI NOMA YA TAA UBIGWA WA SOKA KATIKA TAMASHA LA KWANZA LA AMANI NA UTALII
Mwenyekiti wa kamati ya amani mkoa wa Arusha(APET) Petro Ahhamakimkabidhi kikombe cha ushindi wa bonanza la amani na utalii mkoa waArusha,nahodha wa timu ya Kitambi Noma, James Lugangira Wanamichezo...
View ArticleMODEWJI FOUNDATION YASAIDIA UJENZI WA MADARASA KITUO CHA MAFUNZO CHA FURAHINI.
Mkurugenzi wa kituo cha mafunzo cha Furahini kilichopo Kisangara wilayani Mwanga,Isack Msuya akimuongoza Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation iliyoanzishwa na mfanyabiashara Mohamed Dewji,Francesca...
View ArticleTWANGA PEPETA KUWASHA MOTO UZINDUZI WA KIBAHA CARNAVAL IJUMAAA
Mwimbaji ally choki kushoto akiwa na Luiza Mbutu katika moja ya shoo zao, bendi hiyo inatarajiwa kufanya nyoo kabambe katia uzinduzi wa eneo jipya la burudani la Kibaha Carnival siku ya ijumaa desemba...
View ArticleKATIBU MKUU WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII AFUNGUA DUKA LA DAWA LA MSD...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Donan Mmbando (katikati), akikata utepe kuashiria ufunguaji rasmi wa duka la dawa la Bohari ya Dawa (MSD), lililofunguliwa Hospatali ya Taifa ya...
View Article