Quantcast
Channel: g sengo
Browsing all 12415 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY NANCY KIMORI

HII leo familia ya Mr and Mrs Emmanuel Kimori ya jijini Mwanza inasherehekea maadhimisho ya binti yao kutimiza miaka mitano (5) ya kuzaliwa. Kwa niaba ya wadau wote wa blogu hii sanjari na marafiki wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA ZAMANI WA CCM MKOA WA MWANZA ALIYEUWAWA KUZIKWA SIKU YA ALHAMISI

Marehemu Clement Mabina.MAZISHI ya aliyekuwa mwenyekiti wa CCM na Diwani wa Kata ya Kisesa wilayani Magu Clement Mabina, aliyeuawa kikatili na kundi la wananchi, yanatarajiwa kufanyika Alhamisi....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REMMY WILLIAMS ATUA NCHINI.

MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Will akiwasili nchini akitokea Italy.MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Will  (kushoto ) akiwasili nchini akitokea Italy kulia ni meneja wake nchini Italy Wactor...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAASKOFU ,WACHUNGANJI WABARIKI TAMASHA LA KRISMASI LA MUZIKI WA INJILI CCM...

 Mwenyekiti wa Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste mkoani Mwanza Alexanda Mwakisumbwa (katikati) akizungumza kwenye mkutano huo. wengine katika picha ni Mwenyekiti msaidizi Zenobius Isaya ambaye pia ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA DISTILLERIES LIMITED(TDL) YAZINDUA PROMOSHENI YASHINDANO LA KUMSAKA...

Meneja wa kinywaji cha Amarula kutoka Kampuni ya Konyagi Tanzania, Diana Baliagati, akizungumza na waandishi wa habaari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa promosheni ya kinywaji hicho Mlimani City...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONDIA FRANSICI MIYEYUSHO AJIFUA KWA AJILI YA KUMTWANGA DAVID CHALANGA WA...

Bondia Fransic Miyeyusho kushoto akielekezwa jinsi ya kutupa makonde kwa mpangilio na Doi Miyeyusho wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika GYM ya lazima ukae iliyopo kinondoni Dar es salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"KAMONGO TAMU SINDA NYAMA"

Shekshia hawa watatu wenye uzito wa 'haja' hata wakabebwa kwa toroli (wheelbarrow).Tukutane pale kwa kona hivi kwa mama..... tupige mzigo kwa ugali wa mtama au pengine muhogo.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU HAPA MWANDISHI WA HABARI MUONJAJI BORA WA BIA MWANZA 2013-2014.

Meneja wa Bia Tawi la Mwanza (TBL) Richmond Rymond akimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa shindano la wanahabari la Beer Tasting Competition (Muonjaji Bora wa Bia) Willy Mlinda, katika hafla fupi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO YA BURUDANI IJUMAA HII ARUSHA.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI, WASIRA NA NDIKILO WAONGOZA MAELFU KATIKA SAFARI YA MWISHO YA...

Waziri wa ujenzi John Pombe Magufuli akitoa salamu za rambirambi kwenye ibada ya mazishi ya aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza na Diwani wa kata ya Kisesa hadi mauti yalipomkuta Marehemu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA HAPA NA PALE KISESA

Wakazi wengi wa eneo hili ni wakulima na wafugaji.. nazo wachuuzi wa pembejeo wameziona Fursa.Pancha...Pilika pilika za mashineni....Kibanda cha muuza nguo za mitumba aka pamba, lakini leo hayupo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKYLINGHT KUFUNGA MWAKA 2013 MELINI NA WANA MWANZA.

MPANGO MZIMA BOFYA PLAY:-

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAWAZIRI WANNE WANG'OKA.

CHANZO: MWANANCHI.Dar es Salaam / Dodoma. Ripoti ya Kamati ya Maliasili, Ardhi na Mazingira iliyowasilishwa jana asubuhi bungeni mjini Dodoma, imewang’oa madarakani mawaziri wanne ambao wizara zao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA REGINA LOWASSA ASHIRIKI CHAKULA CHA MCHANA PAMOJA NA WATOTO WENYE...

Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu,Mama Regina Lowassa akishiriki kuhudumia chakula watoto wenye ulemavu  katika Kituo cha Huduma ya Walemavu kinachomilikiwa na Jimbo Kuu Katoliki jijini Arusha kilichopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNAWATAKIA HERI YA KRISMASI,MWAKA MPYA.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA ALLYS LAFYEKA 9 LAJERUHI 15, NALO BUNDA BASI LAUA MWENDESHA BAISKELI.

Daladala iliyogongwa na basi la Ally's.WATU kumi wamekufa, wanane kati yao papo hapo na wengine 16 kujeruhiwa katika ajali mbili tofauti zilizohusisha mabasi ya kampuni ya Bunda na Ally, mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAR LIVE KURINDIMA KWA BURUDANI MSIMU HUU WA SIKUKUU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sahel Traing Co.Ltd YAKABIHI MZANI KWA AJILI YA MABONDIA

Mkurugenzi wa Sahel Traing Co.Ltd, Ally hazam kushoto akimkabidhi mzani wa kupimia uzito mabondia kwa Yassin Abdalla 'Ostadhi' mzani huo wenye thamani ya shilingi milioni moja na laki nane umetolewa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH. LOWASSA ASHIRIKI TAMASHA LA WAENDESHA BODABODA JIJINI DAR LEO

 Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwahutubia Vijana waliojiajiri kwa kazi ya kuendesha pikipiki za kupakia abiria maarufu kama Bodaboda wa Mkoa wa Dar es Salaam...

View Article

VIDEO YA HOTUBA YA MH. LOWASSA

View Article
Browsing all 12415 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>