DROO YA MWISHO NA OFA YA PASAKA STARTIMES
Balozi wa kampuni ya StarTimes Tanzania kwa upande wa vipindi na chaneli za michezo, Bw. Shaffih Dauda (katikati) akionyesha nambari ya smati kadi ya mshindi wa tano na wa mwisho wa safari ya kwenda...
View ArticleKATIBU MKUU KIONGOZI MPYA AKARIBISHWA RASMI, ATEMBEZWA MAENEO MBALIMBALI...
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Eng. John Kijazi akifanya Mazungumzo na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Balozi Ombeni Sefue, Ikulu Jijini Dar es salaam leo. Kushoto ni Katibu Mkuu Ikulu, Peter Ilomo. Makamu...
View ArticleTAASISI YA GIHONNEEDY COMFORT ORGANISATION (GINCO), YAENDESHA SEMINA KWA...
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Gihon Needy Comfort Organization (GINCO), Rebecca Stanford (kushoto), akiwaonesha nguo wanawake wajasiriamali katika semina ya siku moja ya kuwaongezea uwezo na stadi...
View ArticleSERIKALI YAWAPONGEZA WASANII RICH RICH NA LULU KWA USHINDI WA AMVCA2016
Serikali kupitia Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, wamewapongeza wasanii wa Tanzania kwa kuipeperusha vyema Bendera ya Tanzania nje ya mipaka kwa kufanya vizuri na kuibuka na ushindi...
View ArticleMAGAZETI YA LEO> MAALIM SEIF HOI ALAZWA HOSPITALI, UADILIFU KWA WATUMISHI 597...
Kijazi: Nataka heshima, uadilifu kwa watumishi. Watumishi 597 wakatwa NIDA. Watakaopandisha bei ya sukari kukiona cha moto.
View ArticleWAFANYAKAZI WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF WATOA MSAADA HOSPITALI YA...
Meneja wa PPF Kanda ya Kinondoni, Zahra Kayugwa (kulia) akimkabidhi sehemu ya msaada wa vitu mbalimbali mzazi aliyejifungua mtoto wa Kiume, Hospitali ya Mwananyama, Joyce Lucas, mkazi wa Magomeni...
View ArticleHIKI NDICHO WALICHOSEMA MAWAKILI WA KESI YA UCHAGUZI JIMBO LA NYAMAGANA...
Mashahidi wa kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika Jimbo la Nyamagana jijini Mwanza wanatarajiwa kuanza kusikilizwa siku ya jumatatu ya wiki ijayo tarehe 14/march 2016 baada ya kukamilika kwa...
View ArticleDALADALA NA FUSO ZAGONGANA USO KWA USO WANNE WAPOTEZA MAISHA.
TAARIFA ZA HADI SASAIfuatayo ni Orodha ya majeruhi 25 na wengine wa 4 waliofariki dunia.Ajali mbaya imetokea asubuhi ya leo katika eneo la barabara ya Mandela karibu na daraja la Matumbi Tabata. Ajali...
View ArticleRAIS WA VIETNAM AWASILI NCHINI.
Rais wa Vietnam Mhe. Truong Tan Sang amewasili nchini jana usiku kuanza ziara yake ya kiserikali huku akilakiwa na waziri mkuu Kassim Majaliwa.
View ArticleSAKATA LA SUKATA LASUKARI NCHINI LACHUKUA TASWIRA MPYA.
Serikali kupitia bodi ya sukari imetangaza viwango vya bei ya sukari vitakavyoanza kutumika kuanzia sasa.
View ArticleTIGO SASA YATAMBA MWANZA NA 4G LTE.
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa Ally Maswanya (katikati) akiwaongoza wadau wenzake wa Kampuni ya Mawasiliano Tigo, Edgar Mapande ambaye ni Meneja wa Tigo Kanda ya Ziwa (kulia) na Benedict Mponzi...
View ArticleRAIS MAGUFULI AMTEMBELEA MAALIM SEIF.
Rais John Magufuli amtembelea na kumjulia hali makamo wa kwanza wa raisi wa Zanzibar Maalim Seif katika hotel ya Serena jijini Dar es salaam ambako anapata mapumziko baada ya kuruhusiwa kutoka...
View ArticleREAL YACHANJA MBUGA UEFA.
Timu za Real Madrid na Wolfsburg zimekuwa timu za kwanza kufuzu nane bora ya ligi ya mabingwa barani ulaya UEFA, baada ya hapo jana kuibuka na ushindi dhidi ya wapinzani wao.BBC SWAHILI:-Timu za Real...
View ArticleDK.KIGWANGALLA AKUTANA NA MADAKTARI WALIOHITIMU MAFUNZO KWA VITENDO 2014/15
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla (katikati) akifuatilia mkutano huo uliowakutanisha Madaktari waliohitimu mafunzo kwa vitendo 2014/2015...
View ArticleMAJINA YA WAALIKWA KWENYE CELEBRITY CORPORATE CONFERENCE & COCKTAIL...
Kama Usipoona jina lako hapa, basi liko kwenye list ya October,2016 ambapo event hii itafanyika tena. WAPI: Hyatt Regency,The Kilimanjaro MarqueeMUDA: Saa Nane Mchana MAVAZI: Business ( Jeans na T...
View ArticleMWENYIKITI WA CHADEMA AKIWASILI JIJINI MWANZA KWAAJILI YA MIKUTANO YA CHAMA...
MAELEZO YAJA...................
View ArticleSERIKALI IWASAIDIE ALBINISM
Na Emmanuel Mlelekwa,March 10,2016SHINYANGAJamii nchini imetakiwa kupiga vita vitendo vya unyanyasaji kwa watu wenye ulemavu wa ngozi Albino vinavyofanywa dhidi yao kwa kuwa vitendo hivyo ni ukiukwaji...
View Article