Quantcast
Channel: g sengo
Browsing all 12422 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JE WEWE NI MSANII NA UNAKAZI YAKO UNAHITAJI KUUZA???

ClickPay Africa tunahusika na uuzaji wa vitu mbalimbali ikiwemo Audio, Video, Movies, Photos, Live concerts, PDF, E-books, Documentaries, articles, etc.Kwa msanii yoyote mwenye kazi yake na anahitaji...

View Article


BONGE LA TRACK LA MSANII TOKA KENYA ALIYEMSHIRIKISHA DIAMOND PLATNUMZ

AKOTHEE FT DIAMOND - MY SWEET A story about a self-assured blind architect played by "Akothee" who wouldn't allow her disability dictate her daily life.

View Article


MISS TANZANIA AIPONZA STANBIC. LOWASSA AIPA JEURI UKAWA

Miss Tanzania aiponza STANBIC. Lowassa aipa jeuri UKAWA, mameya Dar wakamilisha majibu ya Dk.Slaa kuhusu waziri huyo wa zamani.Urais Zanzibar waliponza Mawiwo, TMAA yanasa madini uwanja wa JNIA.Bavicha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YALIFUTA GAZETI LA MAWIO.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (mwenye suti ya kijivu) akiwaeleza Waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya Uamuzi wa Serikali wa kulifuta Gazeti la MAWIO katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALI TETE MKWAJUNI JIJINI DAR ES SALAAM

Muda mchache uliopita GSengo BLOG imepokea taarifa hii na picha toka kwa mdau aliye eneo la tukio, zikitiririka kuwa  "Wananchi wa bonde la Mkwajuni Kinondoni wamefunga barabara ya Kawawa. Wanachoma...

View Article


MKURUGENZI TAA AFARIKI DUNIA.

Mkurugenzi wa mamlaka ya ndege nchini TAA mhandisi Suleiman Said amefariki dunia leo asubuhi katika eneo la Kigamboni.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA JEMBEKA CUMPUS YA FUNGUA MWAKA 2016 ILIVYOKUWA.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADEREVA WA PIKIPIKI WAGONGANA NA KUKIMBIZWA KATIKA HOSPITALI YA MWANANYAMALA...

 Askari wakiwahoji waendesha pikipiki (wa pili na watatu kulia) waliogongana katika Barabara ya Morocco eneo la Bonde la Mkwajuni, Dar es Salaam. Nawote wamekimbizwa katika Hospitali ya Mwananyamala na...

View Article


VITUO VYA REDIO NA TELEVISHENI VYAKWEPA RUNGU LA TCRA.

Baadhi ya vituo vya redio na Televisheni vilivyokuwa hatarini kufungiwa vimeepuka adhabu hiyo baada ya kulipa madeni.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TINGATINGA LIKISAWAZISHA BONDE LA MKWAJUNI YALIPOKUWA MAKAZI YA WATU CHINI YA...

Mjumbe wa Serikali ya Mtaa, Mtaa wa Ananasifu,  Deogratias Mogela akizungumza na waandishi wa Habari (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) Moja ya banda lililochomwa moto na kudaiwa  kuokolewa mtoto Braiton...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HADI SASA WATU 100 WAMENUFAIKA NA AIRTEL MKWANJIKA.

Meneja uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando akikabidhi shilingi 790,000 bw, kwa Elias Makani mshindi wa Airtel Mkwanjika ikiwa ni zawadi yake  aliyojizolea katika boxi la Airtel  Mkwanjika mkoani Dodoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMUME ASHTAKIWA PICHA ZA WHATSAPP KENYA

Miili ya Kwanza ya wanajeshi waliouawa Somalia iliwasiki Nairobi Jumatatu.Mwanamume mmoja nchini Kenya ameshtakiwa kusambaza picha alizodai ni za wanajeshi wa Kenya waliouawa nchini Somalia akitumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA MBUNGE LETICIA NYERERE WAWASILI JIJINI DAR ES SALAAM MAZISHI YAKE...

 Askari wa Bunge wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mara, Leticia Nyerere aliyefariki nchini Marekani alikokuwa akitibiwa mara baada ya kuwasili Uwanja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUUJIZA WA KUPANDIKIZWA KWA UBOHO (BONE MARROW) ULIVYOBADILISHA MAISHA

The founder and Chairman of Apollo Hospitals Dr. Prathap .C. Reddy.Mara nyingi watu kutoka nchi zilizoendelea waishio na tatizo la damu na upungufu wa kinga mwilini huishi, tofauti na nchi...

View Article

POLISI DAR WAVURUGA MTANDAO WA BIASHARA DAWA ZA KULEVYA

Polisi kanda maalum Dar es Salaam yavuruga mtandao wa biashara ya madawa ya kulevya baada ya kuwanasa vinara wawili wa biashara hiyo.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI POLISI ALIYEKEJELI PASPORT YA LIONEL MESSI KUPITIA SNAPCHAT AFIKISHWA...

Askari Polisi aliye mkejeli Lionel Messi kupitia Snapchat video hiyo akiwa  na passport halisi ya Messi na kuigiza kwenye video hiyo akiuliza watazanaji "Je! Niichome hii passport ya Messi au...

View Article

WABUNGE CCM WAMGEUKIA MAGUFULI:- MAGAZETI JAN 20 STAR TV.

Ekari 3000 zaleta kizaazaa Kigamboni. Serikali ya tano yajipanga kupambana na mdudu rushwa, Wenye shule binafsi waibana NECTA.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAKTARI FEKI ANASWA HOSPITALI YA MKOA WA MWANZA.

Daktari feki kakamatwa mchana kweupeeee Hospitali ya mkoa wa Mwanza Sekeutoure..... jamaa amekuwa hospitalini hapo kimtindo akipiga mzigo zaidi ya mwezi mzima, huku akitoa huduma zake feki za uigizaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIZONJE - NEW SONG 2016 MRISHO MPOTO

 Pata nafasi kuusikiliza hapa (PUNDE TRACK UTAWEZA KUISIKILIZA HAPA HIVYO ITAWAJIA HIVI PUNDE)

View Article

RADI YAUWA WAWILI KATAVI.

Radi yauwa wawili na kujeruhi watatu  Katavi  waliokuwa wakijihifadhi chini ya mti kutokana na mvua kubwa zinazonyesha wilayani humo.

View Article
Browsing all 12422 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>